Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Mswahili.. that is a very good point.. just take it back to TRA!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mswahili wrote:
1- asha rose migiro kwa ku copy na ku paste kwako utasema ni mnyamwezi.
2-Mwantumu Malale kwa kucopy kwako utasema msukuma.
3-Radhia Msuya kwa kucopy kwako na kupaste utasema ni mpare
Mmanda atetea wingi wa Wachagga TRA
Written by Charles Mullinda
Friday, 21 July 2006
*Asema walipata elimu mapema
HATIMAYE Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa tamko dhidi ya madai ya kuwapo ukabila katika mamlaka hiyo...............................
mswahili wrote:
1- asha rose migiro kwa ku copy na ku paste kwako utasema ni mnyamwezi.
2-Mwantumu Malale kwa kucopy kwako utasema msukuma.
3-Radhia Msuya kwa kucopy kwako na kupaste utasema ni mpare
jokaKuu wrote:
bwana mswahili,
CHUKI yako na wenyeji wa mkoa wa kilimanjaro inakufanya ufiche ukweli kwamba hao kinamama hapo juu ni wapare!! unasubiri wachaga/wapare wawe na kashfa ndiyo uanze kuwasimanga na kuwataja kwa makabila yao hapa JF.
mswahili wrote:
Joka kuu.
mie najua wandengereko watoto wa binti Shamte.