Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Kwanza nawapongeza sana TFF kwa kuamua mechi kuchezwa mwanza.
Pia napongeza sana AZAM TV kwa kutuletea mechi hiyo Live.
BALL BOYS na idadi ya mipira:
Hili tatizo
Nikiangalia ni kwamba mpira ukitoka nje unachukua muda mrefu sana kuwa kurudishwa uwanjani.
Na tatizo lipo wazi ni kwamba Ball boys ukiwaangalia wote hawana mipira mkononi.Kwa tafsiri hiyo ni kwamba wanasubiria mpira utoke ndio waukimbize waurejeshe uwanjani.
Hili siwalaumu TFF ila ni wasimamizi wa Mkoa kuanzia uwanja hadi chama cha mchezo cha mkoa.
Maana TFF sio kwamba isimamie watu kama watoto wadogo hadi kwenye vitu kama hivi.
Kwa ufupi uwanjani mipira ya urejeshwaji uwanjani hakuna.
La pili ni kwamba ball boys hawakuwa trained,yaani wameokotwa tu,ili mradi wanajua kurejesha mpira uwanjani.
Nimeona mmoja yeye mpira wa kuweka kwenye goli,yaani karibu ya goli kwa mbavuni iwe rahisi kipa kuuona,yeye akaweka,nyuma ya goli.
Ningeomba wajifunze jinsi ball boys wa Mapinzuzi Cup walivyofanyakazi kwa umahiri wa hali ya juu.Na hata mechi za uwanja wa Taifa na Azam Complex huwa wamejipanga vizuri.
Kila sekunde inayopotea kwenye mchi kwa mpira kuwa nje ile ni mali.
Magari Kujaa uwanjani
Hili tatizo limekuwa ni mazoea kwa viwanja vyetu.
Eneo la running way katika uwanja ule ni ndogo sana na hata kama ingekuwepo.Huwezi kuweka gari ndani ya uwanja wa mpira.
Hii ni mechi ya Kimataifa,na inatizamwa sehem kubwa duniani.
Inasikitisha kwamba kiongozi mkuu wa TFF na team yako ya uongozi mnashuhudia suala hili.
Sasa sipati picha kwamba FIFA nao wanaangali hali hii,sijui inakuwaje wanavyotuelewa.
Ningeomba tubadilike,na yote hayo ni uongozi wa Uwanja wa CCM kirumba.
Viongozi wengi wa viwanja hivi ni wa analogia,wazamani kweli na mentality zao ni zile zile za kuruhusu hadi muuza mahindi aingie nayo uwanja na jiko lake.
Sasa naomba uongozi wote ubadilike na usifanye kazi kimazoea
Pia napongeza sana AZAM TV kwa kutuletea mechi hiyo Live.
BALL BOYS na idadi ya mipira:
Hili tatizo
Nikiangalia ni kwamba mpira ukitoka nje unachukua muda mrefu sana kuwa kurudishwa uwanjani.
Na tatizo lipo wazi ni kwamba Ball boys ukiwaangalia wote hawana mipira mkononi.Kwa tafsiri hiyo ni kwamba wanasubiria mpira utoke ndio waukimbize waurejeshe uwanjani.
Hili siwalaumu TFF ila ni wasimamizi wa Mkoa kuanzia uwanja hadi chama cha mchezo cha mkoa.
Maana TFF sio kwamba isimamie watu kama watoto wadogo hadi kwenye vitu kama hivi.
Kwa ufupi uwanjani mipira ya urejeshwaji uwanjani hakuna.
La pili ni kwamba ball boys hawakuwa trained,yaani wameokotwa tu,ili mradi wanajua kurejesha mpira uwanjani.
Nimeona mmoja yeye mpira wa kuweka kwenye goli,yaani karibu ya goli kwa mbavuni iwe rahisi kipa kuuona,yeye akaweka,nyuma ya goli.
Ningeomba wajifunze jinsi ball boys wa Mapinzuzi Cup walivyofanyakazi kwa umahiri wa hali ya juu.Na hata mechi za uwanja wa Taifa na Azam Complex huwa wamejipanga vizuri.
Kila sekunde inayopotea kwenye mchi kwa mpira kuwa nje ile ni mali.
Magari Kujaa uwanjani
Hili tatizo limekuwa ni mazoea kwa viwanja vyetu.
Eneo la running way katika uwanja ule ni ndogo sana na hata kama ingekuwepo.Huwezi kuweka gari ndani ya uwanja wa mpira.
Hii ni mechi ya Kimataifa,na inatizamwa sehem kubwa duniani.
Inasikitisha kwamba kiongozi mkuu wa TFF na team yako ya uongozi mnashuhudia suala hili.
Sasa sipati picha kwamba FIFA nao wanaangali hali hii,sijui inakuwaje wanavyotuelewa.
Ningeomba tubadilike,na yote hayo ni uongozi wa Uwanja wa CCM kirumba.
Viongozi wengi wa viwanja hivi ni wa analogia,wazamani kweli na mentality zao ni zile zile za kuruhusu hadi muuza mahindi aingie nayo uwanja na jiko lake.
Sasa naomba uongozi wote ubadilike na usifanye kazi kimazoea