Ujumbe kwa wanandoa watarajiwa!

Ujumbe kwa wanandoa watarajiwa!

kwani kutooa ndio utoto babu?

Kwetu sisi Waafrika, tulikulia na tunaishi huku huku....Ni kweli kabisa na hakuba ubishi wowote kwama mtu kama hajaoa/olewa anachukuliwa kuwa ni mtoto na hawezi hata siku mojaa kukaa kwenye vikao vya watu wazima kuongelea mambo ya kiutu uzima!

Hata hivyo mtoto si lazima awe na utoto...Nadhani hivi ni vitu tofauti kwani hata wazee wenye mvi wanaweza kuwa na utoto + mambo ya kitoto!
 
Babu wengi wanaoshindwana baadae hua wanaanza hivi. Mtu anaona kabisa aliyenae sie ama kamchoka alafu eti anakubali kubaki kisa katolewa machozi ama kang'ang'aniwa. Matokeo yake ni kupotezeana muda kuwa kwenye mahusiano ambayo yataanguka tu baadae.

Binadamu tunatofautiana sana tena sana!

Kuna watu hata kama wanaungua, wanaweza kuendelea kubaki pale pale hadi watokee watu wengine na kuwachomoa kwenye huo moto,

Hili tunalolifanya, ni kuwasaidia watu wa namna hiyo wajiondoe kwenye utumwa wa kukaa kwenye mahusiano yasiyo na tija!!
 
Binadamu tunatofautiana sana tena sana!

Kuna watu hata kama wanaungua, wanaweza kuendelea kubaki pale pale hadi watokee watu wengine na kuwachomoa kwenye huo moto,

Hili tunalolifanya, ni kuwasaidia watu wa namna hiyo wajiondoe kwenye utumwa wa kukaa kwenye mahusiano yasiyo na tija!!

Babu tatizo ukiwaambia watu mahusiano yanapoleta hudhuni, discomfort, ukosefu wa amani na furaha zaidi ya furaha, mapenzi na heshima aachane nayo utaishia kuulizwa "NI/UTAACHA NA WANGAPI?". Mwisho wa siku kama mtu hajijali wala kujithamini unakosa namna ya kumsaidia mpaka mwenyewe atakapoona kwamba anastahilo zaidi ya anachopata ama anachopata sicho anachostahili kabisa.
 
asante babu D.C.
nyie ndo wazee wetu wakutupa mafunzo,already copied and pasted in my brain.Ubarikiwe babu.
 
asante babu D.C.
nyie ndo wazee wetu wakutupa mafunzo,already copied and pasted in my brain.Ubarikiwe babu.

Ahsante sana Cheusi,

Hiyo avatar inatoa msg gani???

nilipo:flypig:kutana na YESU historia ya maisha yangu yote ilibadilika.:flypig:

Mbona hutuelezi ulikutana naye wapi ili tukimbilie huko??

Ni very private kiasi kwamba tusome avatar tu???

Babu DC!!
 
Babu tatizo ukiwaambia watu mahusiano yanapoleta hudhuni, discomfort, ukosefu wa amani na furaha zaidi ya furaha, mapenzi na heshima aachane nayo utaishia kuulizwa "NI/UTAACHA NA WANGAPI?". Mwisho wa siku kama mtu hajijali wala kujithamini unakosa namna ya kumsaidia mpaka mwenyewe atakapoona kwamba anastahilo zaidi ya anachopata ama anachopata sicho anachostahili kabisa.

Hilo swali litakuwa rahisi kama watu watazingatia umuhimu wa kuwa na vision + mission toka wanapoanza mahusiano...Pia wakwepe kutanguliza ngono kama chambo cha kukamatia wenzao. Na muhimu zaidi, kuweka value kwenye muda ili wapunguze costs of change!!

Ila wale ambao wanakubali kuendekeza sex basi wachukulie kirahisi tu, kama vile kwamba wako kwenye michezo ya kawaida e.g. netball ili wakishindwa wasijinyonge!!
 
Ahsante sana Cheusi,

Hiyo avatar inatoa msg gani???


Mbona hutuelezi ulikutana naye wapi ili tukimbilie huko??

Ni very private kiasi kwamba tusome avatar tu???

Babu DC!!

Babu DC naomba niruke kipengele cha avatar yangu,
najisikia furaha zaidi kuongea na ww nilipokutana na Yesu,jinsi ilivyokua,kabla yakukutana naye na jinsi ilivyokua baada ya kukutana naye,nitakuandikia waraka maalum maana nikiandika hapa thread yako yaweza poteza mwelekeo.
Take care babu.
 
Hilo swali litakuwa rahisi kama watu watazingatia umuhimu wa kuwa na vision + mission toka wanapoanza mahusiano...Pia wakwepe kutanguliza ngono kama chambo cha kukamatia wenzao. Na muhimu zaidi, kuweka value kwenye muda ili wapunguze costs of change!!

Ila wale ambao wanakubali kuendekeza sex basi wachukulie kirahisi tu, kama vile kwamba wako kwenye michezo ya kawaida e.g. netball ili wakishindwa wasijinyonge!!

Hahahahaa. . . .
Hopefully jibu wamepata na wataanza kuzingatia ASAP. Sema wengine mpaka sex iwe involved ndio hua wanaestablish kua wapo kwenye mahusiano. Kwahiyo lazima washiriki alafu baada ya muda wanagundua mambo hayako kama walivyotegemea/penda yawe.
 
Babu DC naomba niruke kipengele cha avatar yangu,
najisikia furaha zaidi kuongea na ww nilipokutana na Yesu,jinsi ilivyokua,kabla yakukutana naye na jinsi ilivyokua baada ya kukutana naye,nitakuandikia waraka maalum maana nikiandika hapa thread yako yaweza poteza mwelekeo.
Take care babu.

Poa Cheusi,

Sasa hawa wadogo zako ambao wako safarini kuitafuta avatar yako unawaachaje??

Wape mistari kidogo basi,

Babu DC
 
Babu DC naomba niruke kipengele cha avatar yangu,
najisikia furaha zaidi kuongea na ww nilipokutana na Yesu,jinsi ilivyokua,kabla yakukutana naye na jinsi ilivyokua baada ya kukutana naye,nitakuandikia waraka maalum maana nikiandika hapa thread yako yaweza poteza mwelekeo.
Take care babu.

Do you have a bun in the oven?
 
Hahahahaa. . . .
Hopefully jibu wamepata na wataanza kuzingatia ASAP. Sema wengine mpaka sex iwe involved ndio hua wanaestablish kua wapo kwenye mahusiano. Kwahiyo lazima washiriki alafu baada ya muda wanagundua mambo hayako kama walivyotegemea/penda yawe.


kizazi hiki?
 
Hahahahaa. . . .
Hopefully jibu wamepata na wataanza kuzingatia ASAP. Sema wengine mpaka sex iwe involved ndio hua wanaestablish kua wapo kwenye mahusiano. Kwahiyo lazima washiriki alafu baada ya muda wanagundua mambo hayako kama walivyotegemea/penda yawe.

Hao wachukulie ile dhana ya pili na kusepa....

Kuna watu wanhisi kuwa wakifanya ngono na wenzao basi wanapata hasara....Kama hawakubakwa basi nao ni beneficiary na kwa hiyo wasi-mind sana! Waishie zao!!

Kuna huu uzi wa Maty, ulikuwa na mijadala inayoendana na hili jambo!!

https://www.jamiiforums.com/mahusia...katika-mauzoefu-yenu-mmeshakutana-na-hii.html
 
Back
Top Bottom