Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Kamaa huwaa mnadhani kuwaa kina mama wachungaji huwa hawagawii njee polee Sanaa..hao wamama hawafai tena wanachepukaga jumlaa kbsaa...Nina rafiki yangu ni mama mchungajii anafanya Mambo ya aibuu mnoooo..I feel sorry kwa mume wakee aiseeeeee ni aibuu..sijashangaa kbsaa kwa huyoo mkee wa masanjaaa
Tatizo pale kati patamu...vijana wanapataka wazee wanapataka
 
Ukiwa na Pesa lazima utachapiwa,kwanini?

Pesa unazitafuta,muda wote uko busy na biashara,trust me watu wenye pesa wanafanya kazi usiku na mchana You cant find him at home hata siku 1.

Hapo ndio kwenye kasheshe,unakua umeshaoa Kazi lazima ziendelee mke anabaki nyumbani nyege zinamkaba asipoenda megwa na katibu kama mke wa masanja basi atamegwa na Mlinzi huyo huyo hapo kwako au House Boy.

Nimesha achwa na wanawake zaidi ya watatu,sababu kuu ni 1 wananiambia sina muda na wao so siwapendi, "si kweli siwapendi" ila niko busy siwezi rudi home mapema mimi wakat usiku ndio mida ina wateja, mchana pia situlii ndio mida nafata stock ya kusambaza maduka yangu.

wa kwanza kanibwaga,nikasema fresh,wapili na watatu sishangai.. Nina mwanamke wangu namwambia kila siku nitamuoa nitakapopata mtu wakusimamia biashara zangu,anahisi ni utani ila kweli sito OA kabla sijapata assuarance ya nani ata run these business nikiwa nmelala pale kitandani na mama kayaiiiii....

Naweza kuoa hata sasa hivi lakini nina uhakika 100% mke wangu atagongwa na kila aina ya mwanaume labda tu nyege zake ziwe zinaishia kiunoni hazifiki kwenye K.

Nawaza kimoyo moyo,mimi kapuku sina chochote kile nipo busy namna hiii, hao wenye mabiashara yao wanayafata China,wanaenda wenyewe uturuki, hali ikoje?

Nikiona muda unaenda Sipati wakusimamia biashara zangu,naoa ila ntazunguka kila mahali na mke wangu simuachi nyuma,acha watu waseme watakavyo ila Simuachi nyuma mke wangu,Tutaenda gongania hata chooni kule kariakooo.

Ukiwa na Pesa halali unazozitafuta mwenyewe,kugongewa hata usishangae! Bado nipo nipo sana aseee.

Nayaona yanayowakuta wengi wanaonizunguka....Mtu kama diamond ana show ratba ipo full booked mpaka January huyu muda wakumgonga mpenzi wake anautoa wapi? basi acha watu wamsaidieeee, nayaona yote hayo Mimi n nani nikimbilie maumivu ya ndoa SITAKIII nipo sana asee.
Mzee acha hzo fikra oa Kam atachapwa na ushahidi unao bas timua Kisha endele na mambo yako mkee achungwi hata siku Moja chunga uone atakavyofanywa
Oa zah wtoto Kam hajatulia bas amsha mkuu

Kuna jama mmoja alieleza vzr jins yey yalivyomtokea ila alitulia na kuwa focused

Sasa wee unazurura na mwanmke kote saa ngapi mtalea watoto wenu jmn controla vip mzee wew c muoaji tuulize cc tumeoa vip na kwann tunaishi nao kivip

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mara kadhaa tumeshauriwa Kuchunguza wake zetu mienendo yao, Hali sio nzuri kila sehemu watu wanagegedana sio mchezo. Chini hapa ni ujumbe wa kijana aliyekua anatoka kimapenzi na bibie monica ambae ni mke wa Masanja;

"...UJUMBE wangu wa Mwisho kwako MONICA

Asante Kwa kunipenda Kipindi chote hakika umenipa Upendo ambao umeacha alama moyoni mwangu ambao kila nikijaribu kuifuta nimeshindwa sioni upendo wako wa Mwanzo hivyo nimebaki Kuumia MOYONI kwa kukosa

REAL LOVE FROM YOU. MONICA Ulinipenda sana na Kuniahidi kutoniacha siku zote na Ahadi zako nilizipokea MOYONI Nami Kukuahidi Kukupenda sana na hii ndo INANIUMIZA SANA MONICA Asante kwa PENZI LAKO ambalo halijawahi kutoka MOYONI MWANGU[emoji24] SIONI TENA HAJA YA KUISHI KWENYE HII DUNIA

