Kwa wale ambao mmezoea kushiriki ngono bila kutumia Kinga chukueni ushauri ufuatao;
Pindi unapomaliza kushiriki tendo usirudi kuendelea kulala amka chap uwahi msalani kukojoa na kuosha uume wako Vizuri.Hii Ni kwa faida yako binafsi.
Hakuna mtu anayekuja kukushauri hivyo Tena.
Thank me later.