Ulitaka uwe wewe au?Kweli wewe ni Bishweko...........
hata samia ni mchumia tumbo ndiyo maana anafanya kila hilia abaki madarkani....tumbo..... hta wewe ni mchumia tumbo in one way or another, hata mimi.........................so stop that egoi
Ngurumo aliajiriwa na family ya Freeman Mbowe kama mhariri wa Gazeti laoUmemsikiliza Ngurumo? msikilize vema....... Lisu haezi kutengwa, awe macho na hao wanaompigia makofi kumtaka eti aanzishe chama chake kama mrema....msikilize ngurumo
KUNA WAKUJIBIZANA/KU DISCUSS ISSUES NAO NA WA KUTUKANA!Tatizo lako ni kukosa ustaarabu wa kujadiliana. Kwa kawaida ukiona mtu anaanza matusi jua hana hoja.
Acha kupiga kelele basi!KUNA WAKUJIBIZANA/KU DISCUSS ISSUES NAO NA WA KUTUKANA!
blockedAcha kupiga kelele basi!
Jifunze kuwa na adabublocked
Wenye kuelewa wataelewaModerators please, can you spare this clip for the benefit of democracy and strong opposition parties!
Makosa ya NCCR Mageuzi wakati wa MREMA LYATONGA yasirudiwe kamwe na upinzani.
View: https://www.youtube.com/watch?v=ZkYXvbAX0mY
Erythrocyte ,
Niliwahi wasikia mrema na marando kwenye moja ya vipindi vya kitimoto enzi hizo wakitambiana rank zao ndani ya idara bya usalama, marando akidai alikuwa juu ya mrema kwenye idaraNi kweli kwa 100%
Labda wewe huenda ndio haujui Ukweli kuhusu suala hili.
Kumbuka: Hata huyo Augustino Lyatonga Mrema naye pia hakuwa Mpinzani halisi, bali alikuwa Mamluki aliyepandikizwa huko Upinzani akitokea kwa wale jamaa 'wavaa Kaunda suti.' Tena Mrema alikuwa mmoja wa Wakufunzi wao mahiri huko kwa wavaa kaunda suti.
That's why utakumbuka kwamba Mrema ndiye alikuwa mtu/Kiongozi mkubwa zaidi wa kwanza kabisa aliyefanikiwa sana kuuvuruga Upinzani hapa Tanzania.
Kiasi kwamba Leo akina samia na mchengerwa wanatumia mifumo hiyo hiyo kutuadhibu watzNyerere aliharibu hii nchi
Nilijua ccm ndio wangefurahi kama chadema.ikifa. sasa naona kinyume😅😅😅Moderators please, can you spare this clip for the benefit of democracy and strong opposition parties!
Makosa ya NCCR Mageuzi wakati wa MREMA LYATONGA yasirudiwe kamwe na upinzani.
View: https://www.youtube.com/watch?v=ZkYXvbAX0mY
Erythrocyte ,
Alipenda chama kuliko Taifa.Nyerere aliharibu hii nchi
Mbowe anaona kuliko aachie Uenyekiti afadhali chama kipasuke, yeye anaona hana cha kupoteza, na hii ndio hasara ya chama kumilikiwa na mtu mmojaSalama ya cdm ni Mbowe kufikia hatima ya uenyekiti wake. Iwapo Mbowe atashupaza shingo, hakuna namna cdm itaendelea kuwa taasisi imara.
Kwa hali ilivyo sasa mbowe astasfu uenyekiti awapishe wengine waongoze chamaSalama ya cdm ni Mbowe kufikia hatima ya uenyekiti wake. Iwapo Mbowe atashupaza shingo, hakuna namna cdm itaendelea kuwa taasisi imara.
Ni kweli ana mchango mzuri. "Aliyesimama aangalie asianguke" au asiwe chanzo cha wengine kuonekana wameanguka. Shida ni kwamba watu ambao always wako kwenye move (wanafanya hiki au kile) hawana nafasi ya kutafakari na kuona kama wanakwenda wanavyotakiwa kwenda au kuna sehemu inabidi waboreshe ili waweze kuwa effective zaidi. Watu wakikosa fursa ya kutafakari wanaweza kujikuta wameshaacha njia. Jana nilikuwa nasikiliza wachangiaji 'space' na niliweza kuhisi hiki anachokisema huyu mkuu. Experience aliyoipitia Tundu Lissu inampa ujasiri wa kusema mambo mbalimbali ndani na nje ya chama chake. Inabidi aangalie audience yake inapokeaje uwasilishaji wake. Ni wazi watu wengi (ndani na nje ya chama) wanaweza kuwa na imani naye. Ni yeye sasa kujua ni kwa jinsi gani anaweza kutumia fursa hii kujenga chama chake vs kujijenga mwenyewe na kuleta ufa kwenye chama. Mfano, uwasilishaji wake wa tuhuma za rushwa ndani ya chama angeweza kuufanya kwa namna bora zaidi kuliko alivyofanya. Viongozi wa Chadema inabidi wajifunze kuwa "prudent": 'acting with or showing care and thought for the future'.Ulitaka uwe wewe au?
.Mimi kama muumini wa siasa za upinzani Nimtake. Lissu awe mtulivu afuate katiba ya chama chake, asitoe matamko hovyo, tunamkubali, ni mkweli na tutamsupportUmemsikiliza Ngurumo? msikilize vema....... Lisu haezi kutengwa, awe macho na hao wanaompigia makofi kumtaka eti aanzishe chama chake kama mrema....msikilize ngurumo
UNAJUA BISHWEKO UHAYANI NI TAKATAKA YA MAJANI YANAYOFUNIKA SUFURIA YA NDIZI WAKATI ZINAPIKWA ? NIMESOMA IHUNGOUlitaka uwe wewe au?
Aha ha " ebishweko"UNAJUA BISHWEKO UHAYANI NI TAKATAKA YA MAJANI YANAYOFUNIKA SUFURIA YA NDIZI WAKATI ZINAPIKWA ? NIMESOMA IHUNGO