Ajira za Serikali ya awamu ya sita chini ya TAMISEMi zimejaa urasimu wa kutisha, ninapowaambia hapa kuna watu wa kada za uwalimu na Afya wanaendelea kuripoti kwenye vituo vya kazi kimya kimya bila ajira kutangazwa kwa , huu ni ufisadi na mianya ya rushwa bora niongee tu ijulikane.
Mimi nina uhakika 100% asilimia kwani kuna mwenzangu tumesoma chuo kimoja ila yeye nilimtangulia mwaka mmoja karipoti kituo cha kazi mwezi wa pili kwa kupigiwa simu hivyo hvyo, hii sio haki TAMISEMI kuna shida kubwa.
Waziri Bashungwa huu ujumbe umfikie na ausome, Watumishi wa Tamisemi sasa hivi wanafanya wanavyotaka, mimi ninachojua ajira hata kama ni mbili lazima zitangazwe watu waombe wafanye mchujo. Kwanini watu wapigiwe simu kimya kimya mbona haya mambo enzi za Magufuli hayakuwepo? hii ni mianya ya rushwa na connection.
Sijawai kuona mfumo wa ajira wa namna hii hata kwenye kampuni binafsi siku hizi haya mambo hayapo, bora TAMISEMi waache kusimamia mambo ya ajira wasimamie UTUMISHI.
Ajira zote bora zisimamiwe na Utumishi.
TAMISEMI kuna watu mule wanachafua taswira ya Serikali ya awamu ya 6.
Mimi nina uhakika 100% asilimia kwani kuna mwenzangu tumesoma chuo kimoja ila yeye nilimtangulia mwaka mmoja karipoti kituo cha kazi mwezi wa pili kwa kupigiwa simu hivyo hvyo, hii sio haki TAMISEMI kuna shida kubwa.
Waziri Bashungwa huu ujumbe umfikie na ausome, Watumishi wa Tamisemi sasa hivi wanafanya wanavyotaka, mimi ninachojua ajira hata kama ni mbili lazima zitangazwe watu waombe wafanye mchujo. Kwanini watu wapigiwe simu kimya kimya mbona haya mambo enzi za Magufuli hayakuwepo? hii ni mianya ya rushwa na connection.
Sijawai kuona mfumo wa ajira wa namna hii hata kwenye kampuni binafsi siku hizi haya mambo hayapo, bora TAMISEMi waache kusimamia mambo ya ajira wasimamie UTUMISHI.
Ajira zote bora zisimamiwe na Utumishi.
TAMISEMI kuna watu mule wanachafua taswira ya Serikali ya awamu ya 6.