Ujumbe wa "Kwa hisani ya watu wa Marekani" Lengo lake ni nini haswa?

Ujumbe wa "Kwa hisani ya watu wa Marekani" Lengo lake ni nini haswa?

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Habari za jioni wadau.
Naomba niweke wazi kuwa mimi napenda nchi kama nchi ijitegemee kwa asilimia mia moja lakini pia natambua jambo hili laweza kuchukua muda kutokana na historia ya Taifa na harakati za kidunia zilizokuwepo na zinazoendelea kutokea.

Naamini pia katika kufikia lengo la kimaendeleo bado ni muhimu kupata msaada kutoka kwa wenzetu ambao walitangulia kimaendeleo.

Naamini pia njia bora na ya kweli katika kufikia uhuru wa kiuchumi,kifikra na kimaamuzi ni kupitia jitihada za watanzania wenyewe.

UKAKASI
Nimekuwa nikisikia au kushuhudia matangazo mbalimbali haswa katika sekta ya afya ambayo yanapenda kusisitiza matumizi ya maneno haya...

"KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"

Kwa maoni yangu maneno haya ni ya kudhalilisha mno na sielewi mantiki ya kubandika maneno haya pindi mradi unapopata msaada wa kutoka marekani.

Wakati mwingine kamradi kadogo tu kama vile ujenzi wa choo cha shilingi milioni 5 uatakuta haya maneno yapo tu.

Naamini Tanzania inapokea misaada mingi kutoka nchi mbalimbali lakini sijashuhudia sana maneno dhalili namna hii.

Je nia ya msaada wa marekani haiwezi kufikiwa hadi maneno haya yaandikwe?

Je kuna sheria nchini Marekani inayolazimisha maneno haya yaandikwe?kama ipo ni sheria ipi?

Je kuna vipengele vyovyote katika mkataba wa ushirikiano kati yetu na marekani kinachotaka maneno hayo yaandikwe?

Je wananchi wa Marekani wanapoteza nini maneno hayo yasipoandikwa?

Je Serikali haiwezi kuyapiga marufuku matumizi ya maneno haya ...mbona zamani tulipewa misaada na hakukuwa na aina hii ya maneno ya kudhalilisha?

Karibuni kwa mjadala.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Habari za jioni wadau.
Naomba niweke wazi kuwa mimi napenda nchi kama nchi ijitegemee kwa asilimia mia moja lakini pia natambua jambo hili laweza kuchukua muda kutokana na historia ya Taifa na harakati za kidunia zilizokuwepo na zinazoendelea kutokea.

Naamini pia katika kufikia lengo la kimaendeleo bado ni muhimu kupata msaada kutoka kwa wenzetu ambao walitangulia kimaendeleo.

Naamini pia njia bora na ya kweli katika kufikia uhuru wa kiuchumi,kifikra na kimaamuzi ni kupitia jitihada za watanzania wenyewe.

UKAKASI
Nimekuwa nikisikia au kushuhudia matangazo mbalimbali haswa katika sekta ya afya ambayo yanapenda kusisitiza matumizi ya maneno haya...

"KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"

Kwa maoni yangu maneno haya ni ya kudhalilisha mno na sielewi mantiki ya kubandika maneno haya pindi mradi unapopata msaada wa kutoka marekani.

Wakati mwingine kamradi kadogo tu kama vile ujenzi wa choo cha shilingi milioni 5 uatakuta haya maneno yapo tu.

Naamini Tanzania inapokea misaada mingi kutoka nchi mbalimbali lakini sijashuhudia sana maneno dhalili namna hii.

Je nia ya msaada wa marekani haiwezi kufikiwa hadi maneno haya yaandikwe?

Je kuna sheria nchini Marekani inayolazimisha maneno haya yaandikwe?kama ipo ni sheria ipi?

Je kuna vipengele vyovyote katika mkataba wa ushirikiano kati yetu na marekani kinachotaka maneno hayo yaandikwe?

Je wananchi wa Marekani wanapoteza nini maneno hayo yasipoandikwa?

