Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

PM/Jokakuu

Msiwe wavivu wa kusoma hii issue kutoka mwanzo, Ukabila upo na kutokana na list aliyokuwa ametoa mwanzo Mswahili hilo halina ubishi, sasa kama kuna sehemu nyingine nazo kuna ukabila inabidi kuona data na kukubali au kukataa kwamba hapa au kule hakuna ukabila. Mswahili kitu alichosema ni kwamba hawezi kumwaga data mpya wakati nyinyi mnabisha kwamba hakuna ukabila bali ni chuki yake kwa wachaga kitu ambacho mimi sioni kama ni kweli, mpaka pale nitakapopata ushahidi huo.

Ndio sababu Mwanakijiji alisema bora tuite jina lingine, lakini hakuna uhalali huo wakati Mmanda wa TRA amekiri hivyo. PM data ulizoleta unasema hakuna ukabila, lakini ni lazima ufahamu kwamba hii issue ilianza mwaka jana Julai, Je ni muda gani huwa unatolewa kwa mtu kubadili jina Tanzania? huu ni mfano sina maana watu wamebadili majina, na Je kwa majina tu unaweza kusema huyu mtu ni kabila gani?

Hili tatizo haliwezi kuondoka lenyewe kwa sababu TRA ndio uti wa mgongo na sidhani kuna mtu ambaye hataki kufanya kazi kule kwenye mlo wa nje nje. Midhali mnakubali ukabila upo basi tutafute solution. Hii siyo chuki, hata Europe wanapotoa kazi huwa wanauliza maswali na kujali minorities (equal opportunities). Nategemea kuona michango yenu jinsi ya kuondoa hii cancer ya ukabila ambayo imejitokeza.
 
sikupenda kumjibu Mikael phillimon kutokana na lugha yake matusi na nilimuambia sintomjibu na nimemsamehe. kwa vile mada hii imewekewa vikao hivi sasa na watu wana kwenda mbio na huku nazidi kupata matusi kwenye private message yangu. hiyo hainitishi kwani naweka ukweli na kunawa mikono yangu historia itanikumbuka. hapa kuna wachagga kawaacha na vitengo alivyoteua viwili na ameweka hadi wafagiaji na madereva. muda wote nimekuwa nikimtaja mdogo wake Lauwo kapewa chakula pasipokuwa na sifa ya hiyo kazi. yeye analeta uongo na kusema ni majina tu yanafanana hapo tu sina haja ya kubishana na mtu anayeishi kwa mtaji wa ukabila, najua issue hii kwenu ni biashara mmeshampa habari kITTLYA kuwa kuna vita. hakuna vita ni maslahi ya nchi.
unatuletea dereva huyu anahusika nini na ukadiriaji wa kodi? mbona hujataja Holili YUKO nani? tunduma yuko nani na ni nani anafanya tathmini ya kodi?nani yuko container terminal? nani yuko TRA majahazi? nani anapita viwandani kukadilia kodi? acha uongo.
narudia tena PM muongo umewaruka wachagga wengi tu. wako wapi akina maleko? yuko wapi steven? yuko wapi Lyimo?
naomba kama unataka usilete matusi au ule mkasa wa kumchomea moto nyumba benny lusege, naomba usemi unataka mjadala wa nidhamu kama ni matusi yako hapa hakuna room ya matusi nenda huko chadema kwako au club bilicanas.
 
Mkandara,
PM has challenged each one of you kuomba majina ya watumishi kitengo chochote kile ndani ya TRA. Vilevile ameleta majina ya watumishi wa vile vitengo ambavyo mswahili alidai "kundi la kilimanjaro" limeviteka nyara.

Dua,
Mswahili hakutoa listi, bali majina machache hayazidi 10, na vitengo viwili/vitatu, halafu akadai TRA nzima inanuka ukabila. PM ameleta majina ya watumishi wa vitendo alivyotuhumu mswahili kwamba vimejaa wachaga na wakilimanjaro. Listi ya PM inadisprove madai ya Mswahili.

Msemaji wa TRA hajakiri kwamba kuna ukabila, ambao kwa definition yako,mswahili, na mkandara, ni hujuma ya waziwazi ya wachaga kuhodhi nafasi zote za kazi TRA. Msemaji wa TRA amekiri kwamba ni nafasi za juu tu, na specialised, ndizo zimejaa wachaga. vilevile ameeleza hilo halitokani na hujuma bali historia ya wachaga kuwa wa mwanzo-mwanzo katika kupata elimu.

