Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Mswahili namna ulivyoweka tafsiri ya maneno ya Filemon Michael sijui atasemaje...maana kwa namna nilivyoelewa PM-michael akikaa watu kuhoji ukabila ndani ya TRA,BANK etc, basi nae akatae kuhoji serikali ya JK.
Uoni wangu: JF ipige mawe popote penye harufu mbaya ya Udini, Ukabila, Matumizi mabaya ya serikali na mengineyo.
kaka chuma huyo jamaa ni kichekesho...ameharibu kabisa maana ya ujumbe wangu...........mfano kaka yangu wewe una Msc ..ukiona tangazo la kazi linalohitaji hiyo sifa utaomba au utaacha kwa kuamini "nikiomba sintapata"...sasa kama mtu mwenye akili anahamasisha watu wasiombe kazi kwa kuwa hawatapata..wakiajiriwa wengine atapata la kulalamika.
kwa kifupi nimegundua watu wengi makoni wamembaini huyu na dawa akileta tafsiri zake potofu ni kumwacha...mara nyingine kukaa kimya inatosha!!