cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mlongo, hawa wanatu ektia hawako serious.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlongo, hawa wanatu ektia hawako serious.
Bora lingeondoka lile pumbavu la kipindi cha michezo asubuhiIlikuwa wakati mzuri sana kufanya kazi na ndugu zangu Maulid Kitenge, Gerald Hando, B Dozen na Oscar Oscar.
Nitaendelea kuwashukuru na kuwaheshimu sana kwa mchango walioweka hapa #EFMnaTVE. Nawatakia mafanikio katika ajira zao mpya, mafanikio yao ni mafanikio ya tasnia na hiyo ni furaha yangu.
All the best ndugu zangu🙏🏻
#MuzikiUnaongeaView attachment 2597151
LIle la dudumizi?Bora lingeondoka lile pumbavu la kipindi cha michezo asubuhi
Hando amefanya vyema tuu kumwacha huyo jamaa , issue aliikomalia kama kwamba anapewa ruzuku na serikali , kumtengua jamaa na kumshinikiza aombe msamaha yalikuwa maamuz ya hovyo Sana , pale Wasafi akina Baba levo wanafanya blunders na still hawapigishwi magotiHakuna media tanzania ingemuunga mkono Gerald kwa maoni yake yale dhidi ya serikali kwani kamwe hata kule Wasafi hawezi kuyatoa ! Uwezi ku survive kwenye business ukapambana na serikali ukashinda!
Daah nouma SanaHuwezi kuondokewa na Magwiji Wanne ( 4 ) Kitenge ( Michezo ), Hando ( Mijadala ), Bdozen ( Muziki ) na Oscar ( Uchambuzi ) halafu ukaonyesha hujaumizwa na Kinafiki unatoa Sifa na kuwatakia Kila la Kheri huko Waendako.
Mwambieni Majizzo wenu Tajiri Diamond Platnumz wa Wasafi Media anajiandaa Kummaliza kwa Dada Bingwa wa Simulizi katika Redio za Tanzania Veronica Frank na ni Suala la muda tu.
Hao mabibi wanarudi mda si mrefu