Je Serikali haiwezi kuyapiga marufuku matumizi ya maneno haya ...mbona zamani tulipewa misaada na hakukuwa na aina hii ya maneno ya kudhalilisha?

Karibuni kwa mjadala.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
MSAADA MSAADA TU MKUU
Kama hutaki maneno hayo baada ya kusaidiwa na wenye nazo,kataa misaada yao
Hutaona maneno hayo kama kama ukizingatia hayo
Ni sharti linalolenga nini haswa?
 
Kama mnategemea kusaidiwa kwa kila jambo ni uungwana umtambue aliekusaidia.Kama hutaki kumtambua aliekusaidia usikubali kusaidiwa.
Tanzania imepokea misaada toka ilipopata uhuru kwa nini maneno haya yamekuja miaka hii ya karibuni?
 
Habari za jioni wadau.
Naomba niweke wazi kuwa mimi napenda nchi kama nchi ijitegemee kwa asilimia mia moja lakini pia natambua jambo hili laweza kuchukua muda kutokana na historia ya Taifa na harakati za kidunia zilizokuwepo na zinazoendelea kutokea.

Naamini pia katika kufikia lengo la kimaendeleo bado ni muhimu kupata msaada kutoka kwa wenzetu ambao walitangulia kimaendeleo.

Naamini pia njia bora na ya kweli katika kufikia uhuru wa kiuchumi,kifikra na kimaamuzi ni kupitia jitihada za watanzania wenyewe.

UKAKASI
Nimekuwa nikisikia au kushuhudia matangazo mbalimbali haswa katika sekta ya afya ambayo yanapenda kusisitiza matumizi ya maneno haya...

"KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"

Kwa maoni yangu maneno haya ni ya kudhalilisha mno na sielewi mantiki ya kubandika maneno haya pindi mradi unapopata msaada wa kutoka marekani.

Wakati mwingine kamradi kadogo tu kama vile ujenzi wa choo cha shilingi milioni 5 uatakuta haya maneno yapo tu.

Naamini Tanzania inapokea misaada mingi kutoka nchi mbalimbali lakini sijashuhudia sana maneno dhalili namna hii.

Je nia ya msaada wa marekani haiwezi kufikiwa hadi maneno haya yaandikwe?

Je kuna sheria nchini Marekani inayolazimisha maneno haya yaandikwe?kama ipo ni sheria ipi?

Je kuna vipengele vyovyote katika mkataba wa ushirikiano kati yetu na marekani kinachotaka maneno hayo yaandikwe?

Je wananchi wa Marekani wanapoteza nini maneno hayo yasipoandikwa?

Je Serikali haiwezi kuyapiga marufuku matumizi ya maneno haya ...mbona zamani tulipewa misaada na hakukuwa na aina hii ya maneno ya kudhalilisha?

Karibuni kwa mjadala.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mnang'ang'ania madaraka halafu unaulizia makalio ya mbuzi na mkia unauona.
 
Tanzania imepokea misaada toka ilipopata uhuru kwa nini maneno haya yamekuja miaka hii ya karibuni?
Kwanini muendelee kupokea misaada miaka yote hiyo tokea uhuru? Misaada ya kidhalilishaji?Maana nimeweka hiyo "Ya kiudhalilishaji", kwasababu utasema siyo sisi tu tunaopewa misaada hapa duniani.

Serikali ipige marufuku "my foot"

Beggars can never be choosers!
 
Hayo mabwenyenye ni kama yanatugombania kama vile kabla ya akina karl peters kabla ya kugawana ilikuwa taifa ambalo liliwahi fanya mkataba na nchi fulani automatically hilo ni kiloni lake.Hivyo pia hawa ili upewe koloni mbeleni itaangaliwa namna ulivyojihusisha nao
 
Kwanini muendelee kupokea misaada miaka yote hiyo tokea uhuru? Misaada ya kidhalilishaji?Maana nimeweka hiyo "Ya kiudhalilishaji", kwasababu utasema siyo sisi tu tunaopewa misaada hapa duniani.

