Ujumbe Wangu wa Jumapili Kwenu

Ujumbe Wangu wa Jumapili Kwenu

Mzee mmoja aliwaambia wanae kuwa"ikitokea nimetofautiana au imegombana na mmoja wenu,asitokee mmoja au nyote kumchukia ninayegombana naye, endeleeni kupendana maana ipo siku tutaelewana nanyi mtakuwa ndugu milele"

Sijui ni hekima kama za mfalme Suleiman!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani mpaka naogopa kufungua WhatsApp nikisoma kwa juu tu matusi
Yani siku ile nilikua na shemeji ako mpenzi nikashindwa kukutukana
 
Back
Top Bottom