Ujumbe wa Diamond kwa bintiye Wazua Utata

Ujumbe wa Diamond kwa bintiye Wazua Utata

Wababa wa mwendokasi shida tupu aisee maneno gan hayo ya kumwambia mwanaee hivo sasa yeye ka alikua hakitulizi anafikiria na tiffah atatulia lazima arithi hyo tabia

hahahahahaha we jamaa umenifanya nicheke sana..
 
Inawezekana ndio msharti hayo. Dunia duara hii!!!!!!
 
me nazani diamond anafanya vizur miaka hii hakuna kuoneana aibu kumuonya mtoto kwa sasa mtoto miaka 12 anagongw sasa kwanin tusiwaeleze watoto ukweli ili wasialibike

We ndo jinga kweli kw umri huo nd umwambie
 
Namtabiria kuwa Mungu akipenda atapata watoto wakike tu!! Asijue alipokosea.
 
Diamond kiki zake zimesimamia kwenye Ngono na Birthday. Sasa si jambo la kushangaa akimtumia mwanae kuendeleza kiki maana anaowategemea washachoka na kuzeeka.

Poor Domo.
 
Pumba kutoka kwa baba, hivi unaanzaje kumwambia mtoto wako hivo? Ovyo
Ningekuwa Diamond haraka sana ningeomba radhi na kufuta upuuzi wote nilioandika....Lakini kwasasa yuko juu!!!je ataweza kufanya hivyo?
To be wealth is to be happy and to have silly mind
 
Matatizo ya kulelewa uswahilini...

Hata ukipata exposure bado utakuwa na mambo ya kiswahili swahili tuu....Diamond anawaza ngono tuu...
 
Diamond kiki zake zimesimamia kwenye Ngono na Birthday. Sasa si jambo la kushangaa akimtumia mwanae kuendeleza kiki maana anaowategemea washachoka na kuzeeka.

Poor Domo.
Jasiri haachi asili...mswahili atabaki mswahili tuu hata kama akipata exposure...

Pathetic fool Diamond
 
Hivi kwani tifffa kasikia au ni umbea wenu tu.!!
 
  • Thanks
Reactions: iw8
1.jpg

Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii.Lakini ujumbe wake mpya kwa bintiye,Tiffah umesababisha mjadala mkubwa.

Akiweka picha ya binti yake huyo ambaye mwezi ujao anatimiza mwaka mmoja, Diamond aliandika: Buff day Girl! my little Pumpkin My Miss World @princess_tiffah kua mama, nikupe Raha ya Dunia na ujifaidie Ustar wako….. ila dah ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana #KIDOGO tu, Maana ntalificha wapi hili sura langu.”

Maneno: Ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana #KIDOGO tu’ ndiyo yaliyosababisha povu la haja.

Hizi ni baadhi ya comments:
Twinsrebeccita: Hivi mtoto hajafikisha hata miaka miwili ushaanza kufikiria masuala yake ya ngono!!!! Maneno ya bure kwako, usitumie utupu wa mwanao kutangaza biashara yako.

Precioushamis: Mungu auTunze usichana wako /ujana wako tiffah, kinywa cha baba yako kishindwe kwa jina la yesu amina

Jahmolbiggz: Daym did u just wrote that? Any real Dad out there won’t even think of writing such words to her dota.. Shit is Crazy

Madimwashiti: @princess_tiffah never follow your parents foot steps. U need more prayer. @diamondplatnumz better pray for this little girl coz what goes around comes around. Many many little SIMBAS out there want spare you dear. That is my own thoughts. Think about it NASSEB

Neyesu Daniel: Diamond ww sio baba mwema! Utaanzaje kumwambia bint ako ivo!? Umenikera mbna unakosa madil ya kiafrika?? Acha izo bna kama ww una njia ambazo si nzur bc mfunze mwanao akue vema!

Rajabu Mussa: Tena atakua amefuata Tabia Za Huku na huku(kwa maza n baba) maana kote kote hakuna mwenye afazali…….ukila nawe utaliwaaaaa japo #Kidogo

Tuzo Hella: Atii aliwe kidogooo!!! Labda wakati anaandika hiyo post hakuwa poa!!alionja kidogo ile kitu ya Arusha inarushanga akili,coz diamond hukogi na akili mingi sasa alifikiri nn kuandika hayo maneno hayo!!eti mtt akulwe kidogo kweliii!!!! D your not serious
Unaounaje ujumbe huo?
1469459042689.jpg
 
Ni mtazamo wake ndicho anachowaza akilini mwake ndio makuzi aliyolelewa ndio maisha yake
1)chibu amelelewa na mm alikua anayaona yote aliyokua anayafanya mamke so amejifunza kwa vitendo
2)utandawazi mazingira unamfanya ngono kuona ni jambo la kawaida inafikia hatua hata mama watoto wake anliwa denda na madenza wake yeyebanaona na anona kawaida
3)tetesi zinasema mamake anatembea na mnenguaji wake naye anaona ni kawaida tu
binafsi shishangai chibu kuyatamka haya kwa binti yake
ila kwetu sisi kama jamii iwe fundisho kwamba kila uhuru una mipaka yake ambayo usipoizingatia ndio huzaliwa haya
 
Ningekuwa Diamond haraka sana ningeomba radhi na kufuta upuuzi wote nilioandika....Lakini kwasasa yuko juu!!!je ataweza kufanya hivyo?
To be wealth is to be happy and to have silly mind
Inawezekana ni over joy, make furahi ikizidi unaezajikuta unaongea visivotakiwa, ila kwa hilo amekosea sana
 
Back
Top Bottom