Tashacobbs
JF-Expert Member
- Jun 18, 2022
- 572
- 1,559
Ujumbe upo labda umekupita tu🤣🤣🤣Mbona sijaona sehemu iliyoandikwa hivyo au kuna ujumbe mwingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujumbe upo labda umekupita tu🤣🤣🤣Mbona sijaona sehemu iliyoandikwa hivyo au kuna ujumbe mwingine?
Huwezi kuwa kiongozi wa kiroho hasa ukawa kwenye siasa za ccm kama sio mtu wa makandokando kuficha uchafu wako. Masanja kanisa analitumia kwa mambo yake anayoyajua muda utasema tuLisemwalo lipo,huyu jamaa tetesi za kuuza unga amekuwa nazo ni muda mrefu sana na ni watu wake wa karibu ndio wanayazungumza,jiulize Masanja ana biashara gan za kwenda nje ya nchi kila mara?[emoji848],kingine kama anajiamini na biashara zake anazofanya why amekua ni chawa wa kusifiasifia kila kitu kinachofanywa na serikali hata kama hakistahili kusifiwa
Kijana alijua akioa mama mchungaji Monica atahudumia yeye na mkewe gafla kashanga mama mchungaji ahudumii amkatii ten avitambaa vya kushona suriali hampi vi elfu kumi kumi
Unazani utafanyaje una mke anaitaji matunzo na wewe umezoea tuzwa 😂😂 kaona isiwe taabu ngoja nipumzike kwa
kwa kawaida mwanaume kipaumbele chake ni heshima sio kupendwa au kubembelezwa. Ukiona anaweka mbele kupendwa au kubembelezwa ujue ni tatizo, ana mambo ya kike kikeKijana alijua akioa mama mchungaji Monica atahudumia yeye na mkewe gafla kashanga mama mchungaji ahudumii amkatii ten avitambaa vya kushona suriali hampi vi elfu kumi kumi
Unazani utafanyaje una mke anaitaji matunzo na wewe umezoea tuzwa 😂😂 kaona isiwe taabu ngoja nipumzike kwa amani
Kuna walakini mkubwa kwa aina hii ya makanisa, mara nyingi yana asili yake kule kwa Biden na yanahamasisha watu wawe huru pasipo kufuata kanuni za asili za kimaumbile na kukaidi amri na sheria za Mungu Mwenyezi. Kwa kifupi yanajenga fikra za uasi kwamba watu wawe huru kufanya chochote wanachotaka bila hofu yoyote, unaweza kuamua kuwa shoga, msagaji nk. pasipo kuhisi hatia yoyote.Kanisa linaitwa Feel Free Church.
Wengi hawaoni upande huo kiwa huyu kijana ameuawa...hayo maandishi Yana gapes nyingi kuonyesha sio marehem aliyeandika hujimbe huo..
Mzee usioe kabisaaa,Ndoa ni mtego.Alafu anatokea Bwege ananiambia nioe,
Wakuoa nitakuwa mimi Bana.
Sitaki linikute jambo kama la Masanja
Najua,kupika kufua kuosha vyombo etc.View attachment 2381717
Mimi ni Myao ogwe utakuwa Mpare! yaan nlivoona hakuna hata kanyama nikajua tu unakotokea
Simpo tuu mzee nataka niwahi game ya simba hapa.izo njegere mie lazima ningetoa boko
Aiseeee...mm naweza ua mtuMzee usioe kabisaaa,Ndoa ni mtego.
Wa muhukuru auMimi ni Myao og
Wewe unaetusema wapare acha ujuha. Ukute hizo nyama unakula 2 kwa wiki. Wapare wamekuzidi kila kitu.we utakuwa Mpare! yaan nlivoona hakuna hata kanyama nikajua tu unakotokea
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] wapare wamekukosea nini Mekuwe utakuwa Mpare! yaan nlivoona hakuna hata kanyama nikajua tu unakotokea