Mswahili Old Acc
JF-Expert Member
- Sep 27, 2006
- 488
- 24
YEBO YEBO.
bado sioni mantiki ya kulazimisha moshi kuwa na shule nyingi. nimesema shule nyingi huko ni boarding na hata kinchi si mji wa kwanza kuwa na shule uliza shule kama Tanga school, usagara n.k zilianza lini na huko kilimanjaro kulikuwa na shule gani?
kilichotokea baada ya uhuru katibu mkuu na waziri ya elimu wa kwanza walitoka kilimanjaro akina Elyofoo na mwenzake hao ndio wakafanya ukabila mkubwa na hiyana kuwabeba watu wao kwa msingi wa kikabila. kwa hiyo ubaguzi huu wa TRA, Hazina, BOT hakuanza jana wala juzi.
hoja ya kudai kilimanjaro kuna shule nyingi hivyo hata kalani wa TRA kutoka Kilimanjaro si sahihi kila kabila linaweza kuzalisha kalani kabila kama la wamasai waliokuwa nyuma kielimu limetuletea mawaziri wakuu mara 2 nini kalani?
.
JEE kwa vile uwanja wa ndege wa kimataifa uko wilaya ya temeke hiyo ina maana wakazi wa wilaya ya temeke wanasafiri sana kuliko wilaya zingine? au kampuni nyingi za shughuli za ndege kama wakala wa kuzaa tiketi wako temeke kwa vile wilaya hiyo ina Dar-international airport?.kama hivyo ndivyo basi Kilimanjaro kuwa na shule nyingi kutapelekea tuwe na makalani wengi TRA toka moshi.
bado sioni mantiki ya kulazimisha moshi kuwa na shule nyingi. nimesema shule nyingi huko ni boarding na hata kinchi si mji wa kwanza kuwa na shule uliza shule kama Tanga school, usagara n.k zilianza lini na huko kilimanjaro kulikuwa na shule gani?
kilichotokea baada ya uhuru katibu mkuu na waziri ya elimu wa kwanza walitoka kilimanjaro akina Elyofoo na mwenzake hao ndio wakafanya ukabila mkubwa na hiyana kuwabeba watu wao kwa msingi wa kikabila. kwa hiyo ubaguzi huu wa TRA, Hazina, BOT hakuanza jana wala juzi.
hoja ya kudai kilimanjaro kuna shule nyingi hivyo hata kalani wa TRA kutoka Kilimanjaro si sahihi kila kabila linaweza kuzalisha kalani kabila kama la wamasai waliokuwa nyuma kielimu limetuletea mawaziri wakuu mara 2 nini kalani?
.
JEE kwa vile uwanja wa ndege wa kimataifa uko wilaya ya temeke hiyo ina maana wakazi wa wilaya ya temeke wanasafiri sana kuliko wilaya zingine? au kampuni nyingi za shughuli za ndege kama wakala wa kuzaa tiketi wako temeke kwa vile wilaya hiyo ina Dar-international airport?.kama hivyo ndivyo basi Kilimanjaro kuwa na shule nyingi kutapelekea tuwe na makalani wengi TRA toka moshi.