Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Tatizo pale kati patamu...vijana wanapataka wazee wanapataka
 
Mzee acha hzo fikra oa Kam atachapwa na ushahidi unao bas timua Kisha endele na mambo yako mkee achungwi hata siku Moja chunga uone atakavyofanywa
Oa zah wtoto Kam hajatulia bas amsha mkuu

Kuna jama mmoja alieleza vzr jins yey yalivyomtokea ila alitulia na kuwa focused

Sasa wee unazurura na mwanmke kote saa ngapi mtalea watoto wenu jmn controla vip mzee wew c muoaji tuulize cc tumeoa vip na kwann tunaishi nao kivip

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mtu anayejiua kwa sababu ya ngono hasa mwanaume namuona kama alichelewa kufa, alipaswa kufa hata kwa kugongwa na gari tu... Ni upuuzi wa hali ya juu
 
Mume si yuko busy kanisani sasa hiki kipele nani akikune huko nyumbani?
 
Hivi kushusha pumzi, naandikaje jamani? Au kwa alama. Maana hapa nimeshusha pumzi za nguvu baada ya kusoma hii habari.
Hii dunia hii jamani!!
 
Mkuu wanawake hawana kanuni,

Unaweza kusema ukiwa bize na kutafuta hela utachapiwa Ila huku uswazi watu hawana hela na wake zao wanagongwa na Bodaboda au wauza chips

Mambo ni patashika

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…