UK General Election: Waingereza leo kupiga kura kumchagua Waziri Mkuu na Wabunge

UK General Election: Waingereza leo kupiga kura kumchagua Waziri Mkuu na Wabunge

Halafu hawafahamu kuwa Sunak ni Mtanzania mwenzao :

Rishi Sunak alizaliwa tarehe 12 Mei 1980 katika Hospitali Kuu ya Southampton huko Southampton , Hampshire, kwa wazazi wa Kihindu wazaliwa wa Afrika Mashariki wenye asili ya Kihindi ya Kipunjabi, Yashvir na Usha Sunak.

Baba yake alizaliwa nchini Kenya kabla ya ukoloni mwaka wa 1949, huku mama yake akizaliwa nchini Tanzania

View attachment 3033922
Sunak akipongezwa na wazazi wake mama kushoto mzaliwa wa Tanzania na baba katikati mzaliwa wa Kenya... baada ya kuteuliwa na chama chake kuwa waziri mkuu (picha maktaba)
View attachment 3033925
Mamia ya diaspora ya watu kutoka Afrika ya Mashariki walijitokeza kumpongeza waziri mkuu Sunak .pamoja na wazazi wake (Picha Maktaba)
Wewe ndio hujui, hakuna Muhindi kwenye jeshi la Tanzania, uzalendo unapimwa hapo, India wanalo jeshi.
 
Kwa taarifa tu kama hamjui huyu baniani wazazi wake wana asili ya Tanzania (mama) na Baba asili ya Uganda.
Yaani wazazi wake wote ni wahindi lakini wakihamia Uingreza tokea East Africa
 
Wewe nani kakuambia sisi tunawategemea uingereza sisi tunamtegemea Allah alisha wambia kwenye bahari kuna hayo, miaka 1400 ilio pita afu hawa ndio juzi wamekuja na hio research miaka 100 ya nyuma.

Quran 22.40

Or [they are] like darknesses within an unfathomable sea which is covered by waves, upon which are waves, over which are clouds - darknesses, some of them upon others. When one puts out his hand [therein], he can hardly see it. And he to whom Allāh has not granted light - for him there is no light.

Afu tumtegeme muingereza sisi Waislam, ni Waisraeli ndio wana wategemea hao sio Waislam.
Mbona mnapigania Sasa muacheni apigane mwenyewe kama anaweza
 
Kwa taarifa tu kama hamjui huyu baniani wazazi wake wana asili ya Tanzania (mama) na Baba asili ya Uganda.
Yaani wazazi wake wote ni wahindi lakini wakihamia Uingreza tokea East Africa
Hakuna Muhindi mwenye asili ya Tanzania, ni sehemu mama yake amezaliwa, Wahindi wote asili yao India.

Ulidhani unajuwa kumbe hujui kitu, Obama asili yake ndio Kenya na kweli asili yake inaonekana wazi.
 
Wananchi wa Uingereza leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa kuchagua Waziri Mkuu na Wabunge.

Wagombea wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda ni Waziri Mkuu wa sasa Rishi Sunak kutoka Chama cha Conservative na Keir Starmer kutoka Chama cha Labour.

Vyombo vya habari vingi vimetabiri kuwa Chama Cha Labour na mgombea wake Keir Starmer kitashinda uchaguazi huo kwa kura nyingi.

Watu milioni 46 wanastahili kupiga kura kwenye uchaguzi huu.

Vituo vya kupiga kura vitafunguliwa saa moja asubuhi mpaka saa nne usiku.

Uchaguzi mkuu wa mwisho ulifanyika mwaka 2019 ambapo mgombea wa Chama cha Conservative, Boris Johnson alishinda uchaguzi huo.
Rish Sunak hatoboi
 
Wewe nani kakuambia sisi tunawategemea uingereza sisi tunamtegemea Allah alisha wambia kwenye bahari kuna hayo, miaka 1400 ilio pita afu hawa ndio juzi wamekuja na hio research miaka 100 ya nyuma.

Quran 22.40

Or [they are] like darknesses within an unfathomable sea which is covered by waves, upon which are waves, over which are clouds - darknesses, some of them upon others. When one puts out his hand [therein], he can hardly see it. And he to whom Allāh has not granted light - for him there is no light.

Afu tumtegeme muingereza sisi Waislam, ni Waisraeli ndio wana wategemea hao sio Waislam.
Allah yule Mungu wa waarabu.
 
Wewe ndio hujui, hakuna Muhindi kwenye jeshi la Tanzania, uzalendo unapimwa hapo, India wanalo jeshi.

Ni ubaguzi tu wa watu wa Tanzania ila jeshi letu lingekuwa na watanzania wenye asili ya wabaluchi, wasomali, wahindi, washihiri, waarabu , waomani, machotara walikuwepo wakati wa Kanali Mahfoudh na wengine historia inaonesha ya TPDF katika intaneti.

Mbali ya jeshini watanzania wenye asili ya wabaluchi, wasomali, wahindi, washihiri, waarabu , waomani, machotara walikuwepo wangetumika vizuri ktk biashara, diplomasia, intelejensia, viwanda, kilimo n.k Tanzania, Kenya, Uganda zingekuwa mbali kiuchumi na kijamii kama South Africa, United Kindom, Canada, USA.

Dola zote kubwa kama Ottomans (waturuki), Warumi, USA, UK wanatumia na kutoa nafasi kwa watu wazalendo wa asili zingine ktk kuimarisha dola (state) zao lakini sisi waswahili hatujui jinsi ya kuendesha nchi ikawa dola kuu inayojumuisha jamii zetu.

Uzalendo uchwara una ubaguzi na ndiyo maana nchi zetu haziwezi kutambua na kulinda michango ya jamii zingine ndani ya nchi zisitimke kwenda nje kiasi hata ubaguzi kwa diaspora ya kitanzania ni mkubwa hadi uraia wao hata wele walio weusi tititi bado nao tunaona ni tishio kuwawekea mazingira ya usawa.

Nchi zingine kama Israeli n.k pia zinaendelea kwa kuweka mazingira ya watu wote waisraeli wa rangi zote kujisikia ni waisrseli. Hivyo ndivyo nchi hukua kiuchumi kuwa dola kubwa .

 
Atakayeingia kwenye hiyo ofisi ya itabidi avunje lile tambiko la Sunak alilifanya hapo mlangoni
 
Back
Top Bottom