Ujumbe Wangu wa Jumapili Kwenu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nikinywa nakua na upendooo. Hata yule mtu ambae simtaki namtafuta namwambia asinichukie kwa kumkataa
Hahaa... Mie nikajua ndio unamkubali.[emoji23] [emoji23]
 
Mkuu nizoee tu, mie naona hakuna neno kali, ukali upo kwenye panga, viwembe na kisu labda kwa mbali na njaa, maana huwa kuna msemo nina njaa kali na jua kali[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapana siyo hivyo mkuu wengine ni Marika ya kina Anton petrol wa ngara humu na wengine ni Marika ya kina lemutuz na wengine ni Marika ya kina Dr shika

I have a dream.
 
Mzee wewe kwangu kijana!! Mie mzee zaidi.
Tehteehhh....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ebu kamuulize yule mdada aliekuaga bibi yako kitambo kabla ya ndoa yake haija tangazwa fJ some years back...[emoji13] [emoji13]
Naomba niishie hapo tafadhali.... tehteehhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…