Ujumbe wa Sakayo

Ujumbe wa Sakayo

Status
Not open for further replies.
Nataka nibadili dini niwe Padri ili kuficha aibu ya kibamia changu. Ni maumbile nsamehe bure!
kampelewele nisikilize jiamini kwanza halaf sisi wanawake sio wote wanapenda midude mikubwa ukijikubali kwanza ww kila kitu utaona cha kawaida anza kutafuta mwanamke kwanza
 
Babuuu
Hakuna awali mbovuu ujue
Leo umeusononesha sana moyo wangu...

upload_2017-6-5_16-44-53.jpeg
 
kampelewele nisikilize jiamini kwanza halaf sisi wanawake sio wote wanapenda midude mikubwa ukijikubali kwanza ww kila kitu utaona cha kawaida anza kutafuta mwanamke kwanza
Ushauri unaweza kukubaliwa au kukataliwa. Nakuomba kwa moyo mkunjufu niukatae, kwa nini nichekwe wakati mie sikujiumba. Nitakuwa Padri tu kwani huko hakuna mtu anataka akione kibamia chako. Au unataka uwe sista?
 
I can't say anymore about that human, but I salute to her. Unajua mwenyewe nini Mungu alikupa ndani ya nafsi yako. Naomba unisamehe Sana maana sikutegemea kama ipo siku utanitoa sehemu pagumu km nilipokua maana Ata niliokua nikijivunia kuwa watanisaidia mpaka Sasa siwaoni. Naamini Unajua nn ulikifanya kwangu but I believe ipo siku Mungu atakulipia.
Wooow
Najua msaada wangu kwako ni sehemu tu ya upendo nilionao kwako.
Wewe pia umekuwa sehemu ya maisha yangu kama sio ndugu. Mungu azidi kukuweka zaidi, naamini mapito ulonayo yatapita kabisaa na kila kitu kitakuwa Sawa
 
Wooow
Najua msaada wangu kwako ni sehemu tu ya upendo nilionao kwako.
Wewe pia umekuwa sehemu ya maisha yangu kama sio ndugu. Mungu azidi kukuweka zaidi, naamini mapito ulonayo yatapita kabisaa na kila kitu kitakuwa Sawa
Ameen
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom