Ujumbe kwa mashabiki wenzangu wa Arsenal

Ujumbe kwa mashabiki wenzangu wa Arsenal

Cytochrome p450

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
5,638
Reaction score
15,044
Ningependa kuwakumbusha mashabiki wenzangu wa Arsenal ya kuwa, kwa sasa tupo kwenye hatari zaidi ya kudhuriwa na mashabiki wa timu zengine kuliko vipindi vyote.

Yani amani imepungua. Yote ni kwa sababu tupo juu ya msimamo wa ligi kwa sasa na vile vile tupo kwenye kiwango bora, jambo ambalo haliwapendezi mashabiki wa timu pinzani.

Nasema haya kwa sababu kumekua na nyuzi nyingi humu zinazoanzishwa na mashabiki wa timu pinzani zinazoonyesha chuki za wazi juu yetu. Hata mitaani pia kumechafuka. Ni kama wamechanganyikiwa kutuona mpaka sasa tupo pale.

Hivyo tusipende kutembea mwenyewe, hasa mida ya usiku. Kama utatembea usiku hakikisha umeongozana na kundi la watu tena unaowajua, tuweke tabia ya kuingia ndani mapema, tuepuke kuvunja sheria za barabarani, n.k.

Ujumbe kwa washabiki pinzani:

Hii Arsenal itamkuta kila mtu. Hivyo kaeni kwa tahadhari.

Arsenal ipo na *****

😆
 
Ningependa kuwakumbusha mashabiki wenzangu wa Arsenal ya kuwa, kwa sasa tupo kwenye hatari zaidi ya kudhuriwa na mashabiki wa timu zengine kuliko vipindi vyote.

Yani amani imepungua. Yote ni kwa sababu tupo juu ya msimamo wa ligi kwa sasa na vile vile tupo kwenye kiwango bora, jambo ambalo haliwapendezi mashabiki wa timu pinzani.

Nasema haya kwa sababu kumekua na nyuzi nyingi humu zinazoanzishwa na mashabiki wa timu pinzani zinazoonyesha chuki za wazi juu yetu. Hata mitaani pia kumechafuka. Ni kama wamechanganyikiwa kutuona mpaka sasa tupo pale.

Hivyo tusipende kutembea mwenyewe, hasa mida ya usiku. Kama utatembea usiku hakikisha umeongozana na kundi la watu tena unaowajua, tuweke tabia ya kuingia ndani mapema, tuepuke kuvunja sheria za barabarani, n.k.

Ujumbe kwa washabiki pinzani:

Hii Arsenal itamkuta kila mtu. Hivyo kaeni kwa tahadhari.

Arsenal ipo na *****

[emoji38]
Umenena mkuu,kuna watu hata michongo ya hela hawatupi tena kama zamani yaani wanahasira za ajabu
 
Na kuna kubwa jinga la mwaka mpya limepatikana leo.

Wasihangaike na sisi hata. Arteta ana kazi moja tu ya kuhakikisha tunacheza UEFA msimu ujao. Kama tukimaliza tunaongoza ligi basi kombe apewe atakayekuwa nafasi ya pili.
Hivi hizi kauli zimetoka wapi... Am missing something here zimekuwa famous sana mtandaoni???
 
Kwa niaba ya Mashabiki wa Manchester United naahidi tutawalinda vibonde wetu
 
Mimi juzi wakati narudi nyumbani niangalie game ya brighton nimekuta channel hazishiki no signal kwenda kuangalia dish nje,nimekuta wameliweka kama karai lililo jikoni tayari kwa upishi dahhhh wahuni wa manyumbu sio watu
 
Pia tupunguze ubishani jama, hasa vijiweni.. huwezi jua watu wana lengo gani, usikute wanakutafutia sababu tu!

Kwahiyo sasa hivi wakibisha hatuchukui ndoo, we waambie "tukutane mwisho wa msimu"
 
Back
Top Bottom