Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Mzeee Ole,

Heshima yako mkuu, kumradhi unajua utamu wa kukata ishues, haya mzee tukate issues bro! Kumkoma nyani giladi!

Mzee Mswahili,

Heshima tena mbele, mkuuu mwaga mwanangu tumechoka na watindiga hawa meno nje kama wanacheka kumbe wamenuna! Hao enzi za Cosmo na Magram hawakuwepo, lazima tuteee tafu yetu Zaramo, waarabu wenyewe hawakutuchukua utumwa sasa itakuwa hawa watindiga!


talk about Ukabila.... kwa definition yangu mawazo ya namna hii ndiyo mawazo ya ukabila!! I ain't taking part in it!
 
Ufuatiliaji wangu wa mada hii umenionyesha yafuatayo:
1.Kwamba kuna uwezekano mkubwa kuwa huu mjadala wa pro-ukabila unaendeshwa na mtu mmoja anayetumia majina tofauti. Imenikumbusha tamko la mzee ES kuwa ni upumbavu kujadiliana na mtu mmoja anaetumia majina mengi. Ni upumbavu kweli kwasababu kwa kuwa ameng’ang’ania mtizamo wake haoni wala hataki kutilia maanani hoja za msingi anazopewa na wengine. Anajidanganya kwamba hoja yake ina nguvu kwa wingi wa majina anayotumia!
2.The pro-ukabila side umeshindwa ku-digest na kuelewa point alizotoa mzee MJJ za hkihistoria, zinazoonyesha ni kwanini hali iko ilivyo. Kama nimemuelewa MJJ, hakukataa kuwepo kwa makabila hayo, au basi kabila hilo moja kwa wingi katika eneo/maeneo nyeti. Alichofanya ni kutoa sababu za kihistoria kwanini imekuwa hivyo. He went further to show why the status quo prevails..hawa watu hawajafikia umri wa kustaafu..je, tuwatoe tuwaweke ‘waswahili’ simply because nao sasa wanaqualify?
3.The pro-ukabila side is actually very biased; the discussion is deliberately narrowed to suit the author’s interest. Haiangalii issue hii kwa upana wake..hata taasisi nyingine haziangaliwi.

Kwa nionavyo mimi;
1. Kama tunaona kuwa ukabila kama ukabila upo, na kwamba imefikia mahali pa kuwa national issue-au basi tuiite ‘janga la Kitaifa’- tuonyeshe data kama hizi
-ni watu gani wamepewa nyadhifa au kazi mahali wasipostahili kwa sababu za kiukabila.’ Wasipostahili’ kwa maana ya elimu, ujuzi, na matakwa mengine kama yalipotakiwa wakati wa kutangaza nafasi hiyo.
-Kila taasisi ya serikali iangaliwe kwa kina ili ku-establish hiyo trend ya ajira za kikabila
-Tuangalie vyuoni na mashuleni. Uwiano wa makabila katika vyuo vikuu hivi sasa uko vipi? Je, kuna ukabila katika kupata admission katika vyuo vikuu TZ?
-Angalia takwimu za graduates pale UD(maana ndo pekee iliyokuwepio TZ kama u’versity enzi hizo za kutoa waliopo madarakani sasa hivi)
Ni makabila gain yalikuwa na graduates wengi?
Na makabila gani waligraduate kwa pass-mark za juu zaidi?
-Angalia takwimu za Mzumbe from 1995 backwards; ni makabila gain yaliongoza kwa kuwa na graduates wengi? Na kwa passmark…
-Angalia takwimu elsewhere; ni makabila gani yaliongoza kwa kusoma nje ya nchi? Je, 1980’s backwards, ni nani alikuwa responsible kwa elimu ya juu, iwe ya hapa nchini au nje.
-Wewe unayechangia, kama ulisoma Chuo chochote kikuu; darasani kwako kulikuwa na ‘waswahili’ wangapi? (mfano, pale UD idadi ya wazaramo waliowahi kusoma pale..pamoja na kuwa UD iko kwao)

2. Kabla ya kulalamika; jiulize, ingekuwa ni wewe umepata nafasi enzi za uhuru kuongoza taasisi Fulani; unahitaji qualified staff; wanakuja vijana watano, watatu ni qualified na ni kabila lako, wale wengine wawili ni kabila ingine lakini wana nusu qualification; utaajiri wepi?
Na kuna ubinadamu: Kama uko hazina na unaona kunalipa, na una mwanao au ndugu yako anasoma UD, itakuwa vibaya ukamshauri asome ile fani ambayo unajua fika kuwa itampatia ajira hazina? Na bahati nzuri amefaulu vizuri, aki-apply kama kuna vacancy, hutampigia kifua?

