Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Kuoa ni ushauri mzuri kama atampata rafiki yake waoane.. Lakin ushaur wa kufata mke kijijini acha kabsa. Wameshapindua meza kwa umalaya alafu bila tahadhari. Bora mjini kila msichana ni malaya kwa malengo.
Waharibifu no 1 ni boda boda.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] enzi zenu kulikuwa na nyeto babu acha uongo babu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
... hili jibu kampe Masanja, sijui kama atakuelewa.
Na badala akae kimyaa ye kila siku makelele kanisani kwake.

Kuchapiwa kunauma, Masanja kaacha kuhubiri kabaki kutoa mipasho.

#YNWA
Tumemshauri kuchapiwa ni siri ya ndani nawe katafute upigilie msumari mpaka mwisho! Sasa yeye kelele rusha roho sijuwi kutaka kujitia kitanzi nk. Yeye angekaa kimya ahubiri avune kwa kondoo wake vya kutosha, siajabu angehurumiwa na kondoo aliyeumbuka kuliko wifey! 😎🤒🤠
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] enzi zenu kulikuwa na nyeto babu acha uongo babu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tunapiga nyeto na unga wa yanga (unajua unga wa yanga wewe?)
Ww unadhani ninyi vijana wa leo ndio wagunduzi wa nyeto?
Hakuna kipya chini ya jua tunachoshangaa sisi wazee kwa sasa ni maendeleo ya sayansi na teknolojia lakini mambo ya kunyanduana, kubambiana nakadhalika yalikuwepo tangu enzi zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…