Ukabila hauna ubaya wowote

Ukabila hauna ubaya wowote

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Watu tumekaririshwa tu ukabila mbaya ukabila mbaya. Ukabila hauna ubaya wowote. Wanaopiga kelele kuwa ukabila mbaya ni wanataka watu wengi waje pamoja ili wawaibie na kuwatawala kirahisi.

Kunaanza Familia, Ukoo, kabila, taifa. Hakuna ubaya mtu kuwa mzalendo kwa familia, ukoo, au taifa lake. Lakini unapokuja uzalendo kwa kabila lake wanaita Ukabila! Ushahidi umeonyesha na unaendelea kuonyesha kuwa ukabila si rahisi kuisha kama ambavyo uzalendo wa watu kwa familia au koo zao si rahisi kuisha. Umeona viongozi wapatapo nafasi jinsi wanavyoyapendelea makabila yao?

Ule ni upendo kama mtu anavyopenda ukoo au familia yake. Yuko tayari kupora nchi na kutaabisha makabila mengine ili kabila lake lifaidike. Watu huwa wanajitoa sana kusaidia "Watu wao." Kila kabila lingekuwa na nchi yake kuna uwezekano mkubwa wa viongozi wao kuwa Wazalendo. Nchi nyingi zilizoendelea na kutulia watu wa nchi nzima ni kama kabila moja.

Nchi zenye watu wa makabila tofautitofauti zina taabika sana na ngumu kuendelea.
 
Watu tumekaririshwa tu ukabila mbaya ukabila mbaya. Ukabila hauna ubaya wowote. Wanaopiga kelele kuwa ukabila mbaya ni wanataka watu wengi waje pamoja ili wawaibie na kuwatawala kirahisi.

Kunaanza Familia, Ukoo, kabila, taifa. Hakuna ubaya mtu kuwa mzalendo kwa familia, ukoo, au taifa lake. Lakini unapokuja uzalendo kwa kabila lake wanaita Ukabila!! Ushahidi umeonyesha na unaendelea kuonyesha kuwa ukabila si rahisi kuisha kama ambavyo uzalendo wa watu kwa familia au koo zao si rahisi kuisha. Umeona viongozi wapatapo nafasi jinsi wanavyoyapendelea makabila yao? Ule ni upendo kama mtu anavyopenda ukoo au familia yake. Yuko tayari kupora nchi na kutaabisha makabila mengine ili kabila lake lifaidike. Watu huwa wanajitoa sana kusaidia "Watu wao." Kila kabila lingekuwa na nchi yake kuna uwezekano mkubwa wa viongozi wao kuwa Wazalendo. Nchi nyingi zilizoendelea na kutulia watu wa nchi nzima ni kama kabila moja.

Nchi zenye watu wa makabila tofautitofauti zina taabika sana na ngumu kuendelea.
Usipo utumia vibaya kuumiza wengine.
 
Nadhani unaupungufu wa elimu eneo hilo. Hakuna mtu amesema kupenda watu mnaotoka eneo moja ni tatizo au jambo baya.


But ukisikia neno "Ukabila" maana yake linatumika kumaanisha tabia ya kujenga mifumo kwa kulenga kutumia rasilimali ambazo zilitakiwa kutumika kwaajiri ya wote then kunufaisha kundi fulani lengwa yaani kabila fulani.

Kama ni kazi basi watapata kwanza hao wahusika wa kabila fulani tena kwa upendeleo maana hata wasio na sifa watalazimisha kushika nyadhifa ili waweze kutetea interests za kabila lao vizuri.

Shida watoto wa siku hizi mnakuwa bila elimu ya Uraia na mnapewa elimu za hovyo na ndugu zenu. Miaka sisi tunakuwa tulikuwa tunasoma sana vitabu vya waandishi wenye uzalendo kwahiyo waliandika mambo mtambuka.

Kwa mfano utaka kujua hasara ya Ukabila moja ninayoweza kukupa. Wewe hapa unatuandikia huu ujumbe wako wa hovyo kupitia lugha gani?! Si umetumia kiswahili? Kwann haukutumia lugha ya asili ya ukoo wa baba yako ?!

Nani angekuelewa hapa zaidi ya kuona umeandika makorokocho. Ila akili yako imekuambia tumia kiswahili ili ueleweke si ndivyo?!