3. haya mambo yameumbwa na Mungu..Biblia inasema ‘mwenye nacho huongezewa”
Na kama ulipewa ‘talanta’ yako ukaifukia chini ili uje umrudishie aliyekupa; wakati mchagga/mhaya/mnyakyusa alipopewa tu alifungua kiosk ikazaa, akamrudishia aliyempa mtaji na faida… WHAT DO YOU EXPECT? Kama Mungu haonei huruma watu jinsi hiyo, Mchagga/Mhaya/Mnyakyusa atakuwa nani hata aende kinyume na law of nature?

4. Mimi tatizo langu kubwa ni lile lililoitwa ‘undugunization” Kuna kamtindo ka kuajiri jamaa/mpenzi/mshikaji/ndugu mambaye hana qualification kabisa, sasa hili naona ni tatizo kweli kweli..hili tukilizungumzia ninaweza nikaelewa maana soon litakuwa janga la Kitaifa!
 
MWENDAPOLE.

usilete maandiko yako ya biblia. hoja hizi mbona hukujibu bungeni? nimekuambia hoja hizi sikuzipeleka mimi mswahili bungeni.

Phillimon mikael.

acha chuki hawa waswahili wamekupokeeni mjini. ukarimu wao ndio ulikufanyeni mfike hapo.

Kichuguu.

Issue ya professor Malima umeongopa sana.
tuambie benki gani ilizuia pesa zake? na kuna huo utaratibu wa kuzuia pesa tunaujua vizuri sana.
 
ES wrote"waarabu wenyewe hawakutuchukua utumwa itakuwa hawa watindiga"
siamini macho yangu ,mzee over all the people here kweli na wewe kumbe unashabikia ukabila...mbona heshima yako humu ndani ipo juu ,tunakuchukulia kama consultant wetu" labda unatania ,so take it easy bro...

kabila ambalo linaweza kujivunia kutochukuliwa utumwa ni masai...sasa ndugu yangu watumwa walikuwa wanachukuliwa watu majabali...WAVIVU hawakuchukuliwa utumwa.,sanasana DADA zao waliishia KUZAA na WAARABU...ndio maana hadi leo utakuta mibaba mizima inajisifu kuelewana na waarabu...unaweza kuwa hukwenda utumwa lakini ukabakia mtumwa wa kimawazo hadi mwisho wa kizazi...bora watani zangu MACHINGA wao waliona ni bora kuweka ndita na kuchora dada zao ili wasiolewe na waarabu...sishangai wamjini kuwasifia maharab,kwani ni SHEMEJI zao...

nimeangalia movie ya kunte kinte ,pamoja na vitabu kadhaa...pamoja na unyama wa wazungu especiall america ,baadaye baada ya utumwa kuwa abolished na pilika nyingi waafrika weusi walitambulika marekani na leo hii tunaye BARRICK OBAMA ,anatekeleza haki yake ya kikatiba kugombea urais...MASKINI YAKO WAPI MABAKI YA MABABU ZETU NA VIZAZI [vya kuoleana]WALIOPELEKWA UTUMWANI UARABUNI????"
 
Wakubwa,

Nimekuwa msomaji sana sikuhizi kuliko kuchangia, kwa maoni yangu ninaona wote mpo sahihi, ukabila upo tena sana ila pia kuna sababu zinazofanya ukabila uwepo, mmezitaja. Naomba tuheshimu kutofautiana, umjini sio dili kama huna hela. Cha muhimu sio kumjua Mzee Tabu Mangara au Mansour Magram (RIP) (huyu alikuwa jirani yangu), cha muhimu ni kuwa popote TZ kama mkuu wa HR akiwa msukuma basi watajazana wasukuma weeee, hiyo ndio jadi yetu. Tufanye nini kuondoa hali hiyo? hilo ninawaachia nyinyi.

