UK General Election: Waingereza leo kupiga kura kumchagua Waziri Mkuu na Wabunge

Wewe ndio hujui, hakuna Muhindi kwenye jeshi la Tanzania, uzalendo unapimwa hapo, India wanalo jeshi.
 
Alifikiria akiwasupport wa Israel atashinda bwege huyo.
Kui support Israel sio suala binafsi Ile Iko kwenye katiba ngoja uone hata huyu aliyechaguliwa haitapita week Yuko Israel kujitambulisha
 
Kwa taarifa tu kama hamjui huyu baniani wazazi wake wana asili ya Tanzania (mama) na Baba asili ya Uganda.
Yaani wazazi wake wote ni wahindi lakini wakihamia Uingreza tokea East Africa
 
Mbona mnapigania Sasa muacheni apigane mwenyewe kama anaweza
 
Kwa taarifa tu kama hamjui huyu baniani wazazi wake wana asili ya Tanzania (mama) na Baba asili ya Uganda.
Yaani wazazi wake wote ni wahindi lakini wakihamia Uingreza tokea East Africa
Hakuna Muhindi mwenye asili ya Tanzania, ni sehemu mama yake amezaliwa, Wahindi wote asili yao India.

Ulidhani unajuwa kumbe hujui kitu, Obama asili yake ndio Kenya na kweli asili yake inaonekana wazi.
 
Rish Sunak hatoboi
 
Allah yule Mungu wa waarabu.
 
Wewe ndio hujui, hakuna Muhindi kwenye jeshi la Tanzania, uzalendo unapimwa hapo, India wanalo jeshi.

Ni ubaguzi tu wa watu wa Tanzania ila jeshi letu lingekuwa na watanzania wenye asili ya wabaluchi, wasomali, wahindi, washihiri, waarabu , waomani, machotara walikuwepo wakati wa Kanali Mahfoudh na wengine historia inaonesha ya TPDF katika intaneti.

Mbali ya jeshini watanzania wenye asili ya wabaluchi, wasomali, wahindi, washihiri, waarabu , waomani, machotara walikuwepo wangetumika vizuri ktk biashara, diplomasia, intelejensia, viwanda, kilimo n.k Tanzania, Kenya, Uganda zingekuwa mbali kiuchumi na kijamii kama South Africa, United Kindom, Canada, USA.

Dola zote kubwa kama Ottomans (waturuki), Warumi, USA, UK wanatumia na kutoa nafasi kwa watu wazalendo wa asili zingine ktk kuimarisha dola (state) zao lakini sisi waswahili hatujui jinsi ya kuendesha nchi ikawa dola kuu inayojumuisha jamii zetu.

Uzalendo uchwara una ubaguzi na ndiyo maana nchi zetu haziwezi kutambua na kulinda michango ya jamii zingine ndani ya nchi zisitimke kwenda nje kiasi hata ubaguzi kwa diaspora ya kitanzania ni mkubwa hadi uraia wao hata wele walio weusi tititi bado nao tunaona ni tishio kuwawekea mazingira ya usawa.

Nchi zingine kama Israeli n.k pia zinaendelea kwa kuweka mazingira ya watu wote waisraeli wa rangi zote kujisikia ni waisrseli. Hivyo ndivyo nchi hukua kiuchumi kuwa dola kubwa .

 
Atakayeingia kwenye hiyo ofisi ya itabidi avunje lile tambiko la Sunak alilifanya hapo mlangoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…