Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia marekani kabisa.Niko upande wa marekani
hao watalii wanatoka wapi kama wazungu wenyewe wanatilia msahaka usalama wao wakiwa Tz?
Hawa Wamarekani mkiwa mnawaomba misaada muwe mnaongea lugha hii-hii mnayonena hapa.Hao wamarekani sio miungu!
Kuna watu wakisikia neno Marekani basi akili zinapagawa kabisa. Hata huko America wanatunia Oxygen ya bure kama ilivyo kwa wananchi wa Horiri na Buza kwa Mpalanje.
booking za ndege watalii wa kuja bongo zimejaa😀 hii ina dhihirisha kuwa mabeberu watawaambia watu wao wanaotaka kuja kutalii kuwa TZ sio salama
[emoji23][emoji28]
Kuna Binadamu huwa mnatapatapa..
Mlianza kwenye tanzia Sasa mmekuja na huku na kote mtachapwa mboko!!..
Si lazima tuishi kwa maneno ya wamarekani ndugu.
Hao wamarekani sio miungu!
Kuna watu wakisikia neno Marekani basi akili zinapagawa kabisa. Hata huko America wanatunia Oxygen ya bure kama ilivyo kwa wananchi wa Horiri na Buza kwa Mpalanje.
Kwanini mnamchukia mmarekani kwasababu amewaambia ukweli?
unadhani kuna waziri atasema tofauti na hivyo?
hawa wazungu mkiwa mnawaomba misaada huwa mnawaita ni wahisani wa maendeleo na mko tayari hata kumwaga razi ila wakitoa tahadhari kuhusu TZ mnawabadilikia na kuwaita mabeberuUfipa wakisikia Marekani hadi mapengo ya gego yanaonekana 🤣 🤣🤣🤣🤣
kwanini huwa mnalilia kupewa misaada na mashoga??
Hahahaha tuishi kwa maneno ya Jpm?😂😅
Kuna Binadamu huwa mnatapatapa..
Mlianza kwenye tanzia Sasa mmekuja na huku na kote mtachapwa mboko!!..
Si lazima tuishi kwa maneno ya wamarekani ndugu.
For the record tu. Mpaka sasa Australia. ndio.inaongoza kuwa na mashoga wengi duniani.