Sasa hiyo ndio hasara ya Ukabila, utalazimika kuwa na mawasiliano na watu wa kabila lako tu. Wengine utagombana nao sababu hamuwezi kuwasiliana.

Kinyume chake , umoja wa kitaifa unakupa option ya udugu wa jumuiya na kuishi kwa upendo na watu wa jamii zingine mkipendana na kushirikiana.

Umeongea kichoyo sana , kibinafsi sana, na unaonekana umelelewa makuzi ya watu wanafiki na wachoyo sana. Hizi lawama nitawapa wazazi wako na walezi wako kwa kukuachia hii laana ya ukabila badala ya kukujenga kijana uwe mzalendo na mpenda uzalendo kwa taifa lako.

Hapo siajabu upo Dar , hivi wazaramo wakisema urudi kwenu sitimbi kwasababu hapa sio asili ya kabila lako utawaelewa?!

Umeona hasara ya kutumia fikra potofu kujenga hoja za kipuuzi ili uwe mpumbavu katika jamii yenye watu wenye werevu kukuzidi?!

Nenda katubu hii dhambi na muombe sana MUNGU akuondolee hii laana ya kukosa hekima.
 
Watu tumekaririshwa tu ukabila mbaya ukabila mbaya. Ukabila hauna ubaya wowote. Wanaopiga kelele kuwa ukabila mbaya ni wanataka watu wengi waje pamoja ili wawaibie na kuwatawala kirahisi.

Kunaanza Familia, Ukoo, kabila, taifa. Hakuna ubaya mtu kuwa mzalendo kwa familia, ukoo, au taifa lake. Lakini unapokuja uzalendo kwa kabila lake wanaita Ukabila! Ushahidi umeonyesha na unaendelea kuonyesha kuwa ukabila si rahisi kuisha kama ambavyo uzalendo wa watu kwa familia au koo zao si rahisi kuisha. Umeona viongozi wapatapo nafasi jinsi wanavyoyapendelea makabila yao?

Ule ni upendo kama mtu anavyopenda ukoo au familia yake. Yuko tayari kupora nchi na kutaabisha makabila mengine ili kabila lake lifaidike. Watu huwa wanajitoa sana kusaidia "Watu wao." Kila kabila lingekuwa na nchi yake kuna uwezekano mkubwa wa viongozi wao kuwa Wazalendo. Nchi nyingi zilizoendelea na kutulia watu wa nchi nzima ni kama kabila moja.

Nchi zenye watu wa makabila tofautitofauti zina taabika sana na ngumu kuendelea.
Kama hujui ubaya wa Ukabila nenda waulize Wakenya.. Wqganda.. Wanyarwanda.. Warundi.. Wasomali.. Wasudani.. Wanaigeria.. na wengineo

Karne hii unashabikia Ukabila?
 
Kama hujui ubaya wa Ukabila nenda waulize Wakenya.. Wqganda.. Wanyarwanda.. Warundi.. Wasomali.. Wasudani.. Wanaigeria.. na wengineo

Karne hii unashabikia Ukabila?
Kote huko tunaonyweshwa jinsi watu wa kabila moja wanavyopendana. Huko Nigeria kila anayeshika nchi hana hata uchungu nayo. Ni kuiba tu maana si mali ya wote. Lakini Inakuwa ngumu MuIgbo kufisadi wa Igbo wenzake kwenye nchi ya Kiigbo.
 
Nadhani unaupungufu wa elimu eneo hilo. Hakuna mtu amesema kupenda watu mnaotoka eneo moja ni tatizo au jambo baya.


But ukisikia neno "Ukabila" maana yake linatumika kumaanisha tabia ya kujenga mifumo kwa kulenga kutumia rasilimali ambazo zilitakiwa kutumika kwaajiri ya wote then kunufaisha kundi fulani lengwa yaani kabila fulani.

Kama ni kazi basi watapata kwanza hao wahusika wa kabila fulani tena kwa upendeleo maana hata wasio na sifa watalazimisha kushika nyadhifa ili waweze kutetea interests za kabila lao vizuri.

Shida watoto wa siku hizi mnakuwa bila elimu ya Uraia na mnapewa elimu za hovyo na ndugu zenu. Miaka sisi tunakuwa tulikuwa tunasoma sana vitabu vya waandishi wenye uzalendo kwahiyo waliandika mambo mtambuka.

