π€£π€£π€£Yani hiki kiungo chetu kina majina kuliko kawida
Unapangwa nn? Kabla hajafa katuma hiyo msg kwa watu wake wa karibu , mke wa Masanja na rafiki zake.
Snitch Sana jamaaNingekua na namba zako za whatsapp ningekutumia ujionee mwenyewe as alianza kupost video zake alipokua dubai kwenye honeymoon then akapost wimbo wa mapenzi yanauma w harmonize akapost anaaga anasema kwaherini ya mwisho ndo hilo gazeti la monica
Kwa kitendo Cha Masanja kukiri kwamba hizo ndio gharama ya walichoitiwa it means Ni Monica wake ndio anayeongelewaHivi kwa nini watu wamehitimisha kuwa Monica aliyetajwa ni mke wa Masanja? Hawezi kuwa Monica mwingine tu ambaye sisi hatumjui? Maana kwenye huo ujumbe sijaona mahali mwandishi ameashiria ni mtu gani anayemsema
Inaonesha hii taarifa unayo vizuriπππAmeandika monica(msukuma wa masanja)
Masanja humwita hivyo mkewe na monica ukiingia page yake insta anajiita msukuma wa masanja so bila doubt wa kwenye meseji ni yeye,ila sasa kama ni kweli au si kweli hapo marehemu ndo katuwezaπ€£π€£π€£π€£
Kabla ya kujiua angetuletea ushuhuda Kule kwenye uzi wetu pendwa WA KULA TUNDA KWA MASIHARA, halafu angeenda zake kuaga dunia.
NdioInaonesha hii taarifa unayo vizuriπππ
Umethibitishaje Kama yeye ndio ametuma?
Kwanini hizo meseji zisitumwe Zamani?[emoji2368]
Huyohuyo jamaa yako kachukua laki mbili kwa Mangeπkauza habariNdio
Mana alieniambia anamwita huyo marehem mjomba yani alinipigia asubui mapema badae ndo naikuta kwa mangeπ€£π€£π€£π€£
aliejinyongaaa... π π π π aisee jamaa kaacha taharuki kubwa sanaHuyohuyo jamaa yako kachukua laki mbili kwa Mangeπkauza habari
π€£πππππ Kama kaandika tukikutana nayo tutafungua codeUkute keshaandika maana ule Uzi Ni mrefuπ
Shida ni kuwa jamaa alipost status so wengi wakaionaHuyohuyo jamaa yako kachukua laki mbili kwa Mangeπkauza habari
Anko wenu kiazi Sana..Shida ni kuwa jamaa alipost status so wengi wakaiona
So inawezekana akawa huyo au wengine ila lazma atakua mtu wa karibu ambae alithibitisha kifo chake kabla ya kupost habari kwa mange
All in all hiyo familia ni hawaelewi,wamepanic wahaya huko sijui itakuaje!
Amewakera adi wanafamilia aiseeAnko wenu kiazi Sana..
Rompoopoo rompoompoo rompoompooOne man down,,daah
Fasta yaani tutafungua.π€£πππππ Kama kaandika tukikutana nayo tutafungua code
Jamaa umemponza wewe!kaja kachukua mautundu ya kimasihara halafu kaenda kunasaππππaliejinyongaaa... π π π π aisee jamaa kaacha taharuki kubwa sana