Ogah na Jasusi, au ndio kijana wetu wa kizanaki anavyo m quote Bundala kuwa WAAFRIKA NDIVYO TULIVYO?????

fd
 
PM,

Hakuna Mzaramo humu, kuna waliokulia mjini Dar. Wazaramo hawana muda na haya ma teknolojia, kalaghabao, unatolewa off-track nawe unaenda kwa kasi ahahahahahaaaaa

FD
 
Wakubwa,

Nimekuwa msomaji sana sikuhizi kuliko kuchangia, kwa maoni yangu ninaona wote mpo sahihi, ukabila upo tena sana ila pia kuna sababu zinazofanya ukabila uwepo, mmezitaja. Naomba tuheshimu kutofautiana, umjini sio dili kama huna hela.

fd
nipe tano fd..

fd naelewa hawa si wazaramo ni waswahili wenyewe wanajiita born town wanasahau sio dili kukaa saigon...wengi mama zao wamanyema ets
wanasahau kwamba siku hizi hata wamlima wanazaliwa mjini.......

mswahili mimi sijapokewa na waswahili ,afrerall sikuhitaji kuishi buguruni ,ilalabungoni ,au kariakoo....
 
Professor Malima alipopata skolaship ya kwenda marekani kusoma kati ya mwaka 1964 na 66 hivi wakati huo akiwa katibu mtendaji wa TANU wilaya fulani mkoa wa pwani, hakuna aliejua kuwa atakuja kuwa mzigo sana kwa nchi. Aliporudi alipewa kazi ya katibu Mkuu wizara ya mipango chini ya Waziri Professor Abdurlahmani Babu ambaye mara moja aliona weakness yake na kumkataa.


HEBU EXPAND HIII maana nilikuwa siijui hii


Ndipo Nyerere alipoamua kumpa kazi ya kufundisha Chuo kikuu ambapo alipata uprofessor kutokana na mshahara aliotoka nao serikalini wa katibu mkuu wa wizara. Huyu mtu hakuwa professor on merit. Niliwahi kusoma review iliyoandikwa na Professor Shivji kuhusu profesorial inaugural lecture ya Malima iliyokuwa ikiitwa kitu kama " The Political Economy of Devaluation in Developing Countries "; Shivji alionyesha kuwa this guy was really bogus.

Nimejaribu kuGOOGLE hiyo ya Shivji uliyoitaja hapo juu lakini sijaona kitu lakini that said naomba unielezee CRITIQUE ya Shivji kwa malima ilikuwa kwenye maeneo yepi ya kisomi, je ilikuwa Law au Developing economics ? Na ilikuwa based on which grounds ? na kama unayo basi imwage humu ili na sisi wengine tupate kuweka arguments zetu....na haswa upande wa developing economics


Unfortunately professor Malima hakuwahi kuandika technical paper yoyote kudhihirisha umahiri wake kama mtaalamu wa uchumi, alichoacha ni technical reports kadhaa zisizokuwa na maana yoyote na ambazo hakuna hata moja ilyowahi kuwa cited.


Hili nilikuwa silijui lakini hebu nipe mfano wa paper au reports ambazo aliandika Malima ambazo hazikuwa na maana yoyote ile

Nilifikiri kuwa Prof Rweikiza Mukandala aliwahi kufanya citation za Malima hapo nyuma lakini sina hakika ila naomba unipe mwangaza katika hili


hata hivyo nadhani Malima alitia fora kwa kuvurunda.


kivipi? hebu tupe emperical evidence jinsi gani alivyo vurunda...natumai kuwa you understand economics na niko tayari kufanya mjadala na wewe kuhusu hili
 
PM,

Safi sana, sometimes inanishangaza kuona wachangiaji muhimu wakitumia vigezo vya "umjini" kuhalalisha msg zao. Umjini unakuwa poa tu kama una HELA. Mswahili anatoa sana point kama Chinga vile vile ila utaratibu wa kuzileta au mpangilio wake ndio unamkosesha "MAKSI", point zipo ila anachanganya na chuki binafsi na anatukosesha kuangalia upande wa pili wa coin, kisha anahitimisha!!!!!!!!!! lete mambo tuachie sisi tuangalie na kupima, USIHITIMISHE PLIZZZZZZZ, kwa taarifa yako asilimia kubwa ya waswahili (sio wote, narudia sio wote) ni wavivu na ni wenye majungu na wanashida kwenye kahawa na vijiwe. Nenda bukoba kama utakuta vijiwe vya kusengenya watu!!, nenda Moshi, nenda Musoma, nenda Mbeya, vijiwe vilivyopo ni vya kuuza vitu, watu wanachakarika... Lakini nenda Temeke, nenda Kighoma, nenda Pemba, nenda Tanga, nenda Znz......

Punguzeni hizo

FD
 
MWENDAPOLE.

usilete maandiko yako ya biblia. hoja hizi mbona hukujibu bungeni? nimekuambia hoja hizi sikuzipeleka mimi mswahili bungeni.

Phillimon mikael.

acha chuki hawa waswahili wamekupokeeni mjini. ukarimu wao ndio ulikufanyeni mfike hapo.

Kichuguu.

Issue ya professor Malima umeongopa sana.
tuambie benki gani ilizuia pesa zake? na kuna huo utaratibu wa kuzuia pesa tunaujua vizuri sana.

We jenga hoja ya nguvu usilete matisho!
Niache maandiko yangu ya Biblia mi ndo niiandika? we vipi kaka? Nakurejesha kwenye maandishi yenye hekima maana naona haya wanayoongea hapa hayakuingii, labda ukiambiwa ya waliokufa utaelewa.
Ati mbona sikupeleka hoja hiyo bungeni; hapa ndo bunge lenyewe la walalahoi mzee! na wala sina chuki na yeyote; am giving you my point of view, so what makes you react like a wounded tiger? did i hit below the belt?
Duh! umesaidia metabolism ya lunch yangu..its rare to have people like you in this day and age! thought we were all focused..kumbe bado tunao!
 
baada ya utumwa kuwa abolished na pilika nyingi waafrika weusi walitambulika marekani na leo hii tunaye BARRICK OBAMA ,anatekeleza haki yake ya kikatiba kugombea urais...MASKINI YAKO WAPI MABAKI YA MABABU ZETU NA VIZAZI [vya kuoleana]WALIOPELEKWA UTUMWANI UARABUNI????"



Get your facts rights

First of all its not BARRICK but rather BARRACK

Secondly, BARRACK HUSSEIN OBAMA's Father was not AFRICAN AMERICAN but rather African man from KENYA,western kenya areas of NYANZA province, SIAYA DISTRICT to be precise and a LUO to be specific...in other words HE WAS NOT AFRICAN AMERICAN


On the other hand his mom was a WHITE/CAUCASIAN American....so Obama's ancenstrial roots are not of those who were cotton pickers in Mississippi or North Carolina
 
PM,

Hakuna Mzaramo humu, kuna waliokulia mjini Dar. Wazaramo hawana muda na haya ma teknolojia, kalaghabao, unatolewa off-track nawe unaenda kwa kasi ahahahahahaaaaa

FD

I am deeply offended by this statement of yours

hii ndio stereotype tunayozungumzia humu
 
sasa mnanielewa ninaposema "ukabila" ni nini? angalia definition yangu, it is this unfounded sense of tribal superioty and exclusivity that lead people of that particular tribe to want special treatment and makes them believe that they deserve more!!
 
labda kama alikuwa anatania

I cant imagine ikifika saa mbili USIKU hii thread itafikia wapi


PHILEMON MICHALE na MSWAHILI acheni matusi na jibizaneni kwa HOJA....mswahili ulianza vizuriii tuuu mwanzo kwa kuweka majina na evidence kusupport hoja zako baade tenasijui ikawaje

BTW


ningependa kuwaweka watu sawa humu kuwa hata KIKWETE siyo mzaramo kama anayojitangazia ...jamaa ni MKWERE lakini haishi kujimodel kama mzaramo...after all PUNDA KUZALIWA KATIKA ZIZI LA NGOMBE HAIMFANYI KUWA NGOMBE atabaki kuwa PUNDA TUU
 
kazi mnayo mbeleni maana kuna watu hawachangii hadi hoja za kutugawa na Ukabika na udini zije
 
Back
Top Bottom