Kwa mfano utaka kujua hasara ya Ukabila moja ninayoweza kukupa. Wewe hapa unatuandikia huu ujumbe wako wa hovyo kupitia lugha gani?! Si umetumia kiswahili? Kwann haukutumia lugha ya asili ya ukoo wa baba yako ?!

Nani angekuelewa hapa zaidi ya kuona umeandika makorokocho. Ila akili yako imekuambia tumia kiswahili ili ueleweke si ndivyo?!

Sasa hiyo ndio hasara ya Ukabila, utalazimika kuwa na mawasiliano na watu wa kabila lako tu. Wengine utagombana nao sababu hamuwezi kuwasiliana.

Kinyume chake , umoja wa kitaifa unakupa option ya udugu wa jumuiya na kuishi kwa upendo na watu wa jamii zingine mkipendana na kushirikiana.

Umeongea kichoyo sana , kibinafsi sana, na unaonekana umelelewa makuzi ya watu wanafiki na wachoyo sana. Hizi lawama nitawapa wazazi wako na walezi wako kwa kukuachia hii laana ya ukabila badala ya kukujenga kijana uwe mzalendo na mpenda uzalendo kwa taifa lako.

Hapo siajabu upo Dar , hivi wazaramo wakisema urudi kwenu sitimbi kwasababu hapa sio asili ya kabila lako utawaelewa?!

Umeona hasara ya kutumia fikra potofu kujenga hoja za kipuuzi ili uwe mpumbavu katika jamii yenye watu wenye werevu kukuzidi?!

Nenda katubu hii dhambi na muombe sana MUNGU akuondolee hii laana ya kukosa hekima.
Ndicho nilichosema-watapeana vyeo kikabila na kupendeleana huku makabila mengine yakididimia. Mapaka labda nao wapate nafasi. So kusema kuwa makabila yote yatakuja pamoja na kujenga taifa la usawa kwa wote ni ngumu sana na kuota ndoto. Nchi yenye makabila mengi ni ngumu kiongozi kufikiri kwa maslahi ya nchi. Atawaza tu kuiba na kufaidisha watu wake. Lakini nchi inayoundwa na kabila moja ni rahisi kwa viongozi kufikiria maslahi ya nchi.
 
Mi labda ntaruhusu watu waajiriwe vitengo kwa wingi sifa zao mfano.
1. Kuilinda nchi jeshini, tuweke wakurya sana, nadhani hapa tumeweza
2. Kuisifia nchi tunatafuta wapenda sifa wahaya labda wanyaki kwa wingi
3. Uzalishaji wa mazao, tunapeleka ruzuku kwa wasukuma kwa wingi.
4. Wahudumu kwenye ndege tunaweka mabinti wa ki- mbulu wengi.
5. Kubishana kwenye negotiation mikataba ya kimataifa tunaweka waha wengi.
.....Etc etc nk.

Kimsingi, maslahi katika kila kazi yakiwa ni ya ki utu bila kumuonea mtu. Yakawa ya kumpa faida kila mmoja sambamba na mchango na mahitaji yake. Hautasikia aliyepewa kitengo cha kilimo akimlalamikia mwanasiasa.

Ili kuneutralize, kutakuwa na ipo tayari ruhusa ya watu kwenda vitengo vingine watakavyopenda ikiwa wataona watafit.

Mfano mtu kutoka kabila fulani la watu laini (softhearted), akajiona anao uwezo wa kumkatakata mapanga na marisasi adui bila huruma basi anaruhusiwa kuwa jeshini. Ila sio aingie halafu uwezo hana eti kisa tu kubalansi makabila yote yawemo. Huo utakuwa ujinga.

Kila mmoja atumie talanta zake kwa faida na uimara wa taifa moja
 
Ndicho nilichosema-watapeana vyeo kikabila na kupendeleana huku makabila mengine yakididimia. Mapaka labda nao wapate nafasi. So kusema kuwa makabila yote yatakuja pamoja na kujenga taifa la usawa kwa wote ni ngumu sana na kuota ndoto. Nchi yenye makabila mengi ni ngumu kiongozi kufikiri kwa maslahi ya nchi. Atawaza tu kuiba na kufaidisha watu wake. Lakini nchi inayoundwa na kabila moja ni rahisi kwa viongozi kufikiria maslahi ya nchi.
Makabila ya kupewa uongozi wa makundi tofauti tofauti yanapaswa kuangaliwa kiimani ya akili zao deep ndani imekaaje?

