Ujumbe wangu kwenu mnao hate me kumsapoti Diamond humu ndani

Ujumbe wangu kwenu mnao hate me kumsapoti Diamond humu ndani

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
Nimegundua hapa kuwa wanaume wanaongoza kumuonea wivu diomond kuliko wanawake! Kizuri ni kwamba huyu bwana mdogo mashabiki wake wengi ni watoto wa kike na wanamume wasio na wivu ama chuki za kimaendeleo! Na wanao mchukia wengi ni wakiume! I don know why!

Pengine ni sababu vijana wengi hawana kazi za kufanya kwa hiyo wakiona mtu ana tengeneza pesa wana mchukia! Na wapa pole wanao mchukia maana wana poteza muda maana haisaidii chochote! Vijana tafuteni kazi za kufanya diomond si chanzo cha matatizo
yenu!

Me napenda sana vijana wanao tengeneza pesa kuliko vijana wanaoshinda kutukana wenzao wanaofanya vizuri kimaendeleo.

Poleni sana mnao wachukia wanao jaribu kutengeneza pesa japo hamuendi kwenye show zao!

HAKUNA UBISHI DIAMOND ANAFANYA MUZIK MZURI NA SHOW NZURI ZINAZOENDA NA WAKAT KULIKO MWANAMUZIK YEYOTE NA KWA VILE WANAUME WENYE CHUKI NA WIVU NI WENGI WACHA ME NIENDELEE KUTANGAZA JEMA LOLOTE LITAKALO TOKEA KUMMHUSU PLATNUMZ

ATAKAPOPATIKANA MWANAMZIK MWINGINE ATAKAEFANYA VIZUI,NAYE NTAMSAPOTI

NI HAYO TU
 
Hamna mtu mwenye chuki naye,labda baadhi ya watu,vile vile nadhani Ali Kiba alikuwaga juu kuliko Diamond ila now Ali Kiba hasikiki kabisaaa,so kila kitu kina mwanzo na mwisho,na kwa upande wa Diamond naona anaanza kufifia baada ya kutoa wimbo wake wa Nataka Kulewa,hauna mantiki yoyote alafu mbovu,nadhani akiendelea kutoa nyimbo zake zingine nzuri kama hii ya Kesho ni nzuri na zingine zote....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Tambua kuwa hata Wacko Jacko alikuwa na critiques, usitarajie kuona kila mtu anampenda diamond kama wewe, pia uzuri wa kitu au mtu ni subjective. Wewe endelea kumpenda na kum support na wanao mkosoa waache waendelee kumkosoa, haimwongezei wala kumpunguzia., Ila kama kweli unampenda na unam support na kumtakia mafanikio zaidi basi take trouble kutathmini ni nini watu wanaponda kumhusu huyo dayamond na kama uko katika nafasi ya kushauri basi mshauri arekebishe kasoro zake, sio anaonesha makalio jukwaani afu bado utarajie watu wamsifie...
 
Mama yake Wema alishasema washirikina wanaosafiria nyota ya mwanawe imekula kwao.
Mwanawe yuko fit sasa na amemuhangaikia na kumfunga.
so huyo jamaa yako hata akijishaua kuimba nyimbo na kutumbukiza jina la Wema hai pay atention kwa hadhira iliokusudiwa.

Gagulo we...
 
Me nahis wew ndugu ndio umechanganyikiwa then nafikir kama ulipitia shule kidogo elimu yako haijakugombea, tatzo ni kumpenda domond tu? Domond sawa ni msanii mzur anaimba nyimb nzur but sio maana kuwa anamfurahisha kila mtu, then kila mahali lazma kuwe na ushindan ili maisha yaende, sasa wew unataka apendwe na watu wote yeye mungu? Acha kutokwa na povu lisilokuwa na sababu ya msingi na usiharb jukwaa letu mkuu
 
Mama yake Wema alishasema washirikina wanaosafiria nyota ya mwanawe imekula kwao.
Mwanawe yuko fit sasa na amemuhangaikia na kumfunga.
so huyo jamaa yako hata akijishaua kuimba nyimbo na kutumbukiza jina la Wema hai pay atention kwa hadhira iliokusudiwa.

Gagulo we...

