Ujumbe kwa wafuasi wa Isreal

Ujumbe kwa wafuasi wa Isreal

Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini
Acha kulitaja jina la Mungu bure. Mungu wa kweli hawezi shangiliwa kwa kuuwa kwa watu, wala Mungu hakuleta dini imtetee au impiganie never. Huyo mnayemtetea na kumpigania kwenye hiyo dini yenu ni shetani. Yeye ndiye baba wa maovu yote.
 
Acha kulitaja jina la Mungu bure. Mungu wa kweli hawezi shangiliwa kwa kuuwa kwa watu, wala Mungu hakuleta dini imtetee au impiganie never. Huyo mnayemtetea na kumpigania kwenye hiyo dini yenu ni shetani. Yeye ndiye baba wa maovu yote
Itakuwa kalbu wewe.
 
Quran imeeleza wazi

Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu.

Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
Hiyo ni Quran nisiyoiamin so hainishughulishi
 
Quran imeeleza wazi

Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu.

Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
Uzi mwngine 😂😂🤣🤣🤣
Wakrsto na wayahudi hawamjui na kumtambua na kumuabudu mungu wako wa kiarabu allah.
 
Hapo tu ushajidhihirisha kuwa nu dhaifu kiakili na kimantiki.

Umeshindwa kujibu swali jepesi sana. Umekuja na povu. Haya, sasa jibu swali nililokuuliza.
Tatizo liko hapa, umeniuliza swali nimekujibu kwa swali la maana, simple common sense ila unataka kuzunguka na kujitoa ufahamu.
 
Unahangaika sana chief hata sijui kama unasoma kabla huja-post hapa jukwaani.

Hapo umemaanisha nini?na kwanini Africans tusihangaike kwanza na matatizo yetu?
Africa ukifa atakujua nani? Nani kafa akazikwa kiafrica? Sisi waislam ukifa utaswalia msikitini na kuombewa dua na waislam wenzio.
 
Africa ukifa atakujua nani? Nani kafa akazikwa kiafrica? Sisi waislam ukifa utaswalia msikitini na kuombewa dua na waislam wenzio.
Wewe ukifa utaombewa na Wapalestina ktk misikitini yao?
 
Quran imeeleza wazi

Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu.

Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
Inatuhusu nini Quran! Siamini katika hiyo, inakuhusu wewe na magaidi wa Hamas
 
Back
Top Bottom