Chawa ni wafuasi ng'ombe wa watu wazito wazito wenye kutanguliza maslahi ya matumbo mbele.
Mpanda ngazi hushuka.
Baadhi ya watu hao hukumbuka shuka wakati kunakuwa kumekwisha kucha:
"Ama kwa hakika misimamo yenu katika neema inakwaza mno jitihada zenu kujaribu kujivua magamba kwenye kipindi cha uhitaji."
Ikumbukwe uchawa ni jambo rahisi mno kwa kila ana yeongozwa na njaa yake iliyopitiliza tu kuukumbatia.
Kwa kutokuwa chawa, leo Mbowe yuko gerezani, Lema na Lissu wameikimbia nchi. Kwa kuwa chawa tu wangekuwa huru, majumbani mwao wakila bata za kufa mtu na familia zao.
Kwa kutokuwa chawa Ben, Mawazo na wengi wengine wangekuwa hai leo, huru wakifurahia maisha na familia zao.
Polepole, Ndugai au Etwege, Stroke, Nigrastratatract na wenzenu mtamwaminisha nani leo kuwa ibara ya 18 ya katiba sasa inakiukwa kwenu?
Hata hivyo:
Polepole pole ila Omba japo Msamaha Ulitukwaza wengi
Kuvunjika kwa koleo siyo mwisho wa uhunzi.
_______________
Sikia hii ng'ombe mtu:
Mpanda ngazi hushuka.
Baadhi ya watu hao hukumbuka shuka wakati kunakuwa kumekwisha kucha:
"Ama kwa hakika misimamo yenu katika neema inakwaza mno jitihada zenu kujaribu kujivua magamba kwenye kipindi cha uhitaji."
Ikumbukwe uchawa ni jambo rahisi mno kwa kila ana yeongozwa na njaa yake iliyopitiliza tu kuukumbatia.
Kwa kutokuwa chawa, leo Mbowe yuko gerezani, Lema na Lissu wameikimbia nchi. Kwa kuwa chawa tu wangekuwa huru, majumbani mwao wakila bata za kufa mtu na familia zao.
Kwa kutokuwa chawa Ben, Mawazo na wengi wengine wangekuwa hai leo, huru wakifurahia maisha na familia zao.
Polepole, Ndugai au Etwege, Stroke, Nigrastratatract na wenzenu mtamwaminisha nani leo kuwa ibara ya 18 ya katiba sasa inakiukwa kwenu?
Hata hivyo:
Polepole pole ila Omba japo Msamaha Ulitukwaza wengi
Kuvunjika kwa koleo siyo mwisho wa uhunzi.
_______________
Sikia hii ng'ombe mtu: