Mfumo uliopo hauruhusu uchaguzi shindani.Moderators please, can you spare this clip for the benefit of democracy and strong opposition parties!
Makosa ya NCCR Mageuzi wakati wa MREMA LYATONGA yasirudiwe kamwe na upinzani.
Erythrocyte
Lisu
G
Erythrocyte ,
Hapa kwangu kuna sauti, angalia settings zakoHaina sauti!!!!
Umeona hiiModerators please, can you spare this clip for the benefit of democracy and strong opposition parties!
Makosa ya NCCR Mageuzi wakati wa MREMA LYATONGA yasirudiwe kamwe na upinzani.
Erythrocyte
Lisu
Erythrocyte ,
Good, watu wanakipenda chama wanakipigania kama mtu analeta kukisaliti....au vipi?Umeona hii
LGE2024 - Arusha: Vurugu zaibuka, wafuasi CHADEMA wataka kunyukana
Wakuu, Hawa ndio wahuni waliotajwa kupachikwa CHADEMA kufanya hujuma Uchaguzi Serikali za Mitaa! Kaka anapayuka kwelikweli kumbe sio siyo mgombea aloyekutana na kashkash za kukatwa majina🤣🤣😂😂 sasa analalamika kuonewa wapi? :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: Angalia video hapo ucheke na wewe.www.jamiiforums.com
Upinzani Tanzania umekuwa ukikabiliwa na Migogoro na Mivutano ya wao kwa wao kwa sababu huko ndani ya Wapinzani wamepandikiziwa Mamluki wengi Sana ili kuwavuruga na kuwahujumu wale Wapinzani halisi.Moderators please, can you spare this clip for the benefit of democracy and strong opposition parties!
Makosa ya NCCR Mageuzi wakati wa MREMA LYATONGA yasirudiwe kamwe na upinzani.
View: https://www.youtube.com/watch?v=ZkYXvbAX0mY
Erythrocyte ,
Sio kweli..tatizo wote ni wajuaji na wanataka madaraka periodUpinzani Tanzania umekuwa ukikabiliwa na Migogoro na Mivutano ya wao kwa wao kwa sababu huko ndani ya Wapinzani wamepandikiziwa Mamluki wengi Sana ili kuwavuruga na kuwahujumu wale Wapinzani halisi.
nimerekebishaHaipatikani
Ni kweli kwa 100%Sio kweli..tatizo wote ni wajuaji na wanataka madaraka period
Bado unamwamini Lema (Nabii) kuwa si mchumia tumboGood, watu wanakipenda chama wanakipigania kama mtu analeta kukisaliti....au vipi?
Siyo kweli nini? Au unafikiri watu hawamfahamu Mrema kama alikuwa memba wa 'Kitengo' tangia akiwa Shinyanga? Hata Mabere Marando ilikuwa hujui kama alikuwa mmoja wao? Umezaliwa 2000 nini?Sio kweli..tatizo wote ni wajuaji na wanataka madaraka period
Kweli wewe ni Bishweko...........Sio kweli..tatizo wote ni wajuaji na wanataka madaraka period
hata samia ni mchumia tumbo ndiyo maana anafanya kila hilia abaki madarkani....tumbo..... hta wewe ni mchumia tumbo in one way or another, hata mimi.........................so stop that egoism!Bado unamwamini Lema (Nabii) kuwa si mchumia tumbo
Huyo anaonekana hajui kitu chochote kile kuhusiana na masuala haya, hususani kuhusu vyanzo vya migogoro iliyopo kwenye vyama vya Upinzani hapa Tanzania.Siyo kweli nini? Au unafikiri watu hawamfahamu Mrema kama alikuwa memba wa 'Kitengo' tangia akiwa Shinyanga? Hata Mabere Marando ilikuwa hujui kama alikuwa mmoja wao? Umezaliwa 2000 nini?
Tatizo lako ni kukosa ustaarabu wa kujadiliana. Kwa kawaida ukiona mtu anaanza matusi jua hana hoja.Kweli wewe ni Bishweko...........
hata samia ni mchumia tumbo ndiyo maana anafanya kila hilia abaki madarkani....tumbo..... hta wewe ni mchumia tumbo in one way or another, hata mimi.........................so stop that egoism!
Umemsikiliza Ngurumo? msikilize vema....... Lisu haezi kutengwa, awe macho na hao wanaompigia makofi kumtaka eti aanzishe chama chake kama mrema....msikilize ngurumoHuko CDM kuna shida kubwa sana; M/Kiti wao haaminiki kwa sababu ni muzee wa manemonga na TAL anatengwa kwa ukweli wake!