Haijawahitokea Mchepuko akawa pekee na haitatokea kamwe, kiufupi tu Me huwa tunapenda kufa mapema kabla ya siku zetu kwa kujirundikia mikosi, umaskini kwa kuendekeza tamaa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hayo mapazia kwa background ni rangi gani?
Naona tuite blueHayo mapazia kwa background ni rangi gani?
Navy blue? Kuna rangi inaitwa hivyo kweli? Ni mpya? Tanzania ipo?Ile ni Navy blue π π π
Kwani blauzi ya huyo mdada ni rangi gani? Hiyo si ndio blue au?Naona tuite blue
Sawa, huyo Tina kavaaa blauzi rangi gani? π π πBasi sema bluu iliyoiva halafu turudi kwa Tina π π
Kabla ya ujumbe, naomba uniambie kuhusu ilo wigi lake. Bongo yapo hayo? Au mpaka kuagiza nje? π πBluu bahariπ π π ujumbe umeusikia lakini!?