Umekuja na madai mapya kwamba kuna waliobadili majina. nakuomba basi urudi kwenye hiyo listi ya PM utueleze majina unayoyatilia shaka halafu tuangalie tena kama ukabila bado upo.
 
Tabasamu
View Public Profile
Send a private message to Tabasamu
Find all posts by Tabasamu
Add Tabasamu to Your Buddy List

#9 15th February 2007, 10:32 PM
phillemon mikael
Senior Member Join Date: Sun Nov 2006
Posts: 363
Rep Power: 21




--------------------------------------------------------------------------------

tabasamu mada nzuri hiyoo ...hembu ifanyie utafiti...maana naona kati ya manahodha waanzilishi ,waliobakia wachache wengi wamejitosa baharini na huenda wameliwa na papa au nyangumi,manahodha waliobaki njaa inawasakama...kuwa mpinzani tanzania inabidi ukubali kuwa masikini..sijui mbowe anamudu vipi

WIMBO.

"..MV MAPENZI meli ya wapendanao.,
;;;'...kuchafuka kwa bahari sio mwisho wa safari nasema..
meli ilipokumbwa na dhoruba,manahodha wamejitosa baharini.."
 
page 33 bwana PM anasema yeye sio mchagaa wala chadema lakini hapo juu nimekopi maneno yake kujipigia chapuo. hapa mtajua maneno yake anayosema si ukweli uliopo. he is not a credible witness. I therefore exluding his statement as a part of evidence in subject before me.
 
jokaKuu

Usiende haraka mzee. Hebu soma ulichoandika halafu ulinganishe na nilichoandika. i.e.
Je ni muda gani huwa unatolewa kwa mtu kubadili jina Tanzania? huu ni mfano sina maana watu wamebadili majina
Na ya kwako ni hii
Umekuja na madai mapya kwamba kuna waliobadili majina.

Haya ya kwako ni madai lakini yangu si madai.

Unaposema msemaji wa TRA amekiri kwamba ni nafasi za juu una maana gani? Kwani huo si ukabila. Tunajadili ukabila uwe ngazi ya chini au juu hilo halina sababu ni ukabila tu. Sasa kama upo tuushughulikie.
 
phillemon mikael
Senior Member Join Date: Sun Nov 2006
Posts: 363
Rep Power: 21


mmefuta thread ya marealle ,:ni wakuja eeh!!!

--------------------------------------------------------------------------------

Quote:
Originally Posted by phillemon mikael
mbona ile thread MSIBA WA MANGI MAREALLE imefutwa? ilikuwa na ubaya gani...peple would like to know whts going on since all leaders would be there for the burial which starts today and end tommorow,and ccm in moshi is doing all what it can to make the burial a ccm affair ,i think so as to seal the mass support it is about to enjoy in kilimanjaro region...
sasa tunapoongelea UKABILA au CHUKI si ndio kama hivi,sasa ukiondoa thread ya yule mzee anayeendaa kupumzika kwa amani MANGI MAREALLE OBE tukueleweje? INA MAANA humu ndani mtu akiwa mchagga au wakuja ni kosa..thats whaat it sound like ...hata hivyo if you have decide to delete it its okay,you dont need to restore it..but we now undestand that some people here inside who we discuss there issues ,we may have be biased with there origin..yes stiff debate to WAKUJA or WAMLIMA,but for wa mjini are UNTOUCHABLELES..

Please lets look on issues in national and internatinal perspective way ,and not biased to our homestead boerders!!!! call spade a spade !!!!!@>//;.


phillemon mikael
View Public Profile
Send a private message to phillemon mikael
Find all posts by phillemon mikael
Add phillemon mikael to Your Buddy List

#24 23rd February 2007, 03:17 PM
Invisible
JF Admin Join Date: Sat Sep 2004
Location: Home
Posts: 3,455
Rep Power: 100000





--------------------------------------------------------------------------------

Sasa Phelemon ndo umefanya nini hivi? Hiyo ni Flooding ndugu.

Halafu kama hujaangalia vema usilaumu tu kuwa thread flani imefutwa. Nadhani hujaangalia vema au ku-search for it walau uone iko wapi.

Aidha sidhani kama suala la ukabila lina nafasi katika maamuzi ya thread ipi ifutwe ama ipi ikae.

