Ujumbe wa "Kwa hisani ya watu wa Marekani" Lengo lake ni nini haswa?

Ujumbe wa "Kwa hisani ya watu wa Marekani" Lengo lake ni nini haswa?

upo sawa lakini China ameweka sharti kuwa viwanda vyake vyote vilivyopo Marekani, Emirate, (Dubai) Tanzania huko Vingunguti, Kunduchi hata Bagamoyo lazima vioneshe ni watu wa China
angalia bulb na vifaa vya majumbani vimeandikwa Made in PRC (People Repulic of China) na hiyo bulb ya energy save inawaka chumbani kwako, angalia simu zetu za Nokia
lakin tunalaum misaada
si misaada jamani hata vyupi boxer na sidiria Made in PRC
Hatulaumu misaada ila anayesaidia ndiye anayekuwa na kauli kubwa kwakuwa ndiye mwenye uwezo hivyo kwakuwa wewe ni mnyonge huwezi kukataa asiandike maandishi yanayomtambulisha kuwa ni yeye aliyekusaidia. Asipoandika unaweza ukaanza kujigamba kuwa ni nguvu zako kumbe ni msaada. Kuna mtu nilimsikia akisema anaomba mkopo na pesa za kulipa anazo. Sasa kama unapesa za kulipa unaombaje mkopo? Si utumie hizo pesa ulizonazo?
 
Eti utakuta ujumbe wa kuhamasisha kunawa mikono na sabuni umeletwa kwa hisani ya watu wa marekani
 
Habari za jioni wadau.
Naomba niweke wazi kuwa mimi napenda nchi kama nchi ijitegemee kwa asilimia mia moja lakini pia natambua jambo hili laweza kuchukua muda kutokana na historia ya Taifa na harakati za kidunia zilizokuwepo na zinazoendelea kutokea.

Naamini pia katika kufikia lengo la kimaendeleo bado ni muhimu kupata msaada kutoka kwa wenzetu ambao walitangulia kimaendeleo.

Naamini pia njia bora na ya kweli katika kufikia uhuru wa kiuchumi,kifikra na kimaamuzi ni kupitia jitihada za watanzania wenyewe.

UKAKASI
Nimekuwa nikisikia au kushuhudia matangazo mbalimbali haswa katika sekta ya afya ambayo yanapenda kusisitiza matumizi ya maneno haya...

"KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"

Kwa maoni yangu maneno haya ni ya kudhalilisha mno na sielewi mantiki ya kubandika maneno haya pindi mradi unapopata msaada wa kutoka marekani.

Wakati mwingine kamradi kadogo tu kama vile ujenzi wa choo cha shilingi milioni 5 uatakuta haya maneno yapo tu.

Naamini Tanzania inapokea misaada mingi kutoka nchi mbalimbali lakini sijashuhudia sana maneno dhalili namna hii.

Je nia ya msaada wa marekani haiwezi kufikiwa hadi maneno haya yaandikwe?

Je kuna sheria nchini Marekani inayolazimisha maneno haya yaandikwe?kama ipo ni sheria ipi?

Je kuna vipengele vyovyote katika mkataba wa ushirikiano kati yetu na marekani kinachotaka maneno hayo yaandikwe?

Je wananchi wa Marekani wanapoteza nini maneno hayo yasipoandikwa?

Je Serikali haiwezi kuyapiga marufuku matumizi ya maneno haya ...mbona zamani tulipewa misaada na hakukuwa na aina hii ya maneno ya kudhalilisha?

Karibuni kwa mjadala.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
ili mijitu kama meko isije ikawadanganya wananchi kuwa ndio imeweka pesa pale. meko alikuwa muongo sana na mpotoshaji.. na kwa afrika hii mijitu ipo mingi sana
 
Habari za jioni wadau.
Naomba niweke wazi kuwa mimi napenda nchi kama nchi ijitegemee kwa asilimia mia moja lakini pia natambua jambo hili laweza kuchukua muda kutokana na historia ya Taifa na harakati za kidunia zilizokuwepo na zinazoendelea kutokea.