Ni simple tu, mfano mimi nikioewa kazi ya kutambua wanaofaa na wasiofaa ntatumia jinsi wanavyomchukulia Mungu;
Wasukuma, Mungu ni wa LIWERERO kwa maana ya ulimwengu wote. So ile sense ya brotherhood na kushirikiana watu wote kwa ukarimu wanaiweza. Mfano mzuri tumeuona uzalendo wa yule bwana.
Pia kwa wasukuma mwizi ni yupo chini hata ya mdudu. Ni wa kuchukiwa kupigwa na hata kupotezwa. Hatumuoni aloiba kama mwenye akili na mjanja bali hiiiiiiiiiiiiih.

Tukicontrast na wenzetu kaskazini hiyohiyo unakuta kwanza Mungu tu wanachukulia ni wa kabila lao. Tena anakaa katika mlima fulani wa kwao (Mwene Nyaga sijui Ngai IDK) anawaangalia wao tu na yupo kwa ajili yao. Huyu akipewa nchi anao uwezekano wa kuathiriwa na mrengo wa ufikiri huo. Kuna kabila mfano linaamini ngombe wote duniani wamepewa wao, so hata wakienda kuiba kwa watu wengine na kupeleka kwao hilo ni jambo la ushujaa.

Tukishikilia hapohapo kwenye wizi, kwa kabila iliyo na imani za upekee. Mwizi wa watu wengine anaonekana mwenye akili na shujaa. Hao hawatafaa kuwa na uongozi wa nchi isipokuwa wakijiona wanaweza kuuvaa uhusika wa Mungu ni wetu sote, Ngombe ni wetu sote na Mali ni zetu sote kama taifa.

Nakataa sio makabila yote yanapenda kujipendelea. Japo nafahamu kwa aliye kwenye moja ya kabila zinazojipendelea anaweza asiwe na uwezo wa kun'gamua achilia mbali kuelewa ninachokisema.
 
Makabila ya kupewa uongozi wa makundi tofauti tofauti yanapaswa kuangaliwa kiimani ya akili zao deep ndani imekaaje?

Ni simple tu, mfano mimi nikioewa kazi ya kutambua wanaofaa na wasiofaa ntatumia jinsi wanavyomchukulia Mungu;
Wasukuma, Mungu ni wa LIWERERO kwa maana ya ulimwengu wote. So ile sense ya brotherhood na kushirikiana watu wote kwa ukarimu wanaiweza. Mfano mzuri tumeuona uzalendo wa yule bwana.
Pia kwa wasukuma mwizi ni yupo chini hata ya mdudu. Ni wa kuchukiwa kupigwa na hata kupotezwa. Hatumuoni aloiba kama mwenye akili na mjanja bali hiiiiiiiiiiiiih.

Tukicontrast na wenzetu kaskazini hiyohiyo unakuta kwanza Mungu tu wanachukulia ni wa kabila lao. Tena anakaa katika mlima fulani wa kwao (Mwene Nyaga sijui Ngai IDK) anawaangalia wao tu na yupo kwa ajili yao. Huyu akipewa nchi anao uwezekano wa kuathiriwa na mrengo wa ufikiri huo. Kuna kabila mfano linaamini ngombe wote duniani wamepewa wao, so hata wakienda kuiba kwa watu wengine na kupeleka kwao hilo ni jambo la ushujaa.

Tukishikilia hapohapo kwenye wizi, kwa kabila iliyo na imani za upekee. Mwizi wa watu wengine anaonekana mwenye akili na shujaa. Hao hawatafaa kuwa na uongozi wa nchi isipokuwa wakijiona wanaweza kuuvaa uhusika wa Mungu ni wetu sote, Ngombe ni wetu sote na Mali ni zetu sote kama taifa.

Nakataa sio makabila yote yanapenda kujipendelea. Japo nafahamu kwa aliye kwenye moja ya kabila zinazojipendelea anaweza asiwe na uwezo wa kun'gamua achilia mbali kuelewa ninachokisema.
Si tu kujipendelea. Nchi ikiwa na makabila mbalimbali ni ngumu kuwa na malengo ya pamoja ya maendeleo. Kama ukabila ni mbaya basi utaifa nao ni mbaya.
 
Hapana. Tunazungumzia uwezo wa kuwa na kanuni ya dhahabu baina ya pande mbili.