Nadhani ukiiona thread yenyewe utajua umehukumu visivyo. Nitaandika kwenye thread husika ujue ipo ila haijachangiwa. Sijapenda reaction yako as long as najua hujajishughulisha kuitafta thread husika.

Anyway, you're welcome
__________________
Ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako! - Yosh Bin Sira 20:31


Invisible
View Public Profile
Send a private message to Invisible
Send email to Invisible
Visit Invisible's homepage!
Find all posts by Invisible
Add Invisible to Your Buddy List

#25 23rd February 2007, 04:10 PM
Ogah
Senior Member & Expert Join Date: Fri Mar 2006
Posts: 362
Rep Power: 21




--------------------------------------------------------------------------------

pm

duuuhh sasa nawewe unaleta mpya hapa, hii sijawahikuona, yaani thread kufutwa kwa kufuata ukabila!!!!!!!!!!!!!!, NEVER ON JF or not to my experience either

punguza jazba ndugu, thats absolute-overreaction
 
phillemon mikael
Senior Member Join Date: Sun Nov 2006
Posts: 363
Rep Power: 21


TANZIA:Chief Thomas Lenana Mlang'a Marealle II, OBE Mangi wa wachagga AFARIKI

--------------------------------------------------------------------------------

MANGI mkuu wa kabila la wachagga 92 ,chief thomas marealle ,amefariki dunia katika hosipitali ya KCMC...pamoja na kuwa mangi marehemu aliwahi kufanya kazi umoja wa mataifa sehemu mbali mbali duniani..pia wakati wa vugu vugu la uhuru alikuwa mmoja wa wanaharakati na hata alipata kuhutubia mkutano wa umoja wa mataifa akitokea tanganyika..mara baada ya uhuru alikosana na nyerere ,kwani baada ya nyerere kufuta uchifu aliwapa mashifu wote waliokuwa na elimu kazi mf fundikira,sapi mkwawa ,kunambi ets isipokuwa chief marealle aliwekwa kando ,kwa bahati akaitwa UN kufanya kazi za un reprentative...nchi kama iran,italia,liberia,gambia ets hadi mwaka 1978 alipostaafu..wakati wa vuguvugu la upinzani aliunga mkono CHADEMA na NCCR MAGEUZI mwaka 1995..lakini baadaye alirudi kuunga mkono ccm mwaka 2005..marehemu ameacha watoto teddy.themi.,na aggrey marealle.

MUNGU AILAZE PEMA ROHO YAKE PEPONI ,AMEEN..BWANA AMETOA BWANA AMETWAA NA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE!!!!
 
Mwenye macho haambiwi ona. hapa juu nimiweka mada za Phillimon Mikael ambaye anadai si mchagga na ni mwanachama wa Tanu. phillimon alimshambulia hata administrator wa JF kwa minajili ya kikabila vipi mimi mswahili?

huyu ndiye phillimon mikael ambaye hataki wachagga warekebishwe hata kama wamekosea. na sasa amekuja hata na data za uongo kutetea kabila lake TRA.
 
phillemon mikael
Senior Member Join Date: Sun Nov 2006
Posts: 363
Rep Power: 21




--------------------------------------------------------------------------------

mama no body is in favor of chiefdom ,which were long abolished however this doesnt mean watu wasifuatilie historia na roots zao...so kwa wale watu wa kilimanjaro especially wachagga marealle ni part ya historia yao..

na afterall alifanya mengi katika ELIMU wakati bado akiwa mtawala ndio maana moshi kuna shule za DINI naa pia kuna shule za USHIRIKA ie LYAMUNGO zilizojengwa wakati wa utawala wake chini ya ofisi yake,ZAIDI ya hayo aliimarisha vyama vya ushirika na masoko ya zao la kahawa na afya..wazee wengi waliosoma kabla ya uhuru walifaidika na kulipiwa na council hadi makerere..council ya moshi ilijenga barabara ,mifereji ets hata kabla ya uhuru...

kwa hiyo wanaomkumbuka au kumuheshimu wana haki ya kufanya hivyo...ni kama reflections tu.


phillemon mikael
View Public Profile
Send a private message to phillemon mikael
Find all posts by phillemon mikael
Add phillemon mikael to Your Buddy List

#29 25th February 2007, 12:48 PM
phillemon mikael
Senior Member Join Date: Sun Nov 2006
Posts: 363
Rep Power: 21




