Ujumbe wa Kamonga siku ya Mazingira Duniani

Ujumbe wa Kamonga siku ya Mazingira Duniani

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Mchekeshaji anayetoa elimu pia, Kamonga ametuma ujumbe kuwa "Leo Juni 5, tunasherehekea Siku ya Mazingira Duniani, siku ambayo inatuwezesha kutafakari umuhimu wa mazingira yetu na wajibu wetu wa kuyalinda.

"Ni wakati muhimu sana kwa taifa letu kujikita katika juhudi za kuthibiti magonjwa ya mlipuko, ambayo yanaweza kuathiri sio tu afya yetu binafsi, bali pia ustawi wa taifa letu."

4ff3baac-300d-4779-94b6-4b5917ae8221.jpg

f3fa9b4e-ff72-4f46-98ee-a63ec7658380.jpg
 
Back
Top Bottom