Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Vingine mtanisingizia mavivuruge yalipita mengiUlituvuruga nikamwambia ndugu yangu sisi kwetu tunahubiri upendo tu hapa tujifanye wajinga yapite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vingine mtanisingizia mavivuruge yalipita mengiUlituvuruga nikamwambia ndugu yangu sisi kwetu tunahubiri upendo tu hapa tujifanye wajinga yapite
Ahhahahaahhahahaha naomba nilale sikutakiiiMwambie anywe tu, ila achunge asinye tu, hapo ni kunywa tu na sio kunya[emoji23] [emoji23]
Nakuachaje sasa shunie akee na hali hatujafunga ndoa..[emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maka ebu niache mie
Jamani kwa mzigua kuna hanshaam nikaambiwa wako nikasema hapana mwache akikua atachangua mwenyewee
Jamani L mmenichanganya mngelimazia lote Lii aww my handshome boy nakakuza kale mpaka kakue wakunyumba nikuwe mamkwe wako tutapiganaje sasa yule mtoto utaletewa wakwe mpaka ujutreeeEti hamjui L kalewa mwenzio
Aahh!!! Kidoncho tuu[emoji23] [emoji23]Unanijua sana ujue [emoji23][emoji23][emoji23]
Imeisha leo yaan miracle kajishindia daah mpaka raha alistahili yule mkakaHiyo kitu sijawahi ielewa jamani
Safi kabisa, wote wawili mnanidai heineken 5 tano kila mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ndo maana nilikua nakujibu kawaida tu maana nilijua kichwa chako kimepata moto. Tumeshasameheana yamepita mama.
Mfyuuuuu unamtesa tu mchaga wa watuSema aah. Namblock tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawekaga ila sijuiii
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kalewaaa
Aahh!! Mama sabrina toka lini tumeanza kutokuaminiana tena, mie nishasema we bado huamini au!!?Ni kweli ukilewa unaongea maneno ya busara?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yale matusi kosa langu ni nini lakiniYani siku ile nilikua na shemeji ako mpenzi nikashindwa kukutukana
WaoooNikuruhusu mimi tena au yeye unaetaka kumuita?
Niache hivyo hivyo makaNakuachaje sasa shunie akee na hali hatujafunga ndoa..[emoji23] [emoji23]