Hiyo ikiwepo, wala hakuna shida kuufuata ukabila.

Sio kila kabila lina swagga za kujipendelea kwa maumivu ya watu wengine. Nimeshatoa na mifano.
Si tu kujipendelea. Nchi ikiwa na makabila mbalimbali ni ngumu kuwa na malengo ya pamoja ya maendeleo. Kama ukabila ni mbaya basi utaifa nao ni mbaya.
 
Watu tumekaririshwa tu ukabila mbaya ukabila mbaya. Ukabila hauna ubaya wowote. Wanaopiga kelele kuwa ukabila mbaya ni wanataka watu wengi waje pamoja ili wawaibie na kuwatawala kirahisi.

Kunaanza Familia, Ukoo, kabila, taifa. Hakuna ubaya mtu kuwa mzalendo kwa familia, ukoo, au taifa lake. Lakini unapokuja uzalendo kwa kabila lake wanaita Ukabila! Ushahidi umeonyesha na unaendelea kuonyesha kuwa ukabila si rahisi kuisha kama ambavyo uzalendo wa watu kwa familia au koo zao si rahisi kuisha. Umeona viongozi wapatapo nafasi jinsi wanavyoyapendelea makabila yao?

Ule ni upendo kama mtu anavyopenda ukoo au familia yake. Yuko tayari kupora nchi na kutaabisha makabila mengine ili kabila lake lifaidike. Watu huwa wanajitoa sana kusaidia "Watu wao." Kila kabila lingekuwa na nchi yake kuna uwezekano mkubwa wa viongozi wao kuwa Wazalendo. Nchi nyingi zilizoendelea na kutulia watu wa nchi nzima ni kama kabila moja.

Nchi zenye watu wa makabila tofautitofauti zina taabika sana na ngumu kuendelea.
we kweli zumbukuku hujui hata maana ya ukabila. Nchi ipi imeundwa na kabila moja? Yaani umeshiba hayo maharage yako unaandika km unaota siyo?
 
Hapana. Tunazungumzia uwezo wa kuwa na kanuni ya dhahabu baina ya pande mbili.

Hiyo ikiwepo, wala hakuna shida kuufuata ukabila.

Sio kila kabila lina swagga za kujipendelea kwa maumivu ya watu wengine. Nimeshatoa na mifano.
Atakayesimamia hiyo Meritocracy unayohubiri ni nani? Utasema Wakurya wanafaa jeshini lakini waliingizwa huko kikabila!! Ukabila hauna ubaya wowote. Kuwaleta watu wa makabila tofauti ili waunde nchi ndipo ubaya ulipo.
 
we kweli zumbukuku hujui hata maana ya ukabila. Nchi ipi imeundwa na kabila moja? Yaani umeshiba hayo maharage yako unaandika km unaota siyo?
Unaelewa ukabila ni nini? Niongeze, unaelewa utaifa ni nini?
 
Watu tumekaririshwa tu ukabila mbaya ukabila mbaya. Ukabila hauna ubaya wowote. Wanaopiga kelele kuwa ukabila mbaya ni wanataka watu wengi waje pamoja ili wawaibie na kuwatawala kirahisi.

Kunaanza Familia, Ukoo, kabila, taifa. Hakuna ubaya mtu kuwa mzalendo kwa familia, ukoo, au taifa lake. Lakini unapokuja uzalendo kwa kabila lake wanaita Ukabila! Ushahidi umeonyesha na unaendelea kuonyesha kuwa ukabila si rahisi kuisha kama ambavyo uzalendo wa watu kwa familia au koo zao si rahisi kuisha. Umeona viongozi wapatapo nafasi jinsi wanavyoyapendelea makabila yao?

Ule ni upendo kama mtu anavyopenda ukoo au familia yake. Yuko tayari kupora nchi na kutaabisha makabila mengine ili kabila lake lifaidike. Watu huwa wanajitoa sana kusaidia "Watu wao." Kila kabila lingekuwa na nchi yake kuna uwezekano mkubwa wa viongozi wao kuwa Wazalendo. Nchi nyingi zilizoendelea na kutulia watu wa nchi nzima ni kama kabila moja.

Nchi zenye watu wa makabila tofautitofauti zina taabika sana na ngumu kuendelea.
Beba kabila lako lote ukaishi sayari yako.
 
Back
Top Bottom