Ujumbe wa wazi kwa Lemutuz ni hiari yako umeze au uteme

Ujumbe wa wazi kwa Lemutuz ni hiari yako umeze au uteme

Status
Not open for further replies.
Daah yule mzee Siku ya kwanza namuona kama miezi miwili hivi nilishangaa sana...! Ni mbabu atiii ...! Ila anaposti akiwa na vitoto vidogo aisee jamaa atapata akili mbali Sana'a.
 
hapa zamani zake akiwa kijana.

AGAPEO+3.jpg


agapeo+2.jpg


Kumbe ameshapita stage zote za ujana utuuzima sasa ni mzee [emoji23][emoji23]
 
Kwako Lemutuz
Unajiita sijui mzee wa mbebez, sijui le mbebez haya majina kiukweli hayaendani na wewe. Umri ulokua nao sio umri wa kuchanua na kula bata na vitoto vidogo ni umri wa kukaa nyumbani na kulea wajukuu

Kwa umri wako woteee kweli hivi unaishi maisha ya kulala hotelini?
Ni aibu gani hii jamani? Kwanini usiuze gari ujenge hata kajumba kaa room moja?
Huoni umri umekata ringi? Ni ushauri tu huo ndugu yangu lemutuz. Hizo sio zama zako za kukaa instagram kushindana na watoto kama kina mange la! huko ni kujitafutia matatizo bure

Hizi ni zama zako za kukaa na family yako kulea wajukuu.na watoto,,,,,over, hakuna kingine. Hivi lemutuz huna marafiki?Kama unao kwanini hawakushauri vizuri?
Kwanini unaiaibisha family yenu?

Hizo pesa za bata zikisha na kununua petrol ya gari utakua mgeni wa nani?
Kwanini hvi lakini? Jifunze kubadilika mange c type yako vitoto vya insta sio saizi yako ulipaswa ukae chini ulee familia na wajukuu maisha unayoishi sio level yako unayoyafanya sasa hivi ulipaswa kufanya ujanani sio sasa hivi

NI USHAURI TU
OVER,,,,,,,,,,,,,,
Mwenzio insta na Yale maisha ndiyo ajira yake sasa unataka afanye nin tena
 
Hah hah hah he's so humbled you know hah hah huu ni wakati wake jamani, nadhani bado jamaa ana falsafa ya maisha ya kimagharibi aliyoyaishi miaka nenda rudi!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa lemutuz
Leo niko bored napita. Tu. Moja Umri ni but a number. Mbili. Insta msidhani ya watoto. Ni ushamba wako wa kujua matumizi ya Insta ndo unakufanya ulete pumba zako zilizojaa ujuvi. Wivu hapa. By the way Ungekuwa mwanamume wa nguvu ungeenda huko hotelini kukaa naye na kuongea ili naye akupime kwa level ya ujinga wako. Hapa ni kutudhalilisha wanaume kwamba tuna kigoli mwanamume hajui anachoongea.tatu. Twende na logic zako Mange anaweza kuwa labda na 40. saaa kwa vipimo vyako je unadhani mwanamke mwenye watoto hadhi yake ni kukaa Insta. Kusubiri wambeya wa Tz wamtumie majungu ndo aposti. Au ulizani anaota. Pili katika tatu. Kiumri 40 yrs kwa mwanamke ni 70 ya mwanamume. Tatu katika tatu. Ushabiki wako ni wa kipumbavu maana umeongea ila umesahau kujitofautisha na mbwa au mnyama asiyekuwa na akili na utashi. Nne. Ulishwahi kwenda kwa baba yake akakueleza anamwaibisha. Moja katika nne. Je unajua huyo mtu anapokaa. Account yake. Kama anajenga hajengi. By the way we umejenga wapi JF au INSta. Je kati ya Yeye anayeweka maisha yake wazi na wewe unayejificha kwetu unadhani nani tutamwona wa maana. We unaweza kuwa hata yule anayetafutwa kwa kuchoma wale Watu kule Arusha. Duuu nimechoka. Ngoja nifunge kwa kusema. Kijana. Mtoto. Mzee amka. Tengeneza maisha yako. Acha kuingilia maisha ya Watu. Acha umbeya. Barua ya wazi andikia wazazi wako au we mwenyewe jieleze umepotea wapi. Kawaida mpumbavu Haoni zaidi ya juu ya pua yake.
 
Afu hapo uliposema asishindane na watoto wa instagram kama mange ngoja nikusahishe mtoa mada...Mange yule ni 40 sio mtoto tena yule ..Ni mzee mwenzake😀😀 ambaye maisha yamemchapa kiasi kwamba kaona aanzishe app achangiwe michango na wabongo....Na nnasema wabongi tunapenda udaku wa bure tu hatupendi kuchanganywa na oesa kabisa...Ona wema akivyosema atakuwa anapost kila kitu kwenye app yake ya kulipia...Mbona alirudi mwenyewe kuendelea kupost insta baada ya kuona zari kashampita followers
 
Kwako Lemutuz
Unajiita sijui mzee wa mbebez, sijui le mbebez haya majina kiukweli hayaendani na wewe. Umri ulokua nao sio umri wa kuchanua na kula bata na vitoto vidogo ni umri wa kukaa nyumbani na kulea wajukuu

Kwa umri wako woteee kweli hivi unaishi maisha ya kulala hotelini?
Ni aibu gani hii jamani? Kwanini usiuze gari ujenge hata kajumba kaa room moja?
Huoni umri umekata ringi? Ni ushauri tu huo ndugu yangu lemutuz. Hizo sio zama zako za kukaa instagram kushindana na watoto kama kina mange la! huko ni kujitafutia matatizo bure

Hizi ni zama zako za kukaa na family yako kulea wajukuu.na watoto,,,,,over, hakuna kingine. Hivi lemutuz huna marafiki?Kama unao kwanini hawakushauri vizuri?
Kwanini unaiaibisha family yenu?

Hizo pesa za bata zikisha na kununua petrol ya gari utakua mgeni wa nani?
Kwanini hvi lakini? Jifunze kubadilika mange c type yako vitoto vya insta sio saizi yako ulipaswa ukae chini ulee familia na wajukuu maisha unayoishi sio level yako unayoyafanya sasa hivi ulipaswa kufanya ujanani sio sasa hivi

NI USHAURI TU
OVER,,,,,,,,,,,,,,
Life is to Short kula bata mbaba mpaka kuku waone wivu ,
We live and die for a second.

....
 
Yote uliyoandika ni wivu tu na pia yanasababishwa na bifu kama la kibinafsi juu yake.

Yaani kabisa umekaa wewe sijui mtu mzima ukaandika. Ungekuwa na ubavu ungeandika na majina yako kabisa ila kwa ID ya humu ni umejaa wivuuuuuuuuuuuuuu...unatamani uwe yeye.


Anawanyoosha haswaaaaaa na maisha yake ya iuwa na furaha na akili kubwaz... ha ha ha haaaaa

Upupwu grade A****

Haya tafuta njia ya kulipa voch uliyokopa kwenye mtandao wako sasa hivi...big alosto.
 
Shida sio le mutuz Bali wale wana mfollow kwenye AC yake ya isnt Naona wao ni tatizo kubwa kuliko huyo le mutuzz kubwa jinga
 
Kwako Lemutuz
Unajiita sijui mzee wa mbebez, sijui le mbebez haya majina kiukweli hayaendani na wewe. Umri ulokua nao sio umri wa kuchanua na kula bata na vitoto vidogo ni umri wa kukaa nyumbani na kulea wajukuu

Kwa umri wako woteee kweli hivi unaishi maisha ya kulala hotelini?
Ni aibu gani hii jamani? Kwanini usiuze gari ujenge hata kajumba kaa room moja?
Huoni umri umekata ringi? Ni ushauri tu huo ndugu yangu lemutuz. Hizo sio zama zako za kukaa instagram kushindana na watoto kama kina mange la! huko ni kujitafutia matatizo bure

Hizi ni zama zako za kukaa na family yako kulea wajukuu.na watoto,,,,,over, hakuna kingine. Hivi lemutuz huna marafiki?Kama unao kwanini hawakushauri vizuri?
Kwanini unaiaibisha family yenu?

Hizo pesa za bata zikisha na kununua petrol ya gari utakua mgeni wa nani?
Kwanini hvi lakini? Jifunze kubadilika mange c type yako vitoto vya insta sio saizi yako ulipaswa ukae chini ulee familia na wajukuu maisha unayoishi sio level yako unayoyafanya sasa hivi ulipaswa kufanya ujanani sio sasa hivi

NI USHAURI TU
OVER,,,,,,,,,,,,,,


Kijana tafuta pesa uendeshe family yako.
Unayemsema ni mtoto wa makamu wa kwanza wa Rais mstaafu na waziri mkuu
mstaafu....Pia Baba yake alikuwa mbunge wa Mtera kwa miongo kadhaa.
Mama yake mdogo ni waziri mstaafu, mkuu wa mkoa wa zamani, Pia ni mbunge mpaka sasa.
Yeye Le Mutuz anakula pension kama mwanafamilia....
Unampangia sijui akauze gari...aaargh.

Hata kama ana umri gani maisha ni yake since hana complain.

Tuchape kazi tuache ya watu.
 
Chizi uyu huwa ananiboa sana akiwa hotelini mezani atapiga ata biskuti ndio msosi ili umuone tu yupo hotelini....Mange ananikoshaga sana anavyomchanaga
 
Maisha ni maamauzi ya mtu. Live your life to the fullest maana kesbo yako huijui ndio maana hata bw.Ivandon (R.I.P) Presudaa wa RichGang alikua ni mtu wa bata la kuventee
 
Maisha ni maamauzi ya mtu. Live your life to the fullest maana kesbo yako huijui ndio maana hata bw.Ivandon (R.I.P) Presudaa wa RichGang alikua ni mtu wa bata la kuventee
Aisee kama ku enjoy evan ka enjoy sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom