Ujumbe mzito toka kwa Ansbert Ngurumo kwa upinzania, sikilizeni na tafakari

Ujumbe mzito toka kwa Ansbert Ngurumo kwa upinzania, sikilizeni na tafakari

Moderators please, can you spare this clip for the benefit of democracy and strong opposition parties!

Makosa ya NCCR Mageuzi wakati wa MREMA LYATONGA yasirudiwe kamwe na upinzani.


Erythrocyte
Lisu


G



Erythrocyte ,
Mfumo uliopo hauruhusu uchaguzi shindani.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu 2024, kuna malalamiko mengi bila ufumbuzi lakini chama dola wanakutana na.waandishi wa habari kujisafisha.

Majibu ya tuhuma yanatolewa nyuma ya mikamera lakini kwenye eneo la uchaguzi husika bado kuna kelele, hoja mojawapo eti watu wanahitaji elimu, swali elimu kuhusu nini, je uchaguzi mkuu utakuwaje
 
Moderators please, can you spare this clip for the benefit of democracy and strong opposition parties!

Makosa ya NCCR Mageuzi wakati wa MREMA LYATONGA yasirudiwe kamwe na upinzani.


Erythrocyte
Lisu






Erythrocyte ,
Umeona hii
 
Umeona hii
Good, watu wanakipenda chama wanakipigania kama mtu analeta kukisaliti....au vipi?
 
Moderators please, can you spare this clip for the benefit of democracy and strong opposition parties!

Makosa ya NCCR Mageuzi wakati wa MREMA LYATONGA yasirudiwe kamwe na upinzani.



View: https://www.youtube.com/watch?v=ZkYXvbAX0mY






Erythrocyte ,

Upinzani Tanzania umekuwa ukikabiliwa na Migogoro na Mivutano ya wao kwa wao kwa sababu huko ndani ya Wapinzani wamepandikiziwa Mamluki wengi Sana ili kuwavuruga na kuwahujumu wale Wapinzani halisi.
Hata huyo Augustino Lyatonga Mrema naye pia hakuwa Mpinzani halisi, bali alikuwa Mamluki aliyepandikizwa huko Upinzani akitokea kwa wale jamaa 'wavaa Kaunda suti.' Tena Mrema alikuwa mmoja wa Wakufunzi wao mahiri huko kwa wavaa kaunda suti.
 
Upinzani Tanzania umekuwa ukikabiliwa na Migogoro na Mivutano ya wao kwa wao kwa sababu huko ndani ya Wapinzani wamepandikiziwa Mamluki wengi Sana ili kuwavuruga na kuwahujumu wale Wapinzani halisi.
Sio kweli..tatizo wote ni wajuaji na wanataka madaraka period
 
Sio kweli..tatizo wote ni wajuaji na wanataka madaraka period
Ni kweli kwa 100%

Labda wewe huenda ndio haujui Ukweli kuhusu suala hili.
Kumbuka: Hata huyo Augustino Lyatonga Mrema naye pia hakuwa Mpinzani halisi, bali alikuwa Mamluki aliyepandikizwa huko Upinzani akitokea kwa wale jamaa 'wavaa Kaunda suti.' Tena Mrema alikuwa mmoja wa Wakufunzi wao mahiri huko kwa wavaa kaunda suti.
That's why utakumbuka kwamba Mrema ndiye alikuwa mtu/Kiongozi mkubwa zaidi wa kwanza kabisa aliyefanikiwa sana kuuvuruga Upinzani hapa Tanzania.
 
Huko CDM kuna shida kubwa sana; M/Kiti wao haaminiki kwa sababu ni muzee wa manemonga na TAL anatengwa kwa ukweli wake!
 
Sio kweli..tatizo wote ni wajuaji na wanataka madaraka period
Siyo kweli nini? Au unafikiri watu hawamfahamu Mrema kama alikuwa memba wa 'Kitengo' tangia akiwa Shinyanga? Hata Mabere Marando ilikuwa hujui kama alikuwa mmoja wao? Umezaliwa 2000 nini?
 
Sio kweli..tatizo wote ni wajuaji na wanataka madaraka period
Kweli wewe ni Bishweko...........
Bado unamwamini Lema (Nabii) kuwa si mchumia tumbo
hata samia ni mchumia tumbo ndiyo maana anafanya kila hilia abaki madarkani....tumbo..... hta wewe ni mchumia tumbo in one way or another, hata mimi.........................so stop that egoism!
 
Siyo kweli nini? Au unafikiri watu hawamfahamu Mrema kama alikuwa memba wa 'Kitengo' tangia akiwa Shinyanga? Hata Mabere Marando ilikuwa hujui kama alikuwa mmoja wao? Umezaliwa 2000 nini?
Huyo anaonekana hajui kitu chochote kile kuhusiana na masuala haya, hususani kuhusu vyanzo vya migogoro iliyopo kwenye vyama vya Upinzani hapa Tanzania.
 
Kweli wewe ni Bishweko...........

hata samia ni mchumia tumbo ndiyo maana anafanya kila hilia abaki madarkani....tumbo..... hta wewe ni mchumia tumbo in one way or another, hata mimi.........................so stop that egoism!
Tatizo lako ni kukosa ustaarabu wa kujadiliana. Kwa kawaida ukiona mtu anaanza matusi jua hana hoja.
 
Huko CDM kuna shida kubwa sana; M/Kiti wao haaminiki kwa sababu ni muzee wa manemonga na TAL anatengwa kwa ukweli wake!
Umemsikiliza Ngurumo? msikilize vema....... Lisu haezi kutengwa, awe macho na hao wanaompigia makofi kumtaka eti aanzishe chama chake kama mrema....msikilize ngurumo
 
Back
Top Bottom