fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,027
Naaam....... Nayakubali mautundu yenuwote sambaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naaam....... Nayakubali mautundu yenuwote sambaaa
Mmoja tu anaitwa Doreen, kuna njanja m^moja alimwahi years ago.ushakutana na watanga eenh
nimekupenda bure Escobar [emoji120] kwa kipaji ulichonacho hatuombei yatokee hivyo lakini ikitokea hatuna budi kukutafutaKupendana ni jambo jema sana na siku mkishindwana mnione maana kuwarudisha walio farakana ndiyo kipaji changu
Shkamo kakaMbona unayakata kata maneno.... salimia vizuri
Aiseee..... Mambo yenu si haba, na dadako Sakayo naye ni Sambaa?
Hongera sana sakayo,Mungu akutangulie kwani umechagua fungu lililo jemaNimewahiwa tayari, kwaito ni mwezi wa tisa mkuu
Nzuri mdogo wanguhaha dada za wewe
Hata wewe????ni kweli
AsanteKupendana ni jambo jema sana na siku mkishindwana mnione maana kuwarudisha walio farakana ndiyo kipaji changu
AsanteHongera sana sakayo,Mungu akutangulie kwani umechagua fungu lililo jema
Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
Hahahahahahah mbona shikamoo huinyooshi
Nimeamka Poa mdogo wangu, vipi weweumeamka salama dada angu
Haya bwanahapana dada sasa unafkili ningemjibu vipi kila mtu na mtazamo wake ujue