--------------------------------------------------------------------------------



Waombolezaji wakiteremsha mwili wa Mangi Mkuu, Thomas Marealle katika mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Mengeni Marangu, Kilimanjaro jana. Serikali iliwakilishwa na Waziri Mkuu, Edward Lowassa. (Picha na Hilary Bujiku wa Ofisi ya Waziri Mkuu)

PATA ZAIDI PICHA ZA MAZISHO YA MANGI MKUU THOMAS MAREALLE OBE ...BOFYA HAPO CHINI.

www.jakayakikwete.com/kikwete/displayimage.php?pos=-1776
 
Huyu ni PHILLIMON MIKAEL.

kutokana na msiba wa marealle alianzisha Thread maalum Tanzia ya Marealle lakini hatujawahi kuona akituambia kinjeketile, mkwawa, kibasila alikufa lini na yapi walifanya.

wanabodi msipoteze muda tena msiomjua sasa mmemjua bwana Phillimon MIkael NITAENDELEA kumuhifadhi sitamtaja humu hata anitukane vipi kutokana na heshima yake kwenye jamii.

sasa anadanganya watu ana orodha 1000 ya wana TRA? kwani TRA INA wafanya kazi 1000? tupe orodha ya wana chadema si TRA.
kumkoma nyani gladi kajisemea mzee ES! ZILONGWA MBALI ZITENDWA MBALI.kumekucha ukabila TRA wenye macho oneni.
 
Nilichukuamuda kidogo kupumzika maana kichwa kinauma. Ila baada ya kurudi kurasa zimejazana.. ikabidi nianzie nilipoachia.

Kwanza, hakuna anayekubali kuwa TRA kuna Ukabila period. Siyo mimi wala si Mmanda. Tunaambie mbona Mmanda kakubali really? Hebu tuone. (angalia ukurasa wa sita)

Mmanda atetea wingi wa Wachagga TRA

Written by Charles Mullinda
Friday , 21 July 2006

*Asema walipata elimu mapema

HATIMAYE Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa tamko dhidi ya madai ya kuwapo ukabila katika mamlaka hiyo.....

"Hakuna suala la ukabila TRA, haya mambo yanazushwa tu na watu kwa sababu mbalimbali, zikiwamo za chuki binafsi na wengine ni hulka yao kuzua mambo." Mmanda amesema "HAKUNA" sasa sijui ndugu zangu walisoma wapi maneno ya "LIPO"

akaendelea...
"Kweli TRA ina watumishi wengi katika nafasi nyeti ambao ni Wachaga, lakini hili ni suala la historia, huwezi kulikwepa, kumbuka Wachanga ni kabila ambalo watu wake walipata elimu ya juu mapema kabla ya watu wa makabila mengine." - Amesema kitu ambacho wengi tunakisema hapa!

akaendelea....

"Na hapa sio TRA tu, angalia madaktari wengi hasa wa zamani kidogo ambao sasa ni mabingwa, wengi ni Wachaga, na kwa Tanzania nafasi za kazi hazitolewi kwa ukabila bali sifa za muhusika na uwezo alionao katika kuifanya kazi hiyo," - Tumelionesha hilo kwenye nafasi za mabingwa Chuo Kikuu Muhimbili na sehemu nyinyine.


akaendelea...

"Sisemi haya kwa sababu mimi ni Mchaga, hapana, bali hata wewe fuatilia ukweli, tunao Wachaga TRA, lakini wote ‘wanafiti’ katika nafasi zao, na hawa ni wale waliosoma zamani, leo vijana wa Kichaga wameishia biashara ya kuuza ndizi, wasomi ni wachache na makabila mengine ambayo yanazingatia elimu sasa yanaibuka," - Hili hakuna mtu (mtetezi wa ukabila) amelisema hapa. Mmanda amekiri Wachagga wengi hasa vijana wa sasa hawachangamkii sana elimu. Sisi tumewaambia wapo wachuuzi, wachoma mishkaki n.k Hakuna anayetaka kuangalia ukweli. Tunaambiwa angalieni "ukabila" TRA!

gazeti la TD likasema,

"Alisema iwapo wingi wa watu wa kabila moja ndani ya taasisi yoyote nchini utachukuliwa kama kukithiri kwa ukabila katika taasisi hiyo, ya kwanza kutuhumiwa kuhusu hilo ni jeshi ambalo lina watu wengi wa Musoma."

Pointi hii nimeiimba hadi nimepatwa na mafua!... wingi siyo ukabila!!

Je tunataka kutafuta suluhisho la tatizo?

