Chawa
Kuna kutokukasirika na kutokuonesha kwamba umekasirika.
Akae mbali wapi wakati nae kuna tetesi kamchukua Bdozen.Ila professional wise sio sawa kwa pande zote
Clouds yeye kakaa mbali anawacheki tu wanavyotifuana
Dozen karudi alipolelewaAkae mbali wapi wakati nae kuna tetesi kamchukua Bdozen.
Hajajirudisha mwenyewe ni dau ndio lilo mrudisha hii biashara.Hata CMG chimbo lao ni EATV Radio washawachukua sana.Dozen karudi alipolelewa
No! Labda Mawingu na Wasafi ndio kuna ukaribu.chunguzeni kwa umakini hizi redio tatu Clouds fm,wasafi, Efm zipo chini ya boss mmoja. wanachofanya ni marketing strategy tu . unapaswa kuwa makini sana kuamini haya.
ni suala la muda kuwa wengine watasepa wasafi kwa stori za kubumba wataenda kujoin clouds na wasafi fm
Weee..!!! Hayo ni maneno tu ya inavyotakiwa kuwa, na si ilivyo..!!
Kosha tu, aliniudhi alivyomkana Hando alipotoa maoni ya serikali kukopokopa
Yeye abaki na Msoga gangHuwezi kuondokewa na Magwiji Wanne ( 4 ) Kitenge ( Michezo ), Hando ( Mijadala ), Bdozen ( Muziki ) na Oscar ( Uchambuzi ) halafu ukaonyesha hujaumizwa na Kinafiki unatoa Sifa na kuwatakia Kila la Kheri huko Waendako.
Mwambieni Majizzo wenu Tajiri Diamond Platnumz wa Wasafi Media anajiandaa Kummaliza kwa Dada Bingwa wa Simulizi katika Redio za Tanzania Veronica Frank na ni Suala la muda tu.
Inasikitisha
Buza Ipi Kwa Mama Kibonge, Buza Kanisani, Kwa Mpalange, Makangarawe
Akili za waoga ndio hiziHakuna media tanzania ingemuunga mkono Gerald kwa maoni yake yale dhidi ya serikali kwani kamwe hata kule Wasafi hawezi kuyatoa ! Uwezi ku survive kwenye business ukapambana na serikali ukashinda!
Huyo binti anahangaika sanaHuyo b dozen kaenda wapi Tena?