Ujumbe mzito wa Majizzo kwa Kitenge, Hando, Bdozen na Oscar Oscar

Kuna jambo nyumba ya ujumbe wake,sio kawaida Sana staff wanne kwa mara Moja kuondoka.

Tafakari
 
Bora lingeondoka lile pumbavu la kipindi cha michezo asubuhi
 
Hakuna media tanzania ingemuunga mkono Gerald kwa maoni yake yale dhidi ya serikali kwani kamwe hata kule Wasafi hawezi kuyatoa ! Uwezi ku survive kwenye business ukapambana na serikali ukashinda!
Hando amefanya vyema tuu kumwacha huyo jamaa , issue aliikomalia kama kwamba anapewa ruzuku na serikali , kumtengua jamaa na kumshinikiza aombe msamaha yalikuwa maamuz ya hovyo Sana , pale Wasafi akina Baba levo wanafanya blunders na still hawapigishwi magoti
 
Daah nouma Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…