Nimeiona hii picha kwa rafiki yangu nikasema lazima nifikishe ujumbe.
.
Katika hatua tuliyofikia tumeamua maisha yetu yote tuyalenge kwenye kupata likes na views kwenye social media page zetu. Wanawake wengi na wanaume wameshusha thamani yao kwa kipimo cha likes za watu ambao hata hawawajui. Siwezi kuiweka hii kwa wale ambao mara moja moja wametangaza brand flani kama nguo za ndani na product hizo but generally tuulizane tu kwanini tunafanya tunachokifanya.
.
Kuna nani anayemtaka mtu ambaye kila kitu chake kishaonekana na kila mtu tena mtandaoni ? Kwanini tunalalamika kuwa tumepokea DM za watu washenzi wanatutongoza ?... Tutaishi katika hii dunia tukisema hatujapata watu sahihi wa kuwa nao ila sometimes tujiulize pia je Sisi ni sahihi ? Dunia inabadilika sasa wewe ni nani ubaki kama ulivyo ?... Nishawahi post kama Calvin Klein influencer humu na lengo ndio jambo la muhimu kuliko yote in what we do. Maybe after some time tutakaa tujiulize thamani zetu ni zipi na hasa hasa wanawake, kuna wengi tunaona career zao ndio hivi. Naomba niseme tutaangalia, tutatamani, tutalipia na tutasepa. Mama ulipokua kijana ulifanyaje kuwa maarufu ? Nikikaa uchi mwanangu. Atakayeoa basi all the best Jiheshimu
@Idrissultan, Instagram.
Sent using Jamii Forums mobile app
.
Katika hatua tuliyofikia tumeamua maisha yetu yote tuyalenge kwenye kupata likes na views kwenye social media page zetu. Wanawake wengi na wanaume wameshusha thamani yao kwa kipimo cha likes za watu ambao hata hawawajui. Siwezi kuiweka hii kwa wale ambao mara moja moja wametangaza brand flani kama nguo za ndani na product hizo but generally tuulizane tu kwanini tunafanya tunachokifanya.
.
Kuna nani anayemtaka mtu ambaye kila kitu chake kishaonekana na kila mtu tena mtandaoni ? Kwanini tunalalamika kuwa tumepokea DM za watu washenzi wanatutongoza ?... Tutaishi katika hii dunia tukisema hatujapata watu sahihi wa kuwa nao ila sometimes tujiulize pia je Sisi ni sahihi ? Dunia inabadilika sasa wewe ni nani ubaki kama ulivyo ?... Nishawahi post kama Calvin Klein influencer humu na lengo ndio jambo la muhimu kuliko yote in what we do. Maybe after some time tutakaa tujiulize thamani zetu ni zipi na hasa hasa wanawake, kuna wengi tunaona career zao ndio hivi. Naomba niseme tutaangalia, tutatamani, tutalipia na tutasepa. Mama ulipokua kijana ulifanyaje kuwa maarufu ? Nikikaa uchi mwanangu. Atakayeoa basi all the best Jiheshimu
@Idrissultan, Instagram.
Sent using Jamii Forums mobile app