Ha ha ha mmh jameni eti gagulo!!!!!!!!

heaven on desert unatuchosha sasa!!!!
unamshadadia sana hadi unanipa mawazo huyu diamond anakupa nini wewe hadi ukae unasifia kila sekunde!!!
 
Last edited by a moderator:
Tambua kuwa hata Wacko Jacko alikuwa na critiques, usitarajie kuona kila mtu anampenda diamond kama wewe, pia uzuri wa kitu au mtu ni subjective. Wewe endelea kumpenda na kum support na wanao mkosoa waache waendelee kumkosoa, haimwongezei wala kumpunguzia., Ila kama kweli unampenda na unam support na kumtakia mafanikio zaidi basi take trouble kutathmini ni nini watu wanaponda kumhusu huyo dayamond na kama uko katika nafasi ya kushauri basi mshauri arekebishe kasoro zake, sio anaonesha makalio jukwaani afu bado utarajie watu wamsifie.
wana sababu za msingi basi
unakuta ntu anasema ooh diamond hakuna anachoimba or hana kitu
 
Mama yake Wema alishasema washirikina wanaosafiria nyota ya mwanawe imekula kwao.
Mwanawe yuko fit sasa na amemuhangaikia na kumfunga.
so huyo jamaa yako hata akijishaua kuimba nyimbo na kutumbukiza jina la Wema hai pay atention kwa hadhira iliokusudiwa.

Gagulo we...

tehe tehe,nyimbo zake hazi pay nini???
hebu liulize lidada lako,demu lako au limama lako litakwambia y nyimbo zake wamesevu ringtone
NJEGERE WE...
 
Hamna mtu mwenye chuki naye,labda baadhi ya watu,vile vile nadhani Ali Kiba alikuwaga juu kuliko Diamond ila now Ali Kiba hasikiki kabisaaa,so kila kitu kina mwanzo na mwisho,na kwa upande wa Diamond naona anaanza kufifia baada ya kutoa wimbo wake wa Nataka Kulewa,hauna mantiki yoyote alafu mbovu,nadhani akiendelea kutoa nyimbo zake zingine nzuri kama hii ya Kesho ni nzuri na zingine zote....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

ha ha ha ha ha utawajua tu
umesema nataka kulewa mbovu na hauna mantik yoyote
mbona unapendwa sasa
 
Nimegundua hapa kuwa wanaume wanaongoza kumuonea wivu diomond kuliko wanawake! Kizuri ni kwamba huyu bwana mdogo mashabiki wake wengi ni watoto wa kike na wanamume wasio na wivu ama chuki za kimaendeleo! Na wanao mchukia wengi ni wakiume! I don know why!

Pengine ni sababu vijana wengi hawana kazi za kufanya kwa hiyo wakiona mtu ana tengeneza pesa wana mchukia! Na wapa pole wanao mchukia maana wana poteza muda maana haisaidii chochote! Vijana tafuteni kazi za kufanya diomond si chanzo cha matatizo
yenu!

Me napenda sana vijana wanao tengeneza pesa kuliko vijana wanaoshinda kutukana wenzao wanaofanya vizuri kimaendeleo.

Poleni sana mnao wachukia wanao jaribu kutengeneza pesa japo hamuendi kwenye show zao!

HAKUNA UBISHI DIAMOND ANAFANYA MUZIK MZURI NA SHOW NZURI ZINAZOENDA NA WAKAT KULIKO MWANAMUZIK YEYOTE NA KWA VILE WANAUME WENYE CHUKI NA WIVU NI WENGI WACHA ME NIENDELEE KUTANGAZA JEMA LOLOTE LITAKALO TOKEA KUMMHUSU PLATNUMZ

ATAKAPOPATIKANA MWANAMZIK MWINGINE ATAKAEFANYA VIZUI,NAYE NTAMSAPOTI

NI HAYO TU
​mtihani mnarudia lini?
 
Ulimbukeni unakusumbua.
Sioni haja ya wewe kuhangaika na haters wa diamond.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
kama wewe ni mwandishi wa habari ingefaa uwe mwandishi wake binafsi maana huishi kumpost. Hakuna anayebisha kuwa yuko juu lakini hakuna kizuri kisicho na kasoro.
It seems this is muuza sura in another name
 
Back
Top Bottom