Naamini pia katika kufikia lengo la kimaendeleo bado ni muhimu kupata msaada kutoka kwa wenzetu ambao walitangulia kimaendeleo.

Naamini pia njia bora na ya kweli katika kufikia uhuru wa kiuchumi,kifikra na kimaamuzi ni kupitia jitihada za watanzania wenyewe.

UKAKASI
Nimekuwa nikisikia au kushuhudia matangazo mbalimbali haswa katika sekta ya afya ambayo yanapenda kusisitiza matumizi ya maneno haya...

"KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"

Kwa maoni yangu maneno haya ni ya kudhalilisha mno na sielewi mantiki ya kubandika maneno haya pindi mradi unapopata msaada wa kutoka marekani.

Wakati mwingine kamradi kadogo tu kama vile ujenzi wa choo cha shilingi milioni 5 uatakuta haya maneno yapo tu.

Naamini Tanzania inapokea misaada mingi kutoka nchi mbalimbali lakini sijashuhudia sana maneno dhalili namna hii.

Je nia ya msaada wa marekani haiwezi kufikiwa hadi maneno haya yaandikwe?

Je kuna sheria nchini Marekani inayolazimisha maneno haya yaandikwe?kama ipo ni sheria ipi?

Je kuna vipengele vyovyote katika mkataba wa ushirikiano kati yetu na marekani kinachotaka maneno hayo yaandikwe?

Je wananchi wa Marekani wanapoteza nini maneno hayo yasipoandikwa?

Je Serikali haiwezi kuyapiga marufuku matumizi ya maneno haya ...mbona zamani tulipewa misaada na hakukuwa na aina hii ya maneno ya kudhalilisha?

Karibuni kwa mjadala.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Miradi wanayoifadhili inamalengo mara nyingi ya kujijengea sifa kwamba ni watu wema.

Wamerekani ni wakatili na wanafiki sana ila wanajua kucheza na saikolojia ya umma. Wanakupiga kama walivyompiga Sadam kule Iraq na kuangamiza miundombinu za uchumi alafu ili kuwapooza wananchi wanajifanya kukusaidia kwa kuleta nguo, vyakula na hata huku wakiendelea kuibana serikali walioiweka madarakani kutoa kandarasi kubwa kubwa kama vile za ujenzi wa barabara, miundombinu ya umeme na mengine kama hayo kwa makampuni zao.

Wanaita, wanatengeneza janga ili waje kujifanya wanatoa msaada kumbe ni geresha.

Hakuna nchi dhulumati duniani kama Marekani.
 
Habari za jioni wadau.
Naomba niweke wazi kuwa mimi napenda nchi kama nchi ijitegemee kwa asilimia mia moja lakini pia natambua jambo hili laweza kuchukua muda kutokana na historia ya Taifa na harakati za kidunia zilizokuwepo na zinazoendelea kutokea.

Naamini pia katika kufikia lengo la kimaendeleo bado ni muhimu kupata msaada kutoka kwa wenzetu ambao walitangulia kimaendeleo.

Naamini pia njia bora na ya kweli katika kufikia uhuru wa kiuchumi,kifikra na kimaamuzi ni kupitia jitihada za watanzania wenyewe.

UKAKASI
Nimekuwa nikisikia au kushuhudia matangazo mbalimbali haswa katika sekta ya afya ambayo yanapenda kusisitiza matumizi ya maneno haya...

"KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"

Kwa maoni yangu maneno haya ni ya kudhalilisha mno na sielewi mantiki ya kubandika maneno haya pindi mradi unapopata msaada wa kutoka marekani.

Wakati mwingine kamradi kadogo tu kama vile ujenzi wa choo cha shilingi milioni 5 uatakuta haya maneno yapo tu.

Naamini Tanzania inapokea misaada mingi kutoka nchi mbalimbali lakini sijashuhudia sana maneno dhalili namna hii.

Je nia ya msaada wa marekani haiwezi kufikiwa hadi maneno haya yaandikwe?