Kama hilo ndilo lengo ni lazima tutambue tatizo la kweli na siyo la kusingizia. Hakuna mahali ambapo nimesema Ukabila = Undugunization. Nimeeleza maana ya Ukabila na maana ya undugunization. Ukabila ni hisia ya mtu kutukuza kabila lake na kuliona bora na lenye kustahili zaidi kuliko kabila jingine. Mtu mwenye ukabila atajaribu kwa nguvu zake zote kuyatenga makabila mengine, kuyakandamiza na kama angekuwa na uwezo kuyahamisha au kuyamaliza. Hisia hizi za ukabila zimeonekana Rwanda, Burundi, Kenya, Uganda, Nigeria n.k! Watanzania pamoja na matatizo yetu yote hatujafikia huko!!! Ni kweli mtu mmoja mmoja anaweza kuwa na hisia za kikabila kama tulivyoshuhudia hapa. Kwa vile Mswahili anachomoza na hisia za kikabila (akitukuza watu wa pwani na kudharau watu wa bara) siwezi kusema basi watu wote wa pwani ni wa kabila.

Tatizo jingine ni kuwa tukipingana kwa hoja na Mswahili tunaambiwa ni kwa vile sisi tumefaidika na "ukabila" huo. Nimemwomba anitajie amesema atanitumia kwenye PM.. nimesubiri weeeeee! Tukianza kupinga hoja tunageuzwa hoja (we become the subject).

Badala ya kung'ang'ania TRA na tunaendelea kukusanya ushahidi kuonesha kuwa Wachagga hawako wengi TRA peke yake, wapo wengi Muhimbili, Wahaya wako wengi UDSM, nk.. Kwanini TRA tunaambiwa ati ndio wakusanyaji wakubwa wa hela, wachagga=wapenda pesa!! Mbona sio leo utani dhidi ya wachagga na pesa umekuwepo!! Lakini twende BOT kuna Wachagga wangapi maana wao ndio watengeneza pesa. Pamoja na kuambiwa kuwa Wachagga wengi wapo TRA, hakuna hata mmoja ambaye amesema kuwa wachagga hawa wamekula njama kuliibia Taifa!!! Tunaambiwa kuwa ni hatari kwa usalama wa Taifa!!Kana kwamba ili kuiba ni lazima muwe watu wa kabila moja!! Mswahili, Dua, na wengine naomba mtuambie "Je Wachagga walioko TRA (watendaji) wamekuwa wakiliibia Taifa?" Kabla hamjajibu someni habari hii muone jinsi gani TRA imejitahidi kukabiliana na corruption ndani yake:





TRA's ethics committee to curb staff unbecoming behaviours
Correspondent ERNEST AMBALI
Daily News; Thursday,November 02, 2006 @00:03


FINANCE Minister Zakia Meghji
TEN years after it started operating in July 1996, the Tanzania Revenue Authority (TRA) is now counted as among top institutions, which are making relentless efforts to fight corruption to collect more revenue.

THE Tanzania Revenue Authority (TRA) is fighting corruption among its staff by among other things, ensuring that before they are fully employed declaration of their personal assets is an imperative requirement and then they undergo a probation period of one year. However, it is possible some undeserving people manage to go through.

And, as an employee continues in service, their behaviour are monitored through an established procedure for receiving allegations against them.

The procedure includes a mechanism for 'whistle blowing' - systems under which informers alert the Authority about alleged corrupt staff.

Records of unbecoming behaviour of some of the staff are maintained by the Ethics Committee under the present chairperson, Deputy Commissioner General Placidus J. Luoga, who is assisted by four departmental heads as committee members.

According to Mr Luoga, the committee was established on end May, 2003 at the TRA headquarters. Before the establishment of the TRA there was no formal, comprehensive framework for managing ethics and integrity of staff in the tax administration.

When the TRA started operating in July 1996, initial integrity framework was developed. Before the TRA was formed, staff integrity was managed by the then Tax Audit and Investigation Department and later on by the Internal Audit Department, says Mr Luoga.

This was then followed by adoption of the first TRA's Anti-corruption Strategy of 1999 and incorporation of the TRA's Strategy into the National Anti-Corruption Strategy and Action Plan (NACSAP) in the year 2001.

In May 2003, the Authority decided to enhance management of ethics and integrity by forming the Management Ethics Committee to oversee staff integrity matters in the Authority.

