Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Ivi kumbe watalii wanatoka Marekani tu?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninavyo jua mimi mtalii anaweza toka hata Togo ama Bahamas, ili mradi kilicho mleta ni utalii.hao watalii wanatoka wapi kama wazungu wenyewe wanatilia msahaka usalama wao wakiwa Tz?
Hawa Wamarekani mkiwa mnawaomba misaada muwe mnaongea lugha hii-hii mnayonena hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app