Je kuna sheria nchini Marekani inayolazimisha maneno haya yaandikwe?kama ipo ni sheria ipi?

Je kuna vipengele vyovyote katika mkataba wa ushirikiano kati yetu na marekani kinachotaka maneno hayo yaandikwe?

Je wananchi wa Marekani wanapoteza nini maneno hayo yasipoandikwa?

Je Serikali haiwezi kuyapiga marufuku matumizi ya maneno haya ...mbona zamani tulipewa misaada na hakukuwa na aina hii ya maneno ya kudhalilisha?

Karibuni kwa mjadala.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Lengo usije baadae kutamba kuwa CCM ndio imefanya ivyo au Rais katoa fedha.
Ni RECOGNITION SIGNATURE
 
Miradi wanayoifadhili inamalengo mara nyingi ya kujijengea sifa kwamba ni watu wema.

Wamerekani ni wakatili na wanafiki sana ila wanajua kucheza na saikolojia ya umma. Wanakupiga kama walivyompiga Sadam kule Iraq na kuangamiza miundombinu za uchumi alafu ili kuwapooza wananchi wanajifanya kukusaidia kwa kuleta nguo, vyakula na hata huku wakiendelea kuibana serikali walioiweka madarakani kutoa kandarasi kubwa kubwa kama vile za ujenzi wa barabara, miundombinu ya umeme na mengine kama hayo kwa makampuni zao.

Wanaita, wanatengeneza janga ili waje kujifanya wanatoa msaada kumbe ni geresha.

Hakuna nchi dhulumati duniani kama Marekani.
Conspiracy theories kama hizi kumbe bado watu wanaziongea!
Marekani sera yake ya nje iko wazi kuwa dunia ikiwa salama kiuchumi na kisiasa na wao watakuwa salama.
Huo mwingine ni utopolo tunawaachia wagonjwa wa Milembe waamini.
 
Habari za jioni wadau.
Naomba niweke wazi kuwa mimi napenda nchi kama nchi ijitegemee kwa asilimia mia moja lakini pia natambua jambo hili laweza kuchukua muda kutokana na historia ya Taifa na harakati za kidunia zilizokuwepo na zinazoendelea kutokea.

Naamini pia katika kufikia lengo la kimaendeleo bado ni muhimu kupata msaada kutoka kwa wenzetu ambao walitangulia kimaendeleo.

Naamini pia njia bora na ya kweli katika kufikia uhuru wa kiuchumi,kifikra na kimaamuzi ni kupitia jitihada za watanzania wenyewe.

UKAKASI
Nimekuwa nikisikia au kushuhudia matangazo mbalimbali haswa katika sekta ya afya ambayo yanapenda kusisitiza matumizi ya maneno haya...

"KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"

Kwa maoni yangu maneno haya ni ya kudhalilisha mno na sielewi mantiki ya kubandika maneno haya pindi mradi unapopata msaada wa kutoka marekani.

Wakati mwingine kamradi kadogo tu kama vile ujenzi wa choo cha shilingi milioni 5 uatakuta haya maneno yapo tu.

Naamini Tanzania inapokea misaada mingi kutoka nchi mbalimbali lakini sijashuhudia sana maneno dhalili namna hii.

Je nia ya msaada wa marekani haiwezi kufikiwa hadi maneno haya yaandikwe?

Je kuna sheria nchini Marekani inayolazimisha maneno haya yaandikwe?kama ipo ni sheria ipi?

Je kuna vipengele vyovyote katika mkataba wa ushirikiano kati yetu na marekani kinachotaka maneno hayo yaandikwe?

Je wananchi wa Marekani wanapoteza nini maneno hayo yasipoandikwa?

Je Serikali haiwezi kuyapiga marufuku matumizi ya maneno haya ...mbona zamani tulipewa misaada na hakukuwa na aina hii ya maneno ya kudhalilisha?

Karibuni kwa mjadala.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Kama hutaki maneno hayo, hicho choo cha 5M si ujenge mwenyewe..!!!
 
Back
Top Bottom