"Precisely, on May 2, 2003 the TRA management decided to establish the Management Ethics Committee at the TRA headquarters with effect from June 1, 2003.

"Since its establishment in June 2003, the committee had convened a total of 32 meetings by July 31, 2006," Mr Luoga says.

Terms of reference given to the Ethics Committee include but not limited to establishing and monitoring procedures for receiving allegations, including setting a mechanism for 'whistle blowing'.

Also included in the long list of inputs in the terms of reference, is the reviewing of allegations and encun. Course of action to be taken against the allegations raised.

This means identifying the various types of allegations, as for example, allegations on corruption, which require external enquiry by the Preventions of Corruption Bureau (PCB) Police Force or other external agencies.

Allegations on tax evasion to be referred to the Tax Investigation Department to investigate internal fraud allegations to be referred to the Internal Audit Department.

Allegations, which do not necessarily require any specialised investigation, hence suggesting administrative action or follow-up to be made by respective heads of department or regional mangers.

Allegations which may be considered by the committee as baseless. The Ethics Committee is charged with the responsibility of receiving and evaluating the results of the investigations carried out against the staff.

The other responsibility is evaluating the adequacy of the measures in place to combat corruption and recommending the management on further measures.

The list of terms of reference also includes reviewing the monthly reports received from the heads of department and regional managers on the implementation of NACSAP and reviewing the Quarterly Strategic Management and Good Governance Report before it is submitted to the government.

Also added to these, the Ethics Committee is required to perform any other duties related to staff integrity as delegated by the management.

"In August 2004, Regional Ethics Committees were established in every up-country region, at the Institute of Tax Administration, Dar es Salaam and TRA Zanzibar.

"All committee chairpersons underwent special training on good governance and control of self-assessment. The Good Governance Co-ordinating Unit (GGCU) and the PCB were among key resource persons to the training," says Mr Luoga.

The government issued a directive in September 2005, requiring all MDAS and local councils to form integrity committees by December 30, 2005. It was expected that by then, the Authority would have established, already, its ethics committees at the headquarters and in every up-country regions.

The TRA management then decided to go further down to establish ethics committees at district level and in each of the newly-formed Dar es Salaam tax regions.

Mr Luoga said that the TRA management had devised an effective mechanism to ensure that the committees perform their role according to the terms of reference they were given.

First, the chairman of the Management Ethics Committee is required to submit to the commissioner general, quarterly reports on the committee's affairs for onward submission to the standing committee of the board of directors.

Secondly, the chairman of regional ethics committees and of Zanzibar and Institute of Tax Administration Ethics committees are required to submit to the chairman of the Management Ethics Committee at TRA headquarters, quarterly reports on the committee affairs on implementing the terms of reference given to them.

Thirdly, chairman of district ethics committees are required to submit to chairman of the respective regional ethics committees, quarterly reports on the committees' affairs on the implementation of the terms of reference given to them.

Fourthly, all heads of department should perform I-annual operational reviews in the every regions to assess progress of implementation of the various management policies including effectiveness of ethics committees in the regions.

Lastly the director for Internal Audit should perform regular reviews effectiveness of managerial controls in the regions, which include management of ethics, and integrity in the work stations.

On what he termed as punitive measure, Mr Luoga says all members of staff taken over by the TRA from the defunct tax administration on July 1, 1996 were placed under a one-year probation period to measure their performance and behaviour.
"At the end of that period 239 employees were not confirmed in their new employment," he says.

These unfortunate new employees were not confirmed because of two main reasons. Firstly they could not meet the performance standards of the TRA and secondly of their unbecoming behaviours.

In the second punitive measure, the Authority has established and is implementing a code of conduct, which provides specific penalties for violating it. The management has continually
taken action against the culprits.

"As a result of the measures taken by the Authority since its establishment, we are proud to state that the level of staff integrity has recorded an improved and satisfactory performance," Mr Luoga says.

These staff control measures employed during the first 10 years of the TRA have led to seven achievements.

These are enhanced commitment by senior management to effectively manage ethics and integrity; transparency in handling and resolving staff integrity matters has been enhanced.

Awareness on integrity management has been increased throughout the Authority, from the headquarters down to district level.

TRA policy on corruption had been and shall continue to be 'zero tolerance' concentrations has been given to proactive and holistic approaches.

Ethics awareness among the staff had been enhanced, whicle detective investigative strategies have been developed and implemented to address internal fraud and tax evasion.

