Ujumbe kwa madereva gari za serikali, mtatumaliza huku mabarabarani

Acheni tuu kuna siku nimepanda tunatoka kumsindikiza mwenye anabebwa humo airport...wakati tunarudi karibia roho initoke aisee cha kushangaza wkt tunaenda wala mwendo haukua kihivyo sijui huwa anacontroliwa sasa kurudi lol lol...hawana akili kabisa...na misifa mingiiii....
 



View: https://m.youtube.com/watch?v=ukznXQ3MgN0&pp=ygUUQmxvb2R5IGJhc3RhcmQgYml0Y2g%3D
 
Tatizo linaanzia boss anaishi makazi Ununio, Mbewe alafu Dere anakaa Kisalawe Pugu mchafu koga, Kisha gari lilale Ofisi kuu what do you expect? Wapewe nyumba karibu na mabiss wao at most around 5Km distance radius. Gari ilale kwenye office ya serikali iliyo karibu na Dere.
 
Hawa watu na hii tabia vyote kwa pamoja ni sikio la kufa halisikii tena dawa..labda mpk siku mwendokasi wao uondoke na baadhi ya roho zao ndo wataelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…