wanabodi nimemaliza kuipitia list ndefu ya wafanyakazi wa TRA wapatao 1,000...ninachoweza kusema MSWAHILI ni mzushi mkubwa ,sijaona ukabila wowote katika hizo kada anazosema mswahili..kama ni wachagga,wahya na wanyakyusa labda kidogo kwenye senior position pale makao makuu...ambao tena wengi ni wa uteuzi..i wish hii copy ingekuwa electronic ,hata hivyo kama unataka distribution ya kituo chochote bara na visiwani ,niulize....
nimepitia list za idara zifuaTazo,EXAMINATION OFFICERS,CUSTOM OFFICERS,PREVENTIVE OFFICERS,CUSTOM GUARDS,MESSENGERS,DRIVERS,...
KWA mfano wafuatao ni customs staffs pale NAMANGA,..
1.ALLY ABDALAH
2.SHABAAN NASSOR
3.P.P KULWA
4.MBAROUK K.
5.PATRIC NYAMWILAHILO
6.STANLEY MBAZIMTIMA
7.VICK AMBWENE
8.WAHIDA ALMAS
9.CHRISTOPHER L.
9.MUGALLA DAUDI
10.MAGRETH MAIMU.
11.MZAVA BENNO
12.YASINTA MBAGA
13.ABDHUSSEIN KUBUVA
14.HAIWAICHI TEMU
15.HENRY MAHEMBE
Nimejaribu pia kufuatilia kama kuna watu ambao majina yao yanafanana na majina ya juu ya watu kama lauwo na luoga ,..nikakuta wawili ambao wapo dar es salaam ...long room/warf mmoja wao anaitwa humphrey ,lakini kufanana kwa majina ya ubini si lazima wawe ndugu wa damu inawezekana ni kabila moja...na kila mtu anaweza kua ameingia kwa muda wake....
sasa angalia list ya EXAMINATION OFFICERS waliopo dar uangalie mwenyewe kama kweli kuna harufu ya ukabila....hoja yangu hapo ni kuwa hata kama watu wamesaidiana humo si ukabila bali tukubaliane ni URAFIKI/KUJUANA ets
hawa ni wa kituo cha dar[wharf/long room/DIA]
1 BENS MWENDA
2.MOHAMED NGAIRI.
3.THOMAS KOKO
4.SALIM NAPUNDAR
5.HERMES KUWETA
6.HEAVEN MINJA
7.SEKELA MWASAMBUNGU
8.ANNA RAGWITABA
9.KOMBO L.
10GLAD NYANGE
11.MPANGILE L.
12.EDANA ROBERT
13.ANDREW Y.
14.LAUWO...
15.A.RWEYENDERA
16.M.MSANGI
17.M.NYAMANGA
18.KALUMUNA N.
19.NSHEMIYE K.
20. MAJI F.
21.NYAMANGA M.
22.MAKUNDI L.
23.JUMA K.
24.ZAINABU B.
25.NGANDAKU B
26.AZIZI S.