Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Ramli chonganish on dutiKwenye ujumbe wake kuna uzi mwembamba sana kati ya maumivu na hasira kwambaaaaaali....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ramli chonganish on dutiKwenye ujumbe wake kuna uzi mwembamba sana kati ya maumivu na hasira kwambaaaaaali....
GudNice
Afadhali ume toka jela Mr talenti Bigi fella Piwa sijui nini nini huko mbeleee.....😜Huwezi kuondokewa na Magwiji Wanne ( 4 ) Kitenge ( Michezo ), Hando ( Mijadala ), Bdozen ( Muziki ) na Oscar ( Uchambuzi ) halafu ukaonyesha hujaumizwa na Kinafiki unatoa Sifa na kuwatakia Kila la Kheri huko Waendako.
Mwambieni Majizzo wenu Tajiri Diamond Platnumz wa Wasafi Media anajiandaa Kummaliza kwa Dada Bingwa wa Simulizi katika Redio za Tanzania Veronica Frank na ni Suala la muda tu.
Ilikuwa wakati mzuri sana kufanya kazi na ndugu zangu Maulid Kitenge, Gerald Hando, B Dozen na Oscar Oscar.
Nitaendelea kuwashukuru na kuwaheshimu sana kwa mchango walioweka hapa #EFMnaTVE. Nawatakia mafanikio katika ajira zao mpya, mafanikio yao ni mafanikio ya tasnia na hiyo ni furaha yangu.
All the best ndugu zangu[emoji1317]
#MuzikiUnaongeaView attachment 2597151
Vipi mwenzao aunt mpwayu 🤣😁, hajarudi tuAfadhali ume toka jela Mr talenti Bigi fella Piwa sijui nini nini huko mbeleee.....😜
Kwanza wakati haupo, kuna panya walikua wana paa hadi juu kabisa kwenye makabati...🤣 maana kule sio kuruka tena...😂
WachambuziUjumbe umejieleza wazi kabisa.
Sasa subiria wataalam kutoka Kisemvule waanze kuutafsiri ujumbe
Wamemfanyia kitu kibaya sana, hata sahau na sidhani kama atawapokea tenaKwenye ujumbe wake kuna uzi mwembamba sana kati ya maumivu na hasira kwambaaaaaali....
Kweli alikosea msimamisha kisa katoa maoni yakeKuhusu Gerald Hando, ni yeye mwenyewe ndiye kazingua.
Nisawa na kuachwa ghafla na mlimbwende unae mpenda sana.... lazima upate maumivu kama bin adam, sema ndio hivyo lazima kuionyesha dunia kwamba maisha lazima yaendelee tuWamemfanyia kitu kibaya sana, hata sahau na sidhani kama atawapokea tena
Ila professional wise sio sawa kwa pande zoteNisawa na kuachwa ghafla na mlimbwende unae mpenda sana.... lazima upate maumivu kama bin adam, sema ndio hivyo lazima kuionyesha dunia kwamba maisha lazima yaendelee tu
Hao mabibi wanarudi mda si mrefuB12 na Oscar wenyewe wameamia wapi ?
Mm binafs nimekasirkka kitendo Cha hao jamaaa kuamuachia kumkimbia majizo,ila nae majizo kaipataje hyo Mali[emoji23]
Mkuu popoma kwann usiende kuziba nafsi pale pale efm kuliko kukah Huku kutwa nzima kurusha matusiHuwezi kuondokewa na Magwiji Wanne ( 4 ) Kitenge ( Michezo ), Hando ( Mijadala ), Bdozen ( Muziki ) na Oscar ( Uchambuzi ) halafu ukaonyesha hujaumizwa na Kinafiki unatoa Sifa na kuwatakia Kila la Kheri huko Waendako.
Mwambieni Majizzo wenu Tajiri Diamond Platnumz wa Wasafi Media anajiandaa Kummaliza kwa Dada Bingwa wa Simulizi katika Redio za Tanzania Veronica Frank na ni Suala la muda tu.
Nikiteseka / Nikitaabika na Maisha inaathiri nini katika Ustawi wako wa Kimaisha?Mkuu popoma kwann usiende kuziba nafsi pale pale efm kuliko kukah Huku kutwa nzima kurusha matusi
Nenda kaombe nafasi za michezo
Mikeka inalipa nduguMm binafs nimekasirkka kitendo Cha hao jamaaa kuamuachia kumkimbia majizo,ila nae majizo kaipataje hyo Mali[emoji23]
Na mm sijapenda hizi hela hizi[emoji57]Mm binafs nimekasirkka kitendo Cha hao jamaaa kuamuachia kumkimbia majizo,ila nae majizo kaipataje hyo Mali[emoji23]
Huyu kakasirika ila hataki kuonyesha...
Powerful msgIlikuwa wakati mzuri sana kufanya kazi na ndugu zangu Maulid Kitenge, Gerald Hando, B Dozen na Oscar Oscar.
Nitaendelea kuwashukuru na kuwaheshimu sana kwa mchango walioweka hapa #EFMnaTVE. Nawatakia mafanikio katika ajira zao mpya, mafanikio yao ni mafanikio ya tasnia na hiyo ni furaha yangu.
All the best ndugu zangu[emoji1317]
#MuzikiUnaongeaView attachment 2597151