Beggars can never be choosers!
Kuna haja ya kuendelea kuwa na udhalilishaji huu ambao hapo nyuma haukuwepo?
 
Kuna haja ya kuendelea kuwa na udhalilishaji huu ambao hapo nyuma haukuwepo?
Hauwezi kuwapangia, solution ni uache kuomba. Usidhani utaweza kuwapangia kama mnavyotaka kufanya kwa wale USAID kuhusiana na issue ya mpango wa uzazi.
 
Hauwezi kuwapangia, solution ni uache kuomba. Usidhani utaweza kuwapangia kama mnavyotaka kufanya kwa wale USAID kuhusiana na issue ya mpango wa uzazi.
Je agizo la kuandika hivyo lilitoka kwa wananchi wa marekani au ni mbwembwe za watawala wa huko?
 
Habari za jioni wadau.
Naomba niweke wazi kuwa mimi napenda nchi kama nchi ijitegemee kwa asilimia mia moja lakini pia natambua jambo hili laweza kuchukua muda kutokana na historia ya Taifa na harakati za kidunia zilizokuwepo na zinazoendelea kutokea.

Naamini pia katika kufikia lengo la kimaendeleo bado ni muhimu kupata msaada kutoka kwa wenzetu ambao walitangulia kimaendeleo.

Naamini pia njia bora na ya kweli katika kufikia uhuru wa kiuchumi,kifikra na kimaamuzi ni kupitia jitihada za watanzania wenyewe.

UKAKASI
Nimekuwa nikisikia au kushuhudia matangazo mbalimbali haswa katika sekta ya afya ambayo yanapenda kusisitiza matumizi ya maneno haya...

"KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"

Kwa maoni yangu maneno haya ni ya kudhalilisha mno na sielewi mantiki ya kubandika maneno haya pindi mradi unapopata msaada wa kutoka marekani.

Wakati mwingine kamradi kadogo tu kama vile ujenzi wa choo cha shilingi milioni 5 uatakuta haya maneno yapo tu.

Naamini Tanzania inapokea misaada mingi kutoka nchi mbalimbali lakini sijashuhudia sana maneno dhalili namna hii.

Je nia ya msaada wa marekani haiwezi kufikiwa hadi maneno haya yaandikwe?

Je kuna sheria nchini Marekani inayolazimisha maneno haya yaandikwe?kama ipo ni sheria ipi?

Je kuna vipengele vyovyote katika mkataba wa ushirikiano kati yetu na marekani kinachotaka maneno hayo yaandikwe?

Je wananchi wa Marekani wanapoteza nini maneno hayo yasipoandikwa?

Je Serikali haiwezi kuyapiga marufuku matumizi ya maneno haya ...mbona zamani tulipewa misaada na hakukuwa na aina hii ya maneno ya kudhalilisha?

Karibuni kwa mjadala.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Pesa zinazotolewa ni za hisani ya watu wa Marekani, siyo za serikali ya Marekani dawa ni kujitegemea wenyewe, vipo vitu hatuhitaji misaada hata madawati ya watoto ma shuleli hakuna sababu kuomba msaada, mbao tunazo uwezo tuonao, tumezidi kuomba.
 
Pesa zinazotolewa ni za hisani ya watu wa Marekani, siyo za serikali ya Marekani dawa ni kujitegemea wenyewe, vipo vitu hatuhitaji misaada hata madawati ya watoto ma shuleli hakuna sababu kuomba msaada, mbao tunazo uwezo tuonao, tumezidi kuomba.
zamani fedha hizo zilikuwa zinatoka wapi?mbona hakukuwa na maneno haya?
 
Je wabunge wetu wanakubaliana na msemo huu? hawawezi kusema neno juu ya hili?
 
Mleta mada mtu akikusaidia hata shilingi Mia mshukuru tafadhali hiyo Mia ungeiokota barabarani? Tuache kudhalilisha wanaotusaidia .Hicho walichotusaidia tusingweza kukiokota barabarani.
 
Back
Top Bottom