dhahabu safi
Member
- Oct 29, 2023
- 8
- 13
Bado hujasema,safari hii magaidi moto mnao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutwa kutukana na kufungua nyuzi huku wenzake wanateketea GazaAnajiona anaijua dini ya watu ambao wala hawamtambui. Akajilipue
Kwani kabla ya kuja hizi Dini huku Afrika wazee wetu waliishi vipi?Dini ina nafasi sana ya kiislam. Kama haina nafasi sote tungaliishi duniani kwa jinsi unavyotaka miaka ya kuishi.
Baada ya kufa wanaishi vpi? Hilo ndio lakujiulizaKwani kabla ya kuja hizi Dini huku Afrika wazee wetu waliishi vipi?
Acha kulitaja jina la Mungu bure. Mungu wa kweli hawezi shangiliwa kwa kuuwa kwa watu, wala Mungu hakuleta dini imtetee au impiganie never. Huyo mnayemtetea na kumpigania kwenye hiyo dini yenu ni shetani. Yeye ndiye baba wa maovu yote.Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini
Itakuwa kalbu wewe.Acha kulitaja jina la Mungu bure. Mungu wa kweli hawezi shangiliwa kwa kuuwa kwa watu, wala Mungu hakuleta dini imtetee au impiganie never. Huyo mnayemtetea na kumpigania kwenye hiyo dini yenu ni shetani. Yeye ndiye baba wa maovu yote
Hiyo ni Quran nisiyoiamin so hainishughulishiQuran imeeleza wazi
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu.
Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
Utaimani tu.ngoja yakukuteHiyo ni Quran nisiyoiamin so hainishughulishi
Uzi mwngine 😂😂🤣🤣🤣Quran imeeleza wazi
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu.
Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
Mimi huyo. Ngoja nikae kimya maadamu ni Iman ya wengineUtaimani tu.ngoja yakukute
Kwa hiyo wewe kuinamishwa na mwanamme mwenziyo ni sawa tu?Mkuu dini hazina maana katika ulimwengu wa sasa ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
Hakuna ila kama unataka nitoe ushuhuda kwa hizi picha hapa, naona huyu wa kushoto ana akili zaidi huyo wa kulia anaonekana kabisa yuko brainwashed na hayuko free to express herself as God intended.View attachment 2799390
Nani Anakili kuliko u mother?
Tatizo liko hapa, umeniuliza swali nimekujibu kwa swali la maana, simple common sense ila unataka kuzunguka na kujitoa ufahamu.Hapo tu ushajidhihirisha kuwa nu dhaifu kiakili na kimantiki.
Umeshindwa kujibu swali jepesi sana. Umekuja na povu. Haya, sasa jibu swali nililokuuliza.
Jikumbushe nilivyokuuliza:Tatizo liko hapa, umeniuliza swali nimekujibu kwa swali la maana, simple common sense ila unataka kuzunguka na kujitoa ufahamu.
Africa ukifa atakujua nani? Nani kafa akazikwa kiafrica? Sisi waislam ukifa utaswalia msikitini na kuombewa dua na waislam wenzio.Unahangaika sana chief hata sijui kama unasoma kabla huja-post hapa jukwaani.
Hapo umemaanisha nini?na kwanini Africans tusihangaike kwanza na matatizo yetu?
Wewe utaishi mileleIla huyu mwamba dini itamuua
Wewe ukifa utaombewa na Wapalestina ktk misikitini yao?Africa ukifa atakujua nani? Nani kafa akazikwa kiafrica? Sisi waislam ukifa utaswalia msikitini na kuombewa dua na waislam wenzio.
Wewe utaishi milele
Inatuhusu nini Quran! Siamini katika hiyo, inakuhusu wewe na magaidi wa HamasQuran imeeleza wazi
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu.
Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
Hapo waarabu wanamuona nyau tu, mtumwa ni mtumwa tu hata kama utakuwa muumini. Wala hiyo dini haikuondolei utumwa mbele ya waarabu.We unaonaje bwana utam