The code of conduct has been effectively enforced. The management continues working on a few remaining staff with unbecoming behaviour to ensure that the core values stipulated in the Second Corporate Plan for 2003/04-2007/08 are sustained to build the TRA's corporate culture.

"It is not possible to state that the Authority is fully corrupt-free and that a lot of good measures have been taken by the Authority to enhance integrity and ethics and that their levels have very significantly improved.

"The Authority is one of the leading institutions in the country which are in the forefront of the war against corruption.
"More efforts will be taken in order to maintain this status in future," Mr Luoga concludes.

Of course, wanaotetea uwepo wa Ukabila watasema "look who is talking Luoga"! Nimeambatanisha hapa ripoti toka Transparency International:

Ndugu zangu, wote tunajua (I hope so) kuwa tatizo katika ajira Tanzania kufahamiana/kujuana na matumizi mabaya ya vyeti vya kitaaluma. Tukikubali matatizo haya kwa jamii nzima siyo TRA peke yake basi tushirikiane kupendekeza utatuzi. Ila kutung'ang'aniza tuone ukabila mahali ambapo haupo ni kama kumpigia mbuzi gitaa, hachezi!
 

Attachments

mswahili sasa unachotaka kufanya ni kututoa nje ya mada...mada ya marealle ni tukio kama mengine..mbona hujasema mimi muhaya kwa kumtetea mh magufuli,na nnimeanzisha mada zake mbili tatu[sio za majungu]...mimi nationalist mzee...

turudi kuleee ambako umeshashindwa kwa hoja na huna jipya zaidi ya kuamua tu KUBISHA....

umegusia holiili,tunduma,hororhoro ,sirari,.na nakupa kama ifuatavyo,,.....
angalia SIRARI,
examination and custom OFFICERS
1.A.SHEMNDOLWA
2.V.ASSENGA
3.NK LAWRENCE
4.MUSHOMI G.
5.ABDALAH .K
6.KAPESSA F.
7.MTUI.F
8.MONGO.
9.ASHURA H.
10.MDOE M.
angalia preventive officers ..TUNDUMA/MBEYA
1.MMEWA P.
2.NGOMA H.
3.BENJAMIN ANDOSYE
4.MASA.M
5.KESSY D.
Angalia custom officers HOLILI
1.CHALI A
2.MWAKASUNGULA L
3.KIANGIO S.
4.MANONI A.
5.MARTON L
6.MONYO W/DRIVER

SO mswahili that is the really picture ,if you have datas different to this bring them up....lakini ukweli ni kuwa TRA inaouwakilishi mzuri kwa watanzania wa pande zote ,huwafanyii haki kuwalaumu namna hiyo..sasa hao wachagga wanaoteuliwa na rais,waziri au bodi ...unaweza kupeleka malalamiko yako IKULU labda watakusikiliza
 
alisema lote huko kumejaa wachagga tupu....he is proved wrong with datas...so if he waana come up it must be with vivid datas!!!!!!!!!!!!!!!
 
hapana atakuja na kusema "sisi" wachagga tunawatetea wachagga wenzetu "wakati" Mmanda "amekiri" kuna ukabila!!! na gurudumu litaendelea kuzunguka...

Jamani kubalini hakuna ukabila yaishe!!!! Mliokubali hoja za Mswahili kwa data uchwara... kubalini data hizi tulizowapeni kutwa nzima. Msiwe mnabisha alimradi mmeshaamua kuna ukabila hata kama ushahidi haupo!!!
 
PM/MKJJ/jokaKuu

Nani ni mzushi MManda au Mswahili? Mmanda alisema kuna ukabila wewe unabisha wakati hufanyi huko, ina maana wewe mwenyewe binafsi ni Mkabila ndio sababu unatetea namna hii.



Nenda hapa ukurasa wa 6 http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=1867&page=6

Unataka sisi tukuamini wewe.

Sidhani kama unaamini mimi ndiye PM na Jokakuu! Situmii jina zaidi ya moja, sina sababu ya kutumia jina zaidi ya moja! Mzee natumia "Mwanakijiji" au "Mzee Mwanajiji". I hope umechanganya tu. Hamna tatizo.
 
I think this mdahalo is closed. Mwenye kuamini Ukabila upo ameamua kuamini hivyo, aliyeamini hakuna ukabila kama mimi nimeamua kuamini hivyo.
 
Mwanakijiji wewe si mchagga usijitie nimetukumia kwenye PM yako.