BILA PENZI LAKO NASEMA SIWEZI[emoji24]
MONICA SAMAHANI kwa MAAMUZI nitakayo yafanya NAJUA uamini kama naweza kufanya hivi kwa sababu ya PENZI Lako BUT NAOMBA upelewe kua umefanya nione THAMANI YA MAPENZI katika huu ULIMWENGU kupitia wewe so SIWEZI KUISHI BILA PENZI LAKO,

SIONI TENA MAANA YA MAISHA [emoji24]. MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.

Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU [emoji24]. Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.

MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT [emoji3590] Bye KIOSHO.

KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE, Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.
Mtu anayejiua kwa sababu ya ngono hasa mwanaume namuona kama alichelewa kufa, alipaswa kufa hata kwa kugongwa na gari tu... Ni upuuzi wa hali ya juu
 
Kamaa huwaa mnadhani kuwaa kina mama wachungaji huwa hawagawii njee polee Sanaa..hao wamama hawafai tena wanachepukaga jumlaa kbsaa...Nina rafiki yangu ni mama mchungajii anafanya Mambo ya aibuu mnoooo..I feel sorry kwa mume wakee aiseeeeee ni aibuu..sijashangaa kbsaa kwa huyoo mkee wa masanjaaa
Mume si yuko busy kanisani sasa hiki kipele nani akikune huko nyumbani?
 
Hivi kushusha pumzi, naandikaje jamani? Au kwa alama. Maana hapa nimeshusha pumzi za nguvu baada ya kusoma hii habari.
Hii dunia hii jamani!!
 
Ukiwa na Pesa lazima utachapiwa,kwanini?

Pesa unazitafuta,muda wote uko busy na biashara,trust me watu wenye pesa wanafanya kazi usiku na mchana You cant find him at home hata siku 1.

Hapo ndio kwenye kasheshe,unakua umeshaoa Kazi lazima ziendelee mke anabaki nyumbani nyege zinamkaba asipoenda megwa na katibu kama mke wa masanja basi atamegwa na Mlinzi huyo huyo hapo kwako au House Boy.

Nimesha achwa na wanawake zaidi ya watatu,sababu kuu ni 1 wananiambia sina muda na wao so siwapendi, "si kweli siwapendi" ila niko busy siwezi rudi home mapema mimi wakat usiku ndio mida ina wateja, mchana pia situlii ndio mida nafata stock ya kusambaza maduka yangu.

wa kwanza kanibwaga,nikasema fresh,wapili na watatu sishangai.. Nina mwanamke wangu namwambia kila siku nitamuoa nitakapopata mtu wakusimamia biashara zangu,anahisi ni utani ila kweli sito OA kabla sijapata assuarance ya nani ata run these business nikiwa nmelala pale kitandani na mama kayaiiiii....

Naweza kuoa hata sasa hivi lakini nina uhakika 100% mke wangu atagongwa na kila aina ya mwanaume labda tu nyege zake ziwe zinaishia kiunoni hazifiki kwenye K.

Nawaza kimoyo moyo,mimi kapuku sina chochote kile nipo busy namna hiii, hao wenye mabiashara yao wanayafata China,wanaenda wenyewe uturuki, hali ikoje?

Nikiona muda unaenda Sipati wakusimamia biashara zangu,naoa ila ntazunguka kila mahali na mke wangu simuachi nyuma,acha watu waseme watakavyo ila Simuachi nyuma mke wangu,Tutaenda gongania hata chooni kule kariakooo.

Ukiwa na Pesa halali unazozitafuta mwenyewe,kugongewa hata usishangae! Bado nipo nipo sana aseee.

Nayaona yanayowakuta wengi wanaonizunguka....Mtu kama diamond ana show ratba ipo full booked mpaka January huyu muda wakumgonga mpenzi wake anautoa wapi? basi acha watu wamsaidieeee, nayaona yote hayo Mimi n nani nikimbilie maumivu ya ndoa SITAKIII nipo sana asee.
Mkuu wanawake hawana kanuni,

Unaweza kusema ukiwa bize na kutafuta hela utachapiwa Ila huku uswazi watu hawana hela na wake zao wanagongwa na Bodaboda au wauza chips

Mambo ni patashika

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom