Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole jamaan kwa nini sasa ebu jiamni bana kuwa wewe ni mwanaume ukijiamini hivyo kila kitu kitakaa sawaBasi wewe upo maungoni mwangu! Nitoe katika list ya waoaji afterall sijawahi kuona hata paja la mwanamke tangu nizaliwe sana sana naona mapaja ya akina Gigy wakiwa wanapapaswa na msando tu.
Wala usijaliKama ni utani, angalia mnajikosesha bahati. Nina imani humu kuna waoaji na akijua kuwa una mtu anasepa. Hili ni angalizo la hapa JF kwa hasa dada zangu akina .......
mmhI can't say anymore about that human, but I salute to her. Unajua mwenyewe nini Mungu alikupa ndani ya nafsi yako. Naomba unisamehe Sana maana sikutegemea kama ipo siku utanitoa sehemu pagumu km nilipokua maana Ata niliokua nikijivunia kuwa watanisaidia mpaka Sasa siwaoni. Naamini Unajua nn ulikifanya kwangu but I believe ipo siku Mungu atakulipia.
Ndo uwe na nidhamu sasa. Ukiendelea kuniletea za kuleta lazima nimwage radhi...babu ushindwee ujue huu uzi hausiani na hayo mambo huku ni sakayo tu
Pole mamymfyuuu si kwa kunitisha vile uliniuzi
Nataka nibadili dini niwe Padri ili kuficha aibu ya kibamia changu. Ni maumbile nsamehe bure!pole jamaan kwa nini sasa ebu jiamni bana kuwa wewe ni mwanaume ukijiamini hivyo kila kitu kitakaa sawa
Hahahasipogo labda shunierapa au kuna mtu amehack id yangu
Sawa Kivurugebasi siweki tena
Shunie nini shida?
Shangaa na wewena we muoaji kampelewele?
BabuuuUfafanuzi tafazali... shkamoo itaitikiwa moyo ukiridhika