Phillimon MIKAEL.

nakushangaa kutujazia wafagizi, madereva na mataarishi, nimesema kuwa MANAGERS AU RRO ni wachagga na nikakuwekea majina yao. na wewe umesema una majina 1000 uliyoandika icluding madereva na wapika chai hayafiki 40. au ndio ule ugonjwa wa chadema (makengeza) unakusumbua?

nashindwa kuelewa wana chadema kutokuelewa somo labda kuwa makengeza huko chadema ni qualification nikitiza mzee Mtei alikuwa na matatizo hayo. na wewe pia una matatizo hayo. na hata ulipomuwakia admin wa JF ilikuwa unawaka mbona mmefuta thread ya kichagga na admin akakuweka sawa akasema vipi angalia vizuri! alikuwa na maana acha makengeza yako.

najua unaumia sana kwa TRA kwani ndio uchochoro unakuwekeni mjini na hili suala la ukabila TRA ni kama ulivyo kwenye chama chako lazima uumie.

nimekutajia officers incharge wenye dhamana wewe unaleta orodha ya madereva. nataka wenye authority ya maamuzi, dereva ana maamuzi gani TRA?

NAJUA kwako mada hii ni mtaji ili upate kusamehewa kodi na usiku kucha unahangaika na kittilya kuwa unapiga vita. hakuna vita tunaweka mambo sawa.

mie sikusema TRA madereva au wapika chai ni wachagga nioneshe wapi nilisema hivyo? nilisema watendaji kama RRO au officers in charge hawa ndio wakamua maziwa hatuzungumzii washika mapembe.

Mwanakijiji.

inajulikana wewe ni mbabaishaji na si responsible journalist ambaye hupima habari kwa kina. ndio maana unakuwa ukitumia jina mwanakjj tu. sawa na gazeti ambalo kila story utaona habari na mwandishi wetu, kila sehemu na mwandishi wetu sababu hawana uhakika na habari. ni sawa na mwanakjj.

habari si kukopi na kupaste statement kwenye magazeti wandiishi huwa na source zao na hata wakati mwingine kuzilipia.

Natoa mfano wa wazi kujua mwanakjj ni mbabaishaji wala hajui kupima habari huingia kichwakichwa tu kama anavyovamia mada hii,

kulitokea msiba wa vijana wawili-Brazil mwaka jana akina Tobi. WATU wote wakanyamaza wakijua kuwa sababu ya kifo cha wale vijana ni kushiriki katika biashara inayopigwa vita na Amina Chifupa na serikali yetu kwa sasa. na mtu akiwa brazil huhitaji kufanya utafiti mkubwa kwani huko ndio jikoni kwa biashara hiyo haramu. bwana Mwanakjj akakurupuka kukusanya michango ya hao marehemu huku akiongea na akina Kobi na hatimaye baadae akaja kuapata aibu.
mwandishi au mtu makini asingefika huko. nimelazimika kutoa mfano huu kuonesha kuwa huyu bwana ni mtu wa kudandia safari asizozijua. sitaki kwenda kwenye u wana habari wake na redio yake.
 
MKJJ

Nilipoandika PM/MKJJ/Jokakuu sikuwa na maana mbaya ya kwamba unatumia majina yote hayo; nilikuwa najibu hoja zenu kwa ujumla. (Sorry for that misunderstanding)

Back to the issue:

This is very interesting hata kule South Afrika miaka nenda miaka rudi wazungu walikuwa wanasema hakuna ubaguzi na kama unakumbuka vizuri ule mkutano wa Commowealth countries kule Zambia wakati Iron Lady Maggie Thatcher alivyokuwa anawatetea wazungu wenzake kule Rhodesia sasa Zimbabwe, kilichotokea kila mtu anajua. Ulaya vilevile walikuwa wanaimba hakuna ubaguzi lakini wametunga sheria ya kusaidia minorities. Unaweza ukaweka data nzuri sana kwa sababu wewe ni mfaidika kwa namna moja au nyingine huwezi kuliona hilo lakini ukweli utabaki pale pale. Wanaokataa ukabila wawaulize jirani zao ambao sio wachaga kama wao, Je ukabila upo hapa Tanzania? watalipata jibu. Hawana sababu ya kukiri ukabila upo kwa sababu za kihistoria wao ndio miungu watu ambao kila siku tunawapigia kelele hapa JF kwani ukabila hawauoni. Tuondoe matongotongo ili tuweze kuona sawa sawa.
 
Back
Top Bottom