Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
- Thread starter
- #121
kwani kutooa ndio utoto babu?
Kwetu sisi Waafrika, tulikulia na tunaishi huku huku....Ni kweli kabisa na hakuba ubishi wowote kwama mtu kama hajaoa/olewa anachukuliwa kuwa ni mtoto na hawezi hata siku mojaa kukaa kwenye vikao vya watu wazima kuongelea mambo ya kiutu uzima!
Hata hivyo mtoto si lazima awe na utoto...Nadhani hivi ni vitu tofauti kwani hata wazee wenye mvi wanaweza kuwa na utoto + mambo ya kitoto!