Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Ningekua na namba zako za whatsapp ningekutumia ujionee mwenyewe as alianza kupost video zake alipokua dubai kwenye honeymoon then akapost wimbo wa mapenzi yanauma w harmonize akapost anaaga anasema kwaherini ya mwisho ndo hilo gazeti la monica
Snitch Sana jamaa
 
Kabla ya kujiua angetuletea ushuhuda Kule kwenye uzi wetu pendwa WA KULA TUNDA KWA MASIHARA, halafu angeenda zake kuaga dunia.
 
Hivi kwa nini watu wamehitimisha kuwa Monica aliyetajwa ni mke wa Masanja? Hawezi kuwa Monica mwingine tu ambaye sisi hatumjui? Maana kwenye huo ujumbe sijaona mahali mwandishi ameashiria ni mtu gani anayemsema
Kwa kitendo Cha Masanja kukiri kwamba hizo ndio gharama ya walichoitiwa it means Ni Monica wake ndio anayeongelewa
 
Ameandika monica(msukuma wa masanja)
Masanja humwita hivyo mkewe na monica ukiingia page yake insta anajiita msukuma wa masanja so bila doubt wa kwenye meseji ni yeye,ila sasa kama ni kweli au si kweli hapo marehemu ndo katuweza🤣🤣🤣🤣
Inaonesha hii taarifa unayo vizuri😁😁😁
 
Huyu katibu mpuuzi uyu alikuwa anadate na bibi ya mutu sasa wivu wa niin, au monica aliamua kumpiga kibuti katibu akaenda kwa mwingine tofauti na Masanja sasa katibu wivu ukamjaa sana na na hisi katibu alikuwa anapewa kila kitu

Katibu alifeli kumkojoza huyu monica akadharauliwa waziwazi ,au monica alienda uko akaliwa ndogo akaja mdharau katibu

Wengi tunakula wake za watu na tunawajali pengine na kuwabebisha zaid ya waume zao ila haiwzi fikia hatua ya katibu ni kuvuka ule mstari mwekundu,

Ila wachunguze mwandiko kama ni wa katibu ikiwezekana wa fuatilie mawasiliano ya katibu miezi kadhaa nyuma
 
Ndio
Mana alieniambia anamwita huyo marehem mjomba yani alinipigia asubui mapema badae ndo naikuta kwa mange🤣🤣🤣🤣
Huyohuyo jamaa yako kachukua laki mbili kwa Mange😁kauza habari
 
Huyohuyo jamaa yako kachukua laki mbili kwa Mange😁kauza habari
Shida ni kuwa jamaa alipost status so wengi wakaiona
So inawezekana akawa huyo au wengine ila lazma atakua mtu wa karibu ambae alithibitisha kifo chake kabla ya kupost habari kwa mange
All in all hiyo familia ni hawaelewi,wamepanic wahaya huko sijui itakuaje!
 
Shida ni kuwa jamaa alipost status so wengi wakaiona
So inawezekana akawa huyo au wengine ila lazma atakua mtu wa karibu ambae alithibitisha kifo chake kabla ya kupost habari kwa mange
All in all hiyo familia ni hawaelewi,wamepanic wahaya huko sijui itakuaje!
Anko wenu kiazi Sana..
 
Back
Top Bottom