Ujumbe wa wazi kwa Lemutuz ni hiari yako umeze au uteme

Status
Not open for further replies.
Wewe utakuwa unamfahamu na kuamua kuja kumwandika vibaya humu kwa sababu ya chuki zako binafsi na umejaa wivu juu yake kwa kitamani kuwa yeye alivyo na maisha yake.

Eeeeeeeeeeeh unabwabwajaaaaaaaaaaaaaaaaa

Wivu.com
Umekula maharage ya wapi wewe mtoto wa kike? mimi nitamani maisha ya kuuza sura kwalipi kwa mfano? Sina umri mkubwa lakini ninaheshima kubwa sana kwa jamii.

Nione wivu kwalipi ( kwa umri kama wake kufanya hivi ni sawa?





 
Umekula maharage ya wapi wewe mtoto wa kike? mimi nitamani maisha ya kuuza sura kwalipi kwa mfano? Sina umri mkubwa lakini ninaheshima kubwa sana kwa jamii.

Nione wivu kwalipi ( kwa umri kama wake kufanya hivi ni sawa?






Bado unazidi kumuonea wivu, ona mpaka kusaka picha na kurusha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Eeeeeeh

Kituko

Maumivu yakizidi kutamani kuwa yeye, jipige vibao vya usoni ha ha ha haaaa
 
Ni jambo LA ajabu sana kuongelea maisha ya MTU mwingine.

Mtu huamua anavyoishi. Life style ya MTU inakuhusu nini jamani???


Only in Africa.
 
Sasa nishamjua bibi anayeliwa na babu le mut


Na soma maneno hayo...sikutaka yawe clear bali yanasomeka eeeeeh


Acha wivu, na unaonyesha unafahamiama nae.

Amefika alipo mwenyewe, wewe sasa huyoooooo. Jkutaka kumchafua... eeeeeh

CIAO
 
Heheheeeeeeeee,acha nicheke miye.
Afu wengine nao ukiwapa shikamoo utasikia "unataka kuninyima nini?"tena kwa sauti ya mahaba,
 
Kwenye hizo bata una mchangia sent ngap..?
Hiyo Hotel unamlipia wewe..?
Jenga wewe na lea wewe hao wajukuu hiv unapata wapi muda wa kuanza kufuatilia maisha ya mwanaume mwenzako na kujifanya una uchungu nae sana..?
 
Mange Kimambi amesema amechoka, amemtukana huyu amechoka, huyu sikio la kufa hasikii cha mwazini wala kengele. Anahitaji matibabu
Huyu Mange ana nafasi gani kwenye maisha ya Le Mutuz..?
Watanzania wengi naona mnaamini vitu vya Mange kuliko hata akili yako.
 

- hahahahahahah hii kali sana Mpumbavu huwa haoni zaidi ya umbali wa pua yake! duh hahahahahahahhaa NAFWAZZZZ hahahaha nilikuwa nataka kumjibu huyu mburulazzz lakini naomba niruhusu haya majibu yamsaidie hahahahahahahahhaa I love it U know

le Mutuz
 

- hahahahahhaa Picha inaonyesha mtoto wa kiume ila maneno ya jikoni sijui jinsia yako mkuu ila maneno yake yanakushitaki kwamba kuna tatizo kwenye jinsia yako maana mtoto wa kiume kuandika maneno yote haya tena kwa kutumia majina ya bandia kuhusu wanaume usiowajua hahahaha sina uhakika tu na jinsia yako,

- Kijana mdogo mimi sio level yako nina maisha wewe huna, tafuta maisha mimi ninayo


- Hiyo peke yake ni ofisi yangu hapa Posta Mpya, sasa weka yako kwanza tuendelee nikusaidie kukuelimisha kwamba mimi na wewe sio level moja ndio maana wewe untumia majina ya bandia mimi natumia jina langu kamili, ni kwa sababu wewe hujitambui mimi najitambua hahahahahahaha una matatizo ya maisha mimi sio chanzo chake hahahahaha

le Muituz
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…