Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Phillimon mikael.
... nilichosema kuwa kila intake hawachukuwi zaidi ya wanafunzi watano hiyo ni sera ya shule yao na si wao shule nyingi tu za kikristu mmojawapo ni ST.anthony WAMEKWEKA wazi jambo hilo.
Dua wrote:
Mbunge aliyelalamika upendeleo wa barabara bungeni ni mbunge wa nzega alikuwa ana mlalamikia mr. fupi(mramba) kwa kupendelea kwao. mfano halisi alitenga bilion 17 kwa barabara ya jimboni kwake huku barabara ya kusini dar- lindi imetengewa bilion 1 tena ni barabara muhimu. hao ndio wachagga au mikael barabara hii kwa vile ni ya waswahili? hivyo haijaenda shule?
Hii ni dharau ambayo Mzee Mwanakijiji amekuwa akiizungumzia huko nyuma kama Ukabila na leo wewe umethibitisha hivyo!mswahili acha majungu...hata mzee mwinyi alihimiza waswahili msomi na muache tabia ya kukaa tu kupiga jungu kutwa,.kisa una kiunga chako cha minazi..wewe kalia kupiga jungu huku watu wanapiga kitabu..uzuri wa elimu hata mkibana ajira hapa watu wanaajiriwa proffesssionally botswana,marekani,uk,namibia ets uliza kuna maprofessa wangapi huko..na si waosha vyombo na wapiga soga kama wewe..kwanza inaonekana siku hizi kazi yako ya DISHWASHING umepumzika nini?
TRA inajadiliwa sana kwasababu ndiyo chanzo kikuu cha pato la TAIFA kwa sasa.Ndio injini ya Taifa.Mkandara,
2.Kuna hali ya kuwa-single out wachaga peke yao na siyo makabila mengine. kwanini kinachojadiliwa hapa ni TRA tu, na siyo taasisi nyingine? vipi kuhusu sekta binafsi je?
.