Naunga mkono hoja 100%. Huu usanii ukomeTuusikilize kwa makini
TakbiiiiiirrrTuusikilize kwa makini
View attachment 3269798
Wapo wale watakatishaji wa biashara wanatumia futari katika kujifanya wema na kutafuta amani dhidi ya wale wanaowatendea ubaya siku zote. Kodi kule TPA inalipwa robo tu ile robo tatu inayobakia yote ndio pesa inayotumika katika kujionyesha mbele ya watu kuhusiana na wema wa bandia.Tuusikilize kwa makini
View attachment 3269798