makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Naona tunabishana sasa.. We kamuulize yule baba yako mkubwa, mimi ndio nilikuwa namshika mkono namvusha barabara[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tehteehhh....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ebu kamuulize yule mdada aliekuaga bibi yako kitambo kabla ya ndoa yake haija tangazwa fJ some years back...[emoji13] [emoji13]
Naomba niishie hapo tafadhali.... tehteehhh
Tehteehhh....[emoji12] [emoji12]Naona tunabishana sasa.. We kamuulize yule baba yako mkubwa, mimi ndio nilikuwa namshika mkono namvusha barabara[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watu wambeaaIla watu wanajua kusoma mchezo jamani
Hekma hizoMzee mmoja aliwaambia wanae kuwa"ikitokea nimetofautiana au imegombana na mmoja wenu,asitokee mmoja au nyote kumchukia ninayegombana naye, endeleeni kupendana maana ipo siku tutaelewana nanyi mtakuwa ndugu milele"
Sijui ni hekima kama za mfalme Suleiman!
Ngoja nikuje nikufaudu wallah...[emoji39] [emoji39] [emoji39]Hahahahaaa. Nishakuja
Khaaaa..[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ila watu wanajua kusoma mchezo jamani
Leo ngoja nikuzoze live...[emoji13] [emoji13]Watu wambeaa
Bwege wee[emoji23] [emoji